-->
Showing posts with label SIMULIZI. Show all posts
Showing posts with label SIMULIZI. Show all posts

YAMENIKUTA; MALI ZANGU ZILIVYOGEUKA KUWA MALI ZA MAREHEMU!

Wakati namuoa mke wangu nilikua na duka la vyombo, halikua kubwa sana lakini nilikua nikijiona tajiri flani nina uwezo. Mauzo ya laki mbili kwa siku yalikua yakinichanganya, lakini miezi miwili tu baada ya ndoa mke wangu alianza kusema kachoka kukaa nyumbani anataka kufanya kazi. Kusema uikweli nilishajiwekea kuwa siwezi kuoa wmanamke akafanya kazi lakini alipiga kelele sana mpaka nikamruhusu.
Nilimuambia aje tukae naye dukani, alikuja kweli lakini alikaa kwa mwezi mmoja tu akaniambia kuwa Biashara ya vyombo kwa hilo eneo hailipi ni kupoteza muda basi tufungue hardwear kuuza vifaa vya ujenzi kwani hilo eneo dniyo linajengeka. Nilimuona kama mjinga na kuona kama ana tamaa, nilimuambia kama ana pesa yake afungue lakini mimi siwezi kumpa mtaji akaharibu pesa.

Kuna mchezo alikua anacheza hata kabla ya kumuoa na nilikua najua, nakumbuka baada ya kama miezi minne hivi ya ndoa alipokea milioni mbili, aliniambia anafungua hardwear, nilizidi kumuona mjinga kwani niliona kama ni pesa ndogop, nikamuambia wewe hujui Biashara. Lakini hakukata tamaa, alitafuta sehemu akaanza kuuza. Alianza na milioni hizo hizo mbili kama utani, lakini niliona anapanuka.
Biashara yake kubwa alikua anafanya kwa mali kauli. Alikua na mtaji mdogo hivyo hakua na vitu vingi dukani, katika duka lake aliweka kama sample ya vitu mtu akitaka mzigo mkubwa anamuagizia kwa maduka ya jumla anampelekea. Basi baada ya kama mwaka hivi Biashara ilishasimama, alibeba ujauzito, alipoenda kujifungua ilinibidi mimi kubaki na kumsaidia kusimamia duka lake. Hapo ndipo nilijua kuwa mke wanmgu Biashara yake ni kubwa mara mbili kuliko mimi.
Nilishangaa sana kwani mimi nilikua na zaidi ya miaka 10 kwenye Biashara lakini mauzo yangu yalikua hayafiki hata robo ya mauzo ya mke wangu ambaye hakua na hata miaka miwili. Bila kumuambia niliachana na Biashara ya vyombo na kuhamia moja kwa moja pale, aliporudi alikuta ninauza pale, hakulalamika wala kuulizia chochote.
Biashara ilipozidi kuwa kubwa tulitaka kufungua duka la jumla, hapo ndipo nilikutana na rafiki yangu ambaye yeye alikua ni mfanyakazi wa serikali. Alinishauri nimsahawishi mke wangu kuhamisha fremu, ili hiyo fremu niandikishane mkataba mimi na mwenye nyumba na leseni ya Biashara iwe na jina langu. Aliniambia kwa wakati huo kwakua leseni ya Biashara ina jina la mke wangu basi niliacha hivyo hivyo kama ikitoke atukiachana Biashara inakua yake.
Ni kama alinizindua, Biashara ilishakua kubwa ina mtaji zaidi ya milioni mia lakini ilikua na jina la mke wangu. Nilifuatilia fremu kubwa sehemu nzuri na kufuatilia kila kitu, nikamashawishi mke wangu tukahamisha Biashara, kufika kule ndiyo anashanaga kila kitu kina majina yangu. hakulalamika sana kwani bado upendo ulikuepo, Biashara iikua inachanganya, nilitaka kukaa mimi lakini nilikua siiiwezi.
Mke wangu ana mkono wa Biashara, wateja wanmampenda na anajua kuongea na matajiri, anaaminika kirahisi, alikua na uwezo wa kuchukua hata mzigo wa milioni 50 kw amali kauli na akarudisha zote. Niliamua kuwa meneje, nikamuachia mke wangu kila kitu, lakini pesa nilikua nachukua mimi, nafanya mambo ya maendeleo kwa majina yangu. rafiki yangu yuleyule aliniambia kuwa ni ujinga kumuonyesha mke kila kitu.
Kwamba kama mke wangu akijua mali zangu zote, hata kama zina majiha yangu basi tukiachana tunagawana nusu kwa nusu. Alinishauri kufungua Biashara nyingine kimya kimya na kununua viwanja huku nikijenga kimya kimya. Kweli nilimuamini, basi nikawa nachukua pesa siwekezi, nafanya mambo yangu kimya kimya.
Nanunua viwanja najenga bila mke wangu kujua. Mke alipokua akihoji matumizi, kwakua nilikua nachukua pesa dukani labda kununua mzigo, kupeleka Benki lakini mwisho kunakua hakuna kitu. Tulijikuta tunaingia kwenye madani, mke wangu hakuruhusu duka kufa hivyo mara nyingi alikua anachukua vitu kwa mali kauli, lakini kwakua baada ya mauzo pesa nachukua mimi kufanya mambo yangu basi hakua na lesa ya kurejesha.
Alikua na madeni mengi, tulikua tunagombana sana kwanini anakopa, basi akwa hana amani, wakati ana ujauzito wa mtoto wetu wapili mke wangu alikua kama amechanganyikiwa kabisa, lakini mimi sikujali kwani wakatio huo nilishaanzisha mahusiano mengine hivyo nilikua na sehemu ya kupumulia. Alijifungua salama tena kwa shida, lakini hakuweza tena kunyanyuka kibiashara, alikua na madeni mengi na hakua akiaminika tena, watu waliokua wakimkopesha hawakua wanamuamini tena.
Nilimuachia lile duka likiwa na madeni mengi na sikuleta tena mzigo mwingine, mimi tayari nilikua na maduka mengine mawili na nilikua na maisha yangu. kila siku nilikua namlaumu kuwa hana akili, hawezi kutunza pesa na mambo mengine mengine mengi kibao, alikua ni mtu wa mawazo tu na Biashara alikua akifanyia kwaajili ya kulipia madeni. Tuligombana mpaka kufikia hatua nikahama nyumbani na kuhamia kwenye nyumba yangu nyingine ambayo nilijenga kimya kimya bila mke wangu kujua.
Huku nyumbani alipambana lakini hali ilikua mbaya, siku moja nilisikia amekamatwa na kupelekwa mahakamani kwani alikua anadaiwa milioni 120 asmbazo alikopa na kushindwa kulipa. Alikaa mahabusu kwa siku tano, hakua na mtu wa kumuwekea dhamana na mimi nilijifanya kukasirika, nilijitoa kabisa nikajifanya kutokujua kuwa alikua anakopa pesa na kuzipeleka wapi, niliwachukua wanangu na kuwapeleka kwa Mama yangu.
Kila mtu alikua akimlaumu yeye kwani niliwaambia kuwa alikua anakopa peke yake. Ndugu zangu walinishauri nimuache, nimpe talaka kwania taniua kwa madeni.mpresha ilikua kubwa, nilijua nimetoka naye mbali na mali niliz0kua nazo zilitokana na yeye lakini sikutaka kuwa naye, kila nikiwa na mke wangu nilijisikia vibaya, sikuona raha ya kuwa na pesa kwani nilijua kabisa kuwa pesa si zangu kanisaidia yeye.
Baada ya mashinikizo ya watu wengi niliamua kumpa mke wangu talaka, hakuamini kama himemuacha. Pamoja na kuwa nilimtelekeza lakini mke wangua likua akiamini kuwa nitaerudi, mke wangua likua hajuic hochote kuhusiana na mali zangu nyingine, alikua akijua tu kuwa nilikua na matumizi makubwa lakini hakua akijua kama nimejenga nyumba nyingine tatu, nina maduka mawili na Benki nina pesa tu ya kutosha.
Wakati wa kuachana tuligawana nyumba, mimi niliamua kumuachia nyumba kubwa tuliyokua tukiishi na nyingine ambayo haijakamilika nilichukua mimi. Sikutaka kumbana sana kwani nilijua mimi nina maisha yangu. Mambo yote hayo nilikua nikiyafanya kwakushirikiana na rafiki yangu, yeye ndiyo alikua kila kitu kwangu na kweli kwa wakati huo nilijisikia vizuri sana kwani alinisaidia kupata mali nyingi kutoka kwa mke wangu.
Sikuwaza hata kama kanivunjia nfamilia, niliwaza mali. Baada ya kumalizana na talaka nililazimjisha kubaki na watoto ila mke wangu alipambana na kwakua walikua bado wadogo alibaki nao yeye. Niliendekeza Biashara zangu vizuri tu, miezi sita ya kwanza ilikua vizuri, lakini ghafla mambo yakaanza kubadilika, wateja wapo ila si kama zamani, nilisukumana hivyo hivyo mpaka mwaka ukaisha, Biashara bado ni ngumu mwisho nikalazimika kufunga duka moja.
Mambo yalizidi kuwa magumu pale ambapo rafiki yangu ambaye alikua ananisaidia na kunipa mawazo alipofariki dunia ghafla kwa ajali ya gari. Nilihangaika kwa miezi sita nikaona kabisa Biashara zinakufa ndipo niliamua kuchukua mkopo Benki nikiwaka dhamana nyumba yangu moja. Lakini nusu niingie jela kwa utapeli kwani hati niliyoenda nayo Benki ilikua ni feki.
Ni hati ambayo merehemu ndiyo alinisaidia kufuatilia, wakati huohuo nataka kuchukua mkopo basi nipo ndugu zake nao wanaibuka. Mke wake analalamika kuwa nataka kumdhulumu mali zake, nilishangaa kwani mali zilikua ni zangu na mke wake alikua hata hazijui, ni mambo tuliyokua tunafanya mimi nayeye tu wote tukiambiana wanawake si watu wa kuamini. Lakini nilikuja kugundua kuwa nyumba moja niliyokua nikiishi ilikua na jina la mke wa marehemu.
Mbili nyingine zilikua na majina ya watoto wake, na viwanja viwili vilikua na majina ya Mama yake. Vyote hivyo ni yeye alinisaidia kutafuta, kwa maana kuwa, Marehemu alinisaidia kutafuta viwanja, akasimamia kupata hati mpaka ujenzi alikua ni yeye. Malalamiko yaliibuka kuwa nimeghushi hati ili kudhulumu mali za marehemu. Kweli nilishangaa kwani kila kitu kilikua ni changu na marehemu alishafariki miezi sita nyuma ila si mke wala ndugu zake walilalamika.
Nilichokuja kugundua ni kuwa, marehemu kumbe hata yeye alikua anaificha familia yake vitu vyake, yaani aliandika vile vitu majina ya mkewe na wanae lakini alikua hajawaambia chochote. Nilipoenda kuchukua mkopo, wakati wa Benki kuhakiki umiliki wa kiwanja ndipo ikagundulika kuwa kumbe si vyangu, kule halmashauri Marehemu alikua na watu anafahamiana nao na ndiyo walimuambia mke wake. Hapo ndipo alifuatilia na kukuta risiti nyingine ambazo marehemua likua akilipia viwanja vyangu kama vyake.
Nilijaribu kujitetea lakini nilionekana mkosaji, kila mtu aliona kama mimi nilitaka kudhulumu mali za marehemu. Kwamba marehamu alikua akiniamini mimi kama rafiki yake kuliko mke wake, akanionyesha vitu vyake ila baada ya yeye kufariki basi badala ya kuiambia familia yake basi mimi nikaghushi hati za viwanja. Nilitaka kufuatilia lakini kila wakili niliyeenda akaniambia kughushi ni kosa la jinai nitafungwa, nililazimika kuachia kila kitu.
Niliondoka mweupe, sina hata kiwanja kimoja kwani kila kitu alikua akinishughulikia marehemu, nilibaki na biasnara tu amabyao nilishashindwa kuiendesha. Mwisho niliifunga ile Biashara na kurudi kuitafuta familia yangu, nilikuta mke wangu naye alilazimika kuuza nyumba ili kulipia madeni, aliiu
Za bei ya hasara akaenda kupangisha. Nilimuomba sana turudiane lakini alikataa, niliendelea kuishi nikiamini kama atarudi.
Mimi bado nilikua na nyumba ambayo mpaka wakai huo nilikua sijaimalizia hivyo nilimuambia nipo tayari kumuachia ili mradi tu nirudiane naye lakini alikataa. Kuchunguza alikua kwenye mahusiano na kijana mmoja na baada ya mimi kuanza kumsumbua walifunga ndoa na sasa wanaishi wote ana duka lake la nguo kimara. Si kubwa kihivyo lakini kwa ninavyomjua mke wangu ni suala la muda tu atafanikiwa, siwazi tena mali ila nawaza jinsi nilivyopoteza mwanamke mzuri kwasababu ya ubinafsi na kutaka mali ambazo hata nikifa nitaziacha.
Share:

#MKASA_HUU_UTAKUFUNZA_SANA_SOMA #UJIFUNZE_KITU.


Inasikitisha pole sana Irene
👇
Irene baada ya kufeli darasa la saba kule kijijini kwao #SONGEA alichukuliwa kufanya kazi ya HOUSEgirl jijini Dar es Salaam, alikua akilipwa elfu 40 kwa mwezi, elfu 20 alikua akiituma kwa Wazazi kijijini na 20 inayobaki anahifadhi akiba, nyumba ile alianza kukumbana na misukosuko ya kutisha ambapo Baba mwenye nyumba alikua akimlazimisha kufanya nae mapenzi wakati Mkewe na Watoto wakiwa hawapo nyumbani.
👇
Baba yule alimpa vitisho kuwa iwapo akitoa siri basi ndio utakua mwisho wake kukaa mjini, Irene alifikiria tabu za kijijini kwao akaamua kuvumilia, Baba yule alimpa zawadi na hela zingine za ziada kwa siri kubwa.
👇
Mtoto wa nyoka ni nyoka amini usiamini ila ndio hivyo, kijana wa kiume wa Baba mwenye nyumba ambaye alikuwa anasoma form 5 shule ya boys boarding akawa akirudi likizo anamlazimisha Irene kufanya mapenzi kwa vitisho vile vile kama vya Baba yake.
👇
Irene aliogopa sana mchezo ule mchafu anaofanya na Baba mwenye nyumba na mwanae Ali. "Hivi siku Mama Ali akijua itakuaje" alijiuliza kimoyomoyo Irene, miaka ilienda akivumilia unyanyasaji ule alipata mimba akaitoa ila bahati nzuri hakupata magonjwa, alipendeza sana Irene kwa namna familia ile ilivyomjali japo siri ya mapenzi kati yake na Baba na mwanae Ali hakuna aliyefanikiwa kuijua.
👇
Alitokea kijana mmoja ambaye ni dereva akajitambulisha katika familia ile na kumchumbia Irene, kwa niaba ya Wazazi wake kijijini familia ile iliridhia japo Baba mwenye nyumba alikubali kishingo upande maana ananyang'anywa tonge mdomoni, mahari ilitumwa kijijini Irene akaolewa.
👇
Mumewe alikua na kipato cha chini ilibidi Irene atumie hela zake alizokusanyaga kipindi cha HOUSEgirl kufungua kibanda chake cha kusajili lines pale Gongo la Mboto , siku moja alikuja kusajili line jamaa mmoja, "Naitwa Coplo Gama kusajili line ya tigo "Ni kiasi gani" Jamaa aliuliza baada ya kukaa. Irene alimjibu, "Elfu moja tu Kaka, kwani wewe ni polisi" Irene aliuliza. "Hapana mimi ni Mwanajeshi"jamaa alijibu. Wakati zoezi la usajili likiendelea, ghafla simu ya Irene iliita alipokea kumbe ni Wazazi wake waliongea kwa lugha ya KINGONI.
Irene alipomaliza kuongea na Wazazi wake Coplo Gama alimsikitikia na kumwambia, "Pole sana my kumbe mngoni mwenzangu, dunia ina shida sana ila hao ndio Wazazi wako na wanakutegemea huna budi kuwatumia chochote ulichonacho hata kama ni kidogo"
👇
Irene alihamaki kumbe Coplo ni mngoni na alielewa mazungumzo yote ambapo Wazazi wake kijijini walikua wakimlilia njaa na kumuomba awatumie japo chochote maana hali ni mbaya sana huko kijijini. "Kwani kwa mwezi unaingiza kiasi gani kupitia kazi hii⁉️" Coplo aliuliza. "Tigo wanatulipa laki 4 kwa mwezi" alijibu Irene."Umeolewa "Coplo aliuliza." Ndio, nina Mume na mtoto mmoja tayari "alijibu Irene." Hongera sana, una mtoto ila bado mrembo kweli kweli "Coplo alisifu." Asante"alijibu Irene.
👇
Maongezi yaliendelea hata baada ya zoezi la usajili wa line kukamilika, Coplo alimwambia Irene kuwa anataka amsaidie kumuingiza jeshini, Irene alifurahi kwa hoja hiyo akasema haina shida hata Mumewe atakubali tu maana ni mtu mpenda maendeleo.
👇
Baada ya kupeana namba za simu waliendelea kuwasiliana, ilipofika mwisho wa mwezi, Coplo alimwambia Irene aandae cheti cha kuzaliwa kopi 3, kitambulisho cha uraia kopi 2 barua ya ukazi kutoka serikali za mitaa yenye muhuri wa mjumbe na shilingi laki 3 na nusu kwa ajili ya fomu ya usaili jeshini.
👇
Irene alifanya yote hayo akishirikiana na Mumewe hela iliyokasoro akakopa. Coplo alimwambia Irene sasa aje nyumbani kwake siku ya Jumamosi pale Tabata ili ampe mbinu za kujibu maswali ya usaili apite moja kwa moja, Irene hakuuliza mara mbili alimuamini sana Coplo na kumchukulia kama ndugu na Kaka yake.
👇
Jumamosi alienda akakaribishwa ndani, baada ya story mlango ulifungwa, Coplo alimsogelea akaanza kumtomasa akamwambia, "Irene utanisamehe bure najua umeolewa ila kiukweli nakupenda sana toka siku ya kwanza nlipokuona, lazima nkusaidie uingie jeshini ila naomba japo nionje"
👇
Irene alibaki hajielewi alifikiri sana ila kwa kuwa ana shida na kazi alimkubalia. Baada ya mahaba mazito Coplo alimpa vijimaelekezo eti vya kujibu kwenye usaili. Irene aliondoka akiwa na huzuni ila akajipa moyo, ilikua siri yake moyoni hata Mumewe hakumwambia kuwa katafunwa.
👇
Baada ya wiki 3 Coplo akamwambia Irene aende tena nyumbani kwake akajaze fomu tayari ameshakuja nazo aje na passport 4 na damu kwenye kichupa kwa ajili ya vipimo ila akamsihi hatomfanyia chochote kama siku ile ya kwanza. Irene alienda akijipa moyo kuwa sasa zoezi linaelekea mwisho hivyo huzuni ile ya mwanzo itaisha, alipewa fomu za kujaza kweli ila baada ya zoezi Coplo akamfosi tena wafanye mapenzi kwa mara ya mwisho Irene hakuwa na cha kujizuia, alipigwa mtama chali kitandani akashughulikiwa.
👇
Irene aliondoka, baada ya mwezi Coplo alimuita, wakiwa sebuleni Coplo akijifanya analia na kusikitika alimwambia Irene, "Vipimo vya damu yako vimeonyesha uliwahi kutoa mimba kwa hiyo ombi lako la kuingia jeshini limekataliwa" Irene alihamaki, Coplo alimtimua, akiwa na huzuni zaidi,Irene njiani alilia sana akimlilia Mungu, "Kwa nini mimi eeh Mola⁉️" alifika nyumbani ila Mumewe siku ile aligundua Mkewe hayupo sawa, alimbana akamwambia, "Niambie kila kitu nini umefanywa huko na huyo Coplo‼️‼️⁉️ na kama huniambii nakupa talaka leo leo".
👇
Kwa uchungu huku akilia Irene aliamua kukiri yaliyotokea Mumewe alisikitika mno ila akamwambia, "YOTE HAYA NI SABABU YA SHIDA ZETU MKE WANGU, ILA MUNGU YUPO ATATULIPIA".
👇
Baada ya miezi kadhaa Irene alidhoofu kwa mawazo akifikiria muda na fedha alizopoteza kwa ajili ya utapeli wa Coplo. Irene aliugua alipopelekwa hospitali alipimwa na kukutwa amepata maambukizi ya virusi vya ukimwi, Mumewe pia alipima akakutwa nae ameshaambukizwa ukimwi, ilikua ni kilio kikubwa sana ila Mumewe alimfariji akamwambia, "USIJALI MKE WANGU, NAJUA UNAJUTIA KULETA MAUTI KATIKA NDOA YETU ILA NAJUA HUKUPENDA, ULIDANGANYIKA KUTOKANA NA UMASIKINI WETU, NAAHIDI SITOKUACHA NTAKUFA NAWE, USILIE TULIA TUMLEE MTOTO WETU HADI HAPO KIFO KITAPOTUFIKA".
👇
Irene alilia sana na kumuomba msamaha Mumewe, baada ya wiki 2 Irene alichanganyikiwa akawa taahira anazurura mitaani akilia, Mumewe alianza kutumia dawa za kupunguza makali ya virusi vya ukimwi ARV na hadi muda huu anaendelea kumlea mtoto vizuri alozaa na Mkewe Irene.
👇
Skendo ile ilivuma wasamaria wema wakapeleka taarifa polisi Coplo akakamatwa akakiri akafukuzwa kazi kwa aibu baada ya mwezi mmoja akajinyonga akaacha ujumbe usemao, "NAFSI IMENISUTA, NMEDHULUMU NAFSI ZISIZO NA HATIA, BORA NIFE".
#Funzo
Kama wewe ni MWANAUME jiulize ni nafsi za WANAWAKE wangapi unazidhulumu au umezizulumuJiulize wewe ni kama Baba mwenye nyumba au , mwanae Ali au Coplo Gama
Tambua malipo ni hapa hapa duniani na MWENYENZI MUNGU 👇 anakuona kwa dhuluma unazowafanyia WANAWAKE na MABINTI wa watu ipo siku utajutia.
Binti jiulize unatumia njia zipi kutatua shida zako⁉️ Je Unafanya kama Irene au
Ni vema binti kuepuka kutumia mwili wako kimapenzi kama njia ya kutatua matatizo yako yasijekukukuta matatizo makubwa zaidi hata ya hayo uliyofikiri unayatatua.
Kama umeguswa kwa namna moja au nyingine na mkasa huu na ungependa uwafikie watu wengi zaidi katika jamii tafadhali 🙏 SHARE STRAIGHT AWAY WITHOUT DELAYS
👍🏾👀👂#NZINGATIO👇
❤️ NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE NA MALAZI YAWE SAFI MAANA WAASHERATI NA WAZINZI MUNGU ATAWAHUKUMIA ADHABU
(WAEBRANIA 13: 4)
Share:

SIMULIZI YA KWELI KABISA

SIMULIZI YA KWELI:!

Msichana mmoja alkuwa anaishi na mjomba wake kwasababu wazazi wake walikufa, Baba kwa ugonjwa hatari wa UKIMWI, na Mama alijinyonga mwenyewe. 

Alikuwa ni Mtoto pekee, toka kwenye tumbo la Mama yake. 

Alisomeshwa na Mjomba wake toka nursery mpaka darasa la 7, na wakati binti uyo akiwa darasa la 7 mjomba wake alianza kuingiwa tamaa ya kimwili kwani alimuona binti uyo kuwa ni mzuri sana akamtamani.

Basi siku moja usiku, Mjomba alienda kwenye chumban cha binti nakumtaka kimwili huku akimtisha kuwa akigoma atamfukuza nyumbani kwake na hatomlipia ada za shule.

Basi binti akajaribu kupiga magoti nakulia kumuomba Mjomba wake hasiwe na roho iyo, lakini Mjomba wake hakumuelewa kabisa.

Basi ikabidi binti akubali kuondoka tu, kuliko kuingiliwa kimwili na Mjomba wake katika umri Mdogo Kama wake. 

Kwa hasira mjomba wake akamfukuza usiku uo huo. Basi binti alitoka nakuanza kuzulula mitaani hasijue aende wapi usiku wa manane uo, Binti aliangaika sana, na muda wote alikuwa akilia kwa njaa, kiu, miguu kuuma.
Usiku mmoja binti akiwa peke yake akaamua afanye jambo la mwisho, jambo lenyewe ni kumuomba MUNGU amsaidie. Alitandika box akapiga magoti nakuanza kumuomba MUNGU kwa hisia kali huku akibubujikwa machozi.

Alimaliza kisha akasema; 

"MUNGU kama huto nijibu, tafadhali naomba nichukue nije niwaone wazazi wangu!" Kisha akalala.

Asubuhi ya siku ya pili kuna mwanamke alikuwa akipita na gari yake mitaa iyo, alishangaa kumuona binti akiwa anaomba alafu kachafuka sana. Alijiuliza uyu ni kichaa, omba omba au muokota makopo.? Akaamua kusimamisha gari, kisha akamwita nakumjaribu kuwa aingie kwenye gari.

Basi akamchukua mpaka nyumbani, binti akamsimulia kila kitu yule Mama. Ndipo uyo Mama akampeleka binti kwenye shule binafsi ya gharama, nakumnunulia kila kitu kizuri Kama Mtoto wake wakumzaa vile.

Binti aliitimu elimu ya sekondary, akaenda chuo kikuu, akaitimu nako pia. Na sasa ivi navyo ongea binti uyo ameajiliwa anafanya kazi BANK KUU YA DUNIA MJINI USWIZ.

Ata wewe, MUNGU anaweza kujibu maombi yako. Lakini je; umemuomba nini na lini?

Namtabiria mtu mmoja anayesoma ujumbe huu, akapokee MUUJIZA wake, Kama akishare katika groups 3 za Facebook.

Hauto lia na wanao lia, wala kujuta na wajutao, ndani ya mwaka huu.

"Kwa imani sema AMEN"

Usiseme Amen, wala kushare, Kama huamini nguvu za MUNGU.
Share:

"BAADA YA NDOA KITANDANI" Chombezo..


Image may contain: 1 person
Baada ya uchumba wa muda mlefu na binti mrembo waki haya, atimaye ilifika siku ya kula kunywa nakusaza. Nilifunga naye NDOA huku Muda wote nikimtazama kifuani mwake jinsi chuchu zake zilivyo kuwa SAA Sita... Kiukweli nilishukuru MUNGU kunipa binti mbichi Kama uyu mwenye malezi bora.
Niliambiwa ni bikra na wazazi wake, ivyo kwa kuonyesha heshima sikutaka kumfanyia majaribio au kumuuliza uliza maana muonekano wake wa nje tu nililidhika kabisa.
Basi baada yakumaliza harusi ukafika ule muda wa wana NDOA KITANDANI.
Na madhungumzo yakawa ivi:
MUME: "Nakupenda Anitha mke wangu, yani siamini kama saizi nipo na wewe hapa"
MKE: "Usijali Mme wangu Mimi mwenyewe nashukuru maana nilisha kata tamaa kabisa!"
MUME: "Ulikata tamaa kivipi tena Mama..??"
MKE: "Yani wanaume wote walikuwa wananipa ahadi tu kuwa watanioa...!!"
MUME: "Mmh! Ivi mke wangu una uakika Mimi ndio mwanaume wa kwanza kulala na wewe..?"
MKE; "Ndio Mme wangu, tena ndio mala ya kwanza leo nimepata ata nafasi yakupumua..!!"
MUME; "Una maanisha nini mke wangu..??"
MKE; "Namaanisha tangu nianze kutombwa sijawahi kabisa kulala, tena mala ya kwanza ilikuwa kule nyumbani Bukoba nikiwa na miaka kumi na tatu...Babu mmoja alinibaka niliumia Sana ivyo sikulala wiki nzima..!! Nipe ata pole Mme wangu jamani honey...!!!??"
MUME; "Mmhhh!!..wee ende..Endelea TU..!!!"
MKE; "Ndio Kama ivyo! mbaya zaidi ni pale nilipo kuja hapa Dar, yani sijui niseme mkosi sijui bahati ata sielewi nisemeje..?!!"
MUME; "Wee sema vyovyote bhana..!!"
MKE; "Nilipo fika tu dar nikaanza kufanya biashara ya ngono, maana rafiki zangu walisema inalipa sana. Basi huwezi amini nilikuwa napata wateja balaa, kibaya zaidi hakuna ata mmoja aliyekuwa na kibamia, ivyo nilikuwa silali nikitoka kazini ni full mchoko... Yote tisa nilikuwa nikimpata mwanaume wa usiku mzima, ilikuwa ni hakuna kulala ni kitombo mpaka asubuhi...HAKIKA WEWE NDIO MWANAUME WA KWANZA KULALA NA MIMI...UNA BAHATI SANA...!!"
"NAPENDA SANA MSICHANA MKWELI MIMI"
.
Share:

SIMULIZI; HATA MIMI NI MTOTO WAWATU MAUMIVU ATAKAYOPATA MAMA YANGU NATAKA NA NYINYI MYAPATE!

 t...
See more
Image may contain: 1 person, text that says "/PDY HOTOGRAPHY"
Nilirudi kutoka kazini, nilikuta mtoto wangu analia sana pale nnje, alikua mchafumchafu makamasi yanamtoka, kajisaidia, inzi wamemzunguka kila mahali, alikua analia sana hakuvalishwa hata nguo, alikua uchi wa mnyama kakaa chini analia. Kidogo nidondoke kwa mstuko lakini nilimkimbilia na kumnyanyua, bila kujali uchafu wake nilianza kumbembeleza, nilimchukua na kumpeleka ndani kisha nikamsafisha na kumnyonyesha kwanza kwani alionekana alikua na njaa sana.
Baada ya kumhudumia mwanangu nilianza kazi ya kumtafuta Dada wa kazi, binti ambaye ndiyo nilimuachia mtoto, nilihisi kuna kitu kibaya kimemtokea kwani haikua kawaida yake. Ni binti ambaye nimekaa naye kwa muda mrefu tangu nina ujauzito mpaka kujifungua na sasa mtoto ana miezi sita. Alikua anampenda mwanangu kama wake kabisa na mtoto alikua anampenda Dada yake kuliko hata alivyokua ananipenda mimi.
Kusema kweli wakati mwingine niliona mpaka wivu kwani kuna wakati mtoto hataki hata kunyonya kama yule binti hayuko pembeni na kucheza cheza naye. Nilihisi kuna kitu kibaya, nilihisi labda kaondoka katoroka, lakini niliwaza ni kwanini amuache mtoto katika hali ile. Mbona asubuhi niliondoka akiwa na furaha kabisa nilifikiria sikuwaza ni kitu gani nilikua nimemkosea, niliwaza labda mume wangu lakini nilisema hapana.
Mume wangu hakua akijishughulisha na wasichana wa kazi muda mwingi alikua bize na kazi zake hakaua hata na mazoea. Niliamua kumpigia simu lakini iliitia ndani chumbani kwake, nilienda na hakukua na mtu. Nilikaa kama nusu saa hivi nikasema nimpigie simu mume wangu kumuambia labda alikua anajua kitu, lakini simu yake iliita bila kupokelewa.
Nyumba tunayokaa ni ya uzunguni kidogo, hivyo majirani ni mpaka kutembea kama mita mia tatu hivi, sikujali ingawa najua hana mazoea na majirani lakini nilienda kuuliza na hawakumuona. Wakati narudi nyumbani niliona Gari ya mume wangu imepaki nnje ya geti la nyumba yetu, nilijua mume wangu alikua karudi hivyo nilienda kumuangalia. Wakati nakaribia nilimuona mume wangu akishuka na kufungua geti.
Alipokua anarudi kwenye gari ili aliingize ndani macho yetu yaligongana, nilijajribu kumuita lakini harakaharaka aliingia kwenye Gari na kukanyaga mafuta ili kuingia, nikama alikua ananikimbia nilishangaa. Nilijikuta bila kuamua naongeza mwendo, ile naingia tu kwenye geti namuona Binti wa kazi anashuka harakaharaka kwenye Gari la mume wangu, anataka kama kukimbia kuingia ndani, lakini anaonekana kama vile hawezi nikama anachechemea.
Mume wangu naye anazima Gari palepale kabla hata hajalipeleka kwenye sehemu ya kupaki kwa nyuma, anashuka kwenye gari bila kuongea na mimi anarudi na kutoka nnje kabisa kwenye geti anatokomea. Narudi kwa Dada wakazi ambaye ashafika mlangoni, anakaribia kuingiandani lakini namzuia, naanza kumuuliza alikua wapi na mume wangu na kwanini alimuacha mtoto peke yake anageuka.
Najikuta napigwa na mshangao kwani naona nguo kwambele ni kama zimeloa damu, anajaribu kuniongelesha lakini anaishiwa nguvu anadondoka na kua kama amepoteza fahamu. Pale sasa ndiyo nachanganyikiwa, namkalisha mtoto pembeni na anza kumpepea, nataka nimpeleke Hospitalini lakini nasita. Namkagua na moja kwa moja nagundua kuwa yule binti amebakwa, nasema amebakwa kwani mimi ni Daktari hivyo najua mtu aliyebakwa nishakutana nao wengi.
Ukiangalia mikono inaonyesha ilishikwa kwa nguvu, kama vile alibanwa chini na mtu, hajachafuka hivyo inaonekana walikua sehemu nzuri, lakini itoshe tu kusema najua amebakwa na kwa ilivyoonekana najua ni mume wangu kamfanyia kile kitendo. Sasa naogopa hata kumpeleka Hospitalini kwani itabidi nitoe taarifa Polisi na mume wangu ataishia jela. Kwakua ni mtalaamu napima mapigo ya moyo, hajazimia kabisa ni kama ameishiwa nguvu tu.
Sijui nimepata wapi unguvu namnyanyua namuingiza ndani, namtengenezea maji ya Glucose nampa anapata nguvu kidogo na kunyanyuka. Anataka kuomngea lakini namkataza, sitaki kusikia, sitaki kujua alichofanyiwa namuambia anywe maji kisha aingie chumbani kwake akaoge na kuwa vizuri. Amepata nguvu kidogo namsaidia kunyanyuka mpaka chumbani kwake namuacha alale.
Naondoka harakaharaka kwani sitaki anisimulie. “Dada lakini Baba amenibaka…ameni…” Anaanza kuongea wakati huo nishafika mlangoni, kqwa uchungu najifanyua sijasikia natoka nnje. Naingia chumbani najikuta naanza kulia kama mtoto mdogo huku nikiwaza mume wangu umefanya nini? Nataka kumsaidia yule binti lakini siwezi bila kumuangamiza mume wangu, najua nikiripoti Polisi ni miaka thelathini.
Lakini hata kama asipofungwa ni aibu, nitaweka wapi uso wangu, nasema poteli ya mbali, binti atapona nitamrudisha kwao na nitaongea na mume wangu maisha yataendelea. Jioni mume wangu anarudi, binti bado kalala ndani, alitaka kuamka kufanya kazi za ndani nikamkataza. Naongea na mume wangu ambaye anajifanya hajafanya chochote yeye alimuokota vile, namuambia najua ulichofanya.
Haombi hata msamaha ananiuliza “Kwahiyo umeamua nini? Unaondoka au la, kama unaondoka ondoka sijali.” Nashindwa hata cha kusema najikuta nayamaza, mume ananinunia wiki nzima kana kwamba mimi ndiyo nimekosea, kama mjinga namuomba msamaha, najifanya kumuomba msamaha kwa kumshutumu na kumsingizia mambo ya uongo. Ananisamehe lakini kwa shariti yule binti aondoke pale hamtaki.
Ndoa ndiyo ina miaka miwili tu na yule ndiyo alikua mfanyakazi wetu wa kwanza, nawaza hivi akiondoka nikaleta mwingine si atamfanyia hivyo hivyo. Namuambia sawa lakini mpaka nipate mwingine. Kweli naanza kutafuta kwani kanipa wiki moja tu ya kutafuta msichana mwingine, Napata huko Kijijini hivyo inabidi nimfukuze huyu kabla huyo mwingine hajaja ili asijemuambia kilichompata na akaniharibia.
Nawahi kurudi nyumbani ili angalau nimpeleke Shoping akawanunulie ndugu zake zawadi, najua alichomfanyia mume wangu hivyo nataka asiondoke kwa ubaya, nikama nataka kumlipa hivi ilia nyamaze. Nafika nyumbani, najaribu kugonga mlango haufunguliwi, nashuka kwenye Gari nafungua geti dogo naingia kisha nafungua kubwa naingiza Gari. Nafika mpaka ndani naanza kuita, naita naita we sisikii mtu.
Naamua kwenda chumbani kwa Dada kumuangalia, namkuta amelala na mtoto kalala pembeni, Napata ahueni kidogo. Narudi kujiandaa naoga na kuabdili nguo, kisha narudi tena chumbani kwake nakuta bado amelala, nasema hapana si kawaida yake ngoja nimuamshe. Najaribu kumgusa ni wabaridi, nastuka, namgeuza nakuta mapovu yamemjaa mdomoni, Mungu wangu, sijiulizi mara mbili amekunywa sumu.
Naangalia mapigo ya moyo nakuta tayari alishapoa zamani, nachnganyikiwa siwezi hata kumnyanyu, sitaki kupiga kelele na kumuamsha mtoto, natoka nnje nampigia simu mume wangu ili aje kabla ya kwenda popote. Namuambia kila kitu ananiambia nisifanye chochote mpaka aje kwani inaweza kuleta shida, nashindwa hata kurudi chumbani kumuangalia akili ni kama zimeniruka.
Baada ya kama nusu saa hivi mume wangu anarejea ananiuliza nini nampeleka mpaka chumbani. Namuambia aingie polepole mtoto amelala sitaki aione ile maiti pale. Anaingia na kusema tumtoe pale kwani tukimgusa mtoto ataamka, tunataka kumshika lakini kabla ya kumgusa tunaona kakaratasi pembeni yake. Nakachukua harakaharaka na kukasoma.
“Dada unajua mume wako amenibaka sikutaka kufanya lakini hukujali, nilikua bado bikra ameniaribia usichana wangu sasa mimi nitaolewa na nani. Nimeamua kuchukua maisha yangu lakini nataka mpate uchungu kama atakaoupata Mama yangu na mtoto wenu naye nimempa sumu.” Ujumbe unaishia hapo, nadondosha kile kikaratasi ndiyo napata wazo la kumgusa mwanangu, namgeuza nayeye naona mapovu tu, alishapoa muda mrefu, nguvu zinaniishia nadondoka na kupoteza fahamu.
Ni mwaka wa pili sasa tangu tukio hili litokee lakini kwangu ni kama jana. Nashindwa hata kumlaumu mume wangu najilaumu mimi kwani ndiyo nilificha madhambi yake na kumuacha binti wa watu akiteseka katika msongo wa mawazo. Kama Daktari nilikua na wajibu wa kumsaidia yule binti na kama Mama nilikua na wajibu wa kumlinda na watu kama mume wangu lakini nilichagua upande wa udhalimu, ndiyo sina tofauti na mume wangu aliyembaka yule binti.
***MWISHO***
Share:

KABLA YA KUINGIA KWENYE NDOA MJUE MWANAUME WAKO?

utamu kitandani app

Kama upo kwenye mahusiano ambayo unaona kabisa yapo siriasi na yanaweza kuelekea kwenye ndoa basi kuna vitu vidogo vidogo ambavyo kama mwanamke unatakiwa kuvijua. Wanawake wengi huharibu mahusiano yao kwa vitu vidogo ambavyo wanaamini wanavifanya kwa kujenga. Kwa mfano, kuvumilia, kuvumilia huua ndoa nyingi sana kwani wanawake huingia kwenye ndoa kwa kuigiza huku wanaume wakiingia kwenye ndoa wakidhani kuwa wanawake wao wanaridhika na aina ya maisha wanayoishi.

Labda niwape mfano mmoja, mwanamke anaweza kuwa na mwanaume Malaya ambaye anabadilisha wanawake kila siku, wakati wa uchumba asiongee chochote akisubiri wakati wa ndoa ndiyo aongee. Kwakua anabembelezea ndoa anaamini kuwa atabadilika, lakini baada ya ndoa tu mwanaume anaendelea kuwa Malaya huku mwanamke akianza kulalamika kuhusiana na tabia za mwnaaume. Unakuta ndoa ina miezi mitatu tayari washaenda ukweni zaidi ya mara tatu kushitaki.

Mwanamke kabla ya kuingia kwenye ndoa ni lazima umjue mwanaume wako na kujua namna ya kuishi naye. Ujue kuwa mwanaume habadiliki kwenye ndoa bali huharibikia kwenye ndoa hivyo ni lazima ujue namna ya kudili naye kabla ya kuingia kwenye ndoa. Wewe kwenda kumlalamikia kwa Mama yake, Baba yake haitakusaidia chochote zaidi ya kuwasumbua wazee watatu. Ni lazima ujifunze namna ya kuwa na furaha yako na namna ya kudili na matatizo ya mume wako bila kuwa mtu wa kulalamika na kulia kila siku.

Hapa ndipo kinakuja kitabu cha “Ndoa Yangu Furaha Yangu” kusome kabla ya kuingia kwenye ndoa kwani kitakusaidia sana na zaidi kuliko kusubiri ushaanza kupata matatizo ndiyo unakisoma. Bei ya kitabu hiki ni shilingi elfu kumi tu. Kukipata kitabu unalipia kwa M-Pesa no. 0742-381-155 au Tigo Pesa No. 0657-552-222 baada ya hapo kitabu unatumiwa kwa njia ya Whatsapp/Email/Facebook. Kitabu hiki ni soft copy hakuna hard copy (vya karatasi).
Share:

Unapotokea kumchagua mtu wa maisha yako changua akili ...then muonekano ufuate .

..Image may contain: 1 person, standing

Chagua bidii ya upendo anaojaribu kukuonyesha .. Chagua bidii ya maisha anayojaribu kupambana nayo kila siku... Mtu mvivu atakuwa mzigo kwako.

Chagua utu uliomo ndani yake ..maana utu ukikosekana hatakuwa na huruma na wewe.
Chagua heshima anayokupa ..maana utajivunia kuwa nae.
Chagua uvumilivu atakao kuvumilia wakati ambao utakuwa na wakati mgumu.

Chagua hofu ya Mungu iliyojengeka ndani yake ...anaweza kuwa hauzurii nyumba za ibada lakini ipo hofu ya Mungu ndani yake ...wapo watu wa namna hiyo.. Atakuhurumia, atakupenda, atafurahi anapokuona umeweka bidii katika kumtafuta Mungu.

Chagua ulinzi wa kihisia atakao kuwekea ..mtu ambae atajaribu kulinda hisia zako....ikitokea amefanya kosa atafanya bidii ya kukuonyesha yale yalikuwa ni makosa but mimi bado ni mtu mwema na bora kwako.

Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU