-->

JE MWENYE UPENDO WA DHATI ANAWEZA KUSALITI PENZI ALIPENDALO🤔




Kwanza ifahamike wazi UPENDO NA MAPENZI ni mambo ambayo hayana mlengo mmoja💯
Ukitaka kujua hilo jiulize pamoja nami;
👉🏼 KWANINI MTU ANASALITI NA HUKU ANAMPENDA ALIYE MSALITI?
UPENDO ni matokeo ya uhitaji wa NAFSI bila kuangalia sababu wala kujiuliza KWANINI UMPENDE😘
MAPENZI ni matokeo ya HISIA bila maswali ya ni nani na yupi ndiye analeta hali hiyo🍌🍑
Kwa ufafanuzi huo utakubaliana nami kwamba;
👉 MTU ANAWEZA KUKUPENDA KABISA LAKINI HANA HISIA NAWE NA AKAKUSALITI JAPO MOYONI MWAKE UMEJAA NA AKAAMUA KWENDA KWA MWINGINE KWA MAPENZI MOTO MOTO MAANA HISIA ZAKE ZIMEMPELEKEA KUFANYA HIVYO🍆👄
Usihadaike na Mtu kukupenda eti asiweze kukusaliti⛔️
Maana UPENDO WAKE WA DHATI UPO KWAKO LAKINI MAPENZI YAKO HAYAMPI HISIA ndo maana mwenye hisia nae anakuibia PENZI lako😂😂
Vivyo hivyo usijidai wewe mjuzi wa MAPENZI kwamba UKO ZAIDI YA MWENYE MKE/MUME kwani wewe umebebwa na HISIA ZAKE KWAKO mwenye DHAMANA YA UPENDO WAKE YUPO📍
Ili thamani ya Mtu kumaanisha UPENDO WA DHATI ❤️ kwako ni pale ANAPOKULINDA💯
Ukilindwa HUTASALITIWA na mwenza wako akikulinda ATAKUPA HESHIMA ndipo utashuhidia UAMINIFU.
Ukipendwa halafu na Hisia zikaangukia kwako niamini WEWE NI ALMASI 💎
Mara nyingi ni ngumu mnoooo KUPENDWA NA HISIA ZA ZIKAWA KWAKO ndo maana halisi ya USALITI ambao umekuwa kama wimbo miongoni mwa MAHUSIANO NA NDOA nyingi, Fumbo la UPENDO hufumbiwa MDHAIFU lakini pia fumbo la MAPENZI hufumbiwa MWENYE TAMAA💉
Kwa taarifa yako:-
👉 WANAOSALITI MAHUSIANO NDOA ZAO WANAWAPENDA WENZA WAO KULIKO WEWE SEMA WEWE UNASABABISHA KUKATA KIU YA MTU😂
#Elista_kasema_ila_sio_Sheria 🔨
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU