Kwanza kabisa tambua ndoto yako Ni nini au unataka kuwa nani ktk maisha yako.
Panga malengo yako,
Weka mipango ya kufanikisha ndoto yako,Weka utekelezaji...
Kwanza ifahamike wazi UPENDO NA MAPENZI ni mambo ambayo hayana mlengo mmoja💯Ukitaka kujua hilo jiulize pamoja nami;👉🏼 KWANINI MTU ANASALITI NA HUKU ANAMPENDA ALIYE MSALITI?UPENDO...
*1: MUME BACHELA*
Anafanya mambo kivyake-vyake bila kumshaurisha wala kumshirikisha mke. Muda mwingi anautumia kukaa na marafiki kuliko mkewe. Hayuko...