-->

SMS MPYA TAMU NA ZA KUMTUMIA MPENZI WAKO USIKU HUU

Kilicho chema ni chema hakibadili tabia!Busara na nia njema"ALLAH"Amekujaalia ALLAH akupe salama na nyota kukung'aria Asojuwa kukupenda hana Raha ya dunia.


(2Moyo hauna nafasi kwa pendo lilo na nia, sijali wala sihisi kwako nimejitolea, kwangu toa wasiwasi sishindwi kukuridhia, kwa yangu hii nafasi moyo umekuchagua)..............



3Penzi langu maarufu nakupa unienzie, Tena ni penzi nadhifu hilo lazima ujue, Wala si penzi la khofu wasiwasi likutie, Ni penzi la insaaf nampa nimpendae,Kama kupenda mauti kwako nitayarikufa,kama kupenda maradhi dawa kwko natafuta, kama kupenda bahati mwenzako naitafuta ,naomba nipe nafasi mwenzako nataab Na wala sitampa mwengine asiyefanana na wewe.. LÖVEika.ILOVE..............


4RAHA YA WAPENDANAO VIZURI KULIWAZANA, KUDUMISHA PENZI LAO NA MOYONI KUSHIBANA, HUWA 1 LENGO LAO KW NIA KUSAFIANA, ZAWAD YNG YA LEO NIKUA KW AJILI Y ALLWANAO ISIFU ASALI NITAMU NADHANI WAMEPOTEA. HUWATIA WATU HAMU MACHO KUIKODOLEA. KUNAVINGI VITAMU WATU HAWAJAVIJUA KWANZA NIYAKOSALAMU MM NAIZIMIKIA AS.ALAH 'N'A'K'UP'E'ND'A'SANA' AYKUM MY SWEAT................


5....Kukaa kimya siwezi bila kukusalimia, Na naomba kwa Mwenyezi mazuri kukufikia, Yarabi atakuenzi katika hii ndunia, Mola kwa yake Mapenzi Peponi utaingia. "AMIN" ........


6...Nuru ya Allah iliyo Mbinguni.Imulike kwako,Mola akutimizie mahitaji yako,riziki ya halali iwe pato lako,Hasad iwe ngeni kwako.kukaa na watu vyema iwe ngao yako.kila zito,liwe takhfif kwako.Na inshaallah jannat Firdaus iwe pepo yako.Amin,tuma dua hii kwa watu 7 sasa hivi utaona majibu mazuri kwaizini ya allah......


7........Hakika ulipozaliwa ulikuwa unalia, wakati waliokuzunguka walikuwa wanatabasamu! Ishi maisha yako kwa unyenyekevu na ukamilifu! Ili utakapokuwa unaingizwa ktk mwanandani uwe peke yako unaetabasamu! Ilhali waliokuzunguka wakilia! Hakuna kinachoitwa kuchelewa ktk jambo jema! Anza sasa!,,,,,,,,,


8.........Kwä wéma ümétìmìä,kwä ükärìmü ñäküsìfìa,hékò kwä älìyèküzää,shùkräñ kwä alìyékülèa,pépö yà fìrdäüÇ ütäìñgìä hìì ñì düä ñäküömbéa. Améèñ........


9........Nnakualika kwenye happy birthday yng,itayfnyika ktndani,kuanzia 3usk -3as,mlishwaji keki isiyo oza ni ww na shughuli zote utakamilisha ww.UKILALA FIKRA ZOTE ZIWE KNG.G9T H...,,,,,,,,,,,,,


10.........YaRabb!Huyu ni mja wako anaesoma msg hii Akikusahau Usimsahau, Akikosa Msamehe, Akikuomba Mtakabalie, Akitamani lenye Kheri Mpe, Akiugua Mfutie Dhambi zake, Akikasirika Mpe Subra, YaRabb Mjaalie awe mja wa Peponi, Mwepushe na balaa zote na Umpendezeshe kwa viumbe wote.Asubuhi njema .,,,,,,,,,,


11.......NIPO NIPO KITANDANI,UBAVUNI HUNIONI.DOZI NIMEKULETEA KWANZA BUSU LA SHVUNI.PILI NAKUKANDA MWILINI. NAKURAMBA KICHWA CHAKO CHA CHIN .NAKUTAMKIA NIPO WAKO YOURHONEY-...-G9T,,,,,,,,,,,,,


12.......Rabbi tatupa umoja, daima tuelewane, roho zetu ziwe moja, mabaya yasi tuone, Peponi tuwe pamoja, siku zote tuo nane.(WEEKEND NJEMA.BYE MMMMMMMMMMMMMMWWWWAAAH.,,,,,,,,,,


13....Kwa imani yako, A L L A H akupe pepo ya duniani na akhera, Kwa ukarimu wako, A L L A H akufungulie kila lenye kheri, Kwa ihsani yako,,,,,,,,,,


14......WEMA WAKO HAUPIMIKI KWA MEZANI,UZURI WA IMANI YAKO HAUNA KIFANI,HAKIKA TABIA YAKO YASHINDA LULU YA PWANI, NAKUOMBEA KWA MOLA UWE MTU WA PEPONI ^AMMIN^,,,,,,


15.......Namuomba الله Akuzidishie امان Akupe احسان Akujaze na صبر Akupambe naذكر Akupe تقوا Akukubalie توبه na maombi yako.Ameen.,,,,,,,


16.....Hii ndio ihsan na ishara njema kwetu asubuhi na jioni kujuliana hali zetu tumuombe YAA KARIM aulinde upendo wetu cku nzuri ya ijumaa imefika iwe furaha miongoni mwetu na ww pia......
17........Moyoni mwangu hutoki nakuomba ukubali, nawala sibadiliki hilo kwangu ni muhali, si km sikukumbuki zimenijaa shuhuli, ww kwangu si rafiki ni ndugu nnaekujali.....


18.,,,,,,Ewe ulo2lizana chaguo la moyo wng kila nnapokuona huniondoka machungu tabia zako mwanana zmeuteka moyo wangu yoyote atakaekuona mwambie ww ni wangu.I love u mwa.....


19,,,,,,,,,Kiapo naapa shahidi wangu mwenyezi sitotapatapa na kukutia simanzi pendo lnq nimekupa nipate mema malezi najua hutoli2pa limefika kwa mjuzi.G9T HONEY.,,,,,,


20,,,,,Moyo unasikitika hauto acha daima. Machozi yatiririka siusiku si mchana. Huzuni imenishika kwa vile sijakuona wallahi ninakupenda anaejua rabana ILOVE TOO,,,,,,,,,,


21,,,,,,,,,,,,,,,, .+"''"+JIONI + "+ YA LEO +" "+ , +" Allah akujalie furaha yako iwe kivuli chako,afya njema iwe vazi lako,amali njema ziwe pambo lako,watu wema ndio wawe swahiba zako ,na firdausi ajaalie ndio iwe pepo yako wewe pamoja na familia yako. JIONI NJEMA",,,,,


22,,,,,,,,,,,Kwa kawaida busu la upendo hupigwa mdomoni. La zawadi hupigwa shavuni. La salamu hupigwa mkononi. La mahaba hupigwa kitovuni Je!La kukumis nilipige wapi?jioni njema,,,,,,,,,,,,,,,

23,,,,,,,,,,ndege tausi alimuuliza kasuku "hivi kuna viumbe wazuri kuliko sisi duniani?"kasuku akajibu,ndio wapo kama hujui mtizame huyu anayesoma msg hii."!!
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU