Kwanza ifahamike wazi UPENDO NA MAPENZI ni mambo ambayo hayana mlengo mmojaπ―
Ukitaka kujua hilo jiulize pamoja nami;
ππΌ KWANINI MTU ANASALITI NA HUKU ANAMPENDA ALIYE MSALITI?
UPENDO ni matokeo ya uhitaji wa NAFSI bila kuangalia sababu wala kujiuliza KWANINI UMPENDEπ
MAPENZI ni matokeo ya HISIA bila maswali ya ni nani na yupi ndiye analeta hali hiyoππ
Kwa ufafanuzi huo utakubaliana nami kwamba;
π MTU ANAWEZA KUKUPENDA KABISA LAKINI HANA HISIA NAWE NA AKAKUSALITI JAPO MOYONI MWAKE UMEJAA NA AKAAMUA KWENDA KWA MWINGINE KWA MAPENZI MOTO MOTO MAANA HISIA ZAKE ZIMEMPELEKEA KUFANYA HIVYOππ
Usihadaike na Mtu kukupenda eti asiweze kukusalitiβοΈ
Maana UPENDO WAKE WA DHATI UPO KWAKO LAKINI MAPENZI YAKO HAYAMPI HISIA ndo maana mwenye hisia nae anakuibia PENZI lakoππ
Vivyo hivyo usijidai wewe mjuzi wa MAPENZI kwamba UKO ZAIDI YA MWENYE MKE/MUME kwani wewe umebebwa na HISIA ZAKE KWAKO mwenye DHAMANA YA UPENDO WAKE YUPOπ
Ili thamani ya Mtu kumaanisha UPENDO WA DHATI β€οΈ kwako ni pale ANAPOKULINDAπ―
Ukilindwa HUTASALITIWA na mwenza wako akikulinda ATAKUPA HESHIMA ndipo utashuhidia UAMINIFU.
Ukipendwa halafu na Hisia zikaangukia kwako niamini WEWE NI ALMASI π
Mara nyingi ni ngumu mnoooo KUPENDWA NA HISIA ZA ZIKAWA KWAKO ndo maana halisi ya USALITI ambao umekuwa kama wimbo miongoni mwa MAHUSIANO NA NDOA nyingi, Fumbo la UPENDO hufumbiwa MDHAIFU lakini pia fumbo la MAPENZI hufumbiwa MWENYE TAMAAπ
Kwa taarifa yako:-
π WANAOSALITI MAHUSIANO NDOA ZAO WANAWAPENDA WENZA WAO KULIKO WEWE SEMA WEWE UNASABABISHA KUKATA KIU YA MTUπ
#Elista_kasema_ila_sio_Sheria π¨
Ukitaka kujua hilo jiulize pamoja nami;
ππΌ KWANINI MTU ANASALITI NA HUKU ANAMPENDA ALIYE MSALITI?
UPENDO ni matokeo ya uhitaji wa NAFSI bila kuangalia sababu wala kujiuliza KWANINI UMPENDEπ
MAPENZI ni matokeo ya HISIA bila maswali ya ni nani na yupi ndiye analeta hali hiyoππ
Kwa ufafanuzi huo utakubaliana nami kwamba;
π MTU ANAWEZA KUKUPENDA KABISA LAKINI HANA HISIA NAWE NA AKAKUSALITI JAPO MOYONI MWAKE UMEJAA NA AKAAMUA KWENDA KWA MWINGINE KWA MAPENZI MOTO MOTO MAANA HISIA ZAKE ZIMEMPELEKEA KUFANYA HIVYOππ
Usihadaike na Mtu kukupenda eti asiweze kukusalitiβοΈ
Maana UPENDO WAKE WA DHATI UPO KWAKO LAKINI MAPENZI YAKO HAYAMPI HISIA ndo maana mwenye hisia nae anakuibia PENZI lakoππ
Vivyo hivyo usijidai wewe mjuzi wa MAPENZI kwamba UKO ZAIDI YA MWENYE MKE/MUME kwani wewe umebebwa na HISIA ZAKE KWAKO mwenye DHAMANA YA UPENDO WAKE YUPOπ
Ili thamani ya Mtu kumaanisha UPENDO WA DHATI β€οΈ kwako ni pale ANAPOKULINDAπ―
Ukilindwa HUTASALITIWA na mwenza wako akikulinda ATAKUPA HESHIMA ndipo utashuhidia UAMINIFU.
Ukipendwa halafu na Hisia zikaangukia kwako niamini WEWE NI ALMASI π
Mara nyingi ni ngumu mnoooo KUPENDWA NA HISIA ZA ZIKAWA KWAKO ndo maana halisi ya USALITI ambao umekuwa kama wimbo miongoni mwa MAHUSIANO NA NDOA nyingi, Fumbo la UPENDO hufumbiwa MDHAIFU lakini pia fumbo la MAPENZI hufumbiwa MWENYE TAMAAπ
Kwa taarifa yako:-
π WANAOSALITI MAHUSIANO NDOA ZAO WANAWAPENDA WENZA WAO KULIKO WEWE SEMA WEWE UNASABABISHA KUKATA KIU YA MTUπ
#Elista_kasema_ila_sio_Sheria π¨