-->
Showing posts with label KUTONGOZA. Show all posts
Showing posts with label KUTONGOZA. Show all posts

Siri za kudumu katika mahusiano ya kimapenzi

Watu wengi wanatamani kudumu kwenye uhusiano lakini bahati mbaya huwa inashindikana. Mtu ambaye hadumu kwenye uhusiano, si kwamba anakuwa hapendi bali inatokea tu kutokana na sababu mbalimbali. Inatokea kwa sababu, huenda pengine ni kutokana na tabia zake au za mwenzake. Mfano, yawezekana akawa na ‘mdomo’ sana, yawezekana akawa mbinafsi. Au ana hulka ya ugomvi lakini mwenzake hana. Yawezekana akawa na tabia za kuchepuka.

Yawezekana tatizo likawa la mwenzake, Akawa ana tabia zisizompendeza mpenzi wake. Yawezekana akawa mbinafsi, yawezekana akawa na hasira kali au akawa na tabia mbaya ambazo mwenzake ameshindwa kuzivumilia. Kikubwa tu, watu hushindwa kudumu penzini kwa kupishana mambo mbalimbali. Kuanzia tabia, mtindo wa maisha na wengine kutoelewana dhumuni la safari yao.

Mara kadhaa nimekuwa nikisisitiza, unapoanzisha uhusiano na mwenzako lazima kwanza mjue lengo au madhumuni ya huo uhusiano wenu. Mwanamke ajue kwamba uhusiano wao ni wa muda mrefu au wa muda mfupi.

Una malengo au hauna? Vivyo hivyo mwanaume, kwa kinywa chake, kutoka moyoni athibitishe lengo na madhumuni ya uhusiano wake ili mwenzake ajue kabisa kwamba yupo kwenye uhusiano wa aina gani. Baada ya hapo ndio muanze safari.

Na hii ndio siri ya maisha. Ndiyo siri ya uhusiano wote. Mkishajua madhumuni ya safari yenu, kinachofauta ni kukipa umuhimu kipaumbele chenu. Pamoja na kujua kwamba mtakumbana na changamoto mbalimbali katika safari yenu lakini mnapokumbuka umuhimu wa safari yenu, mnatiana moyo. Mnapokutana na magumu yasiyokuwa na mfano, hamkati tamaa. Mnainuka na kusimama tena. Kila mmoja anapomuona mwenzake kakosea, anambebea makosa yake na kumsamehe kulingana na uzito wa safari yao.

Ni kama kiapo. Mnaapa kutoachana, mnaapa kuianza safari pamoja na kuimaliza pamoja. Kifo pekee ndicho kitakacho watenganisha kama kweli wote wawili mtakuwa na nia moja, dhumuni moja la kujenga uhusiano wenu hudumu. Wapenda-nao mnapaswa kuzungumza lugha moja. Kwa pamoja mnapaswa kuazimia namna ambavyo safari yenu mnataka iwe. Mathalan, mnataka muishi maisha ya aina gani? Mnataka kufikia hatua au kufunga ndoa ya aina gani?

Ili muweze kufanikisha safari yenu ya ndoa, mnapaswa muishije? Narudia tena, kusikilizana ndio jambo kubwa sana katika safari yenu. Asiwepo mtu wa kumdharau mwenzake. Mwanamke, amthamini mwenzi wake kuliko mtu mwingine yeyote. Mwanaume, amthamini mwanamke wake katika kiwango cha hali ya juu. Asikubali kuyumbishwa na tamaa za kimwili, asirudishwe nyuma na maneno ya watu na kisiwepo kizingiti chochote cha kumkatisha tamaa.

Kwa vyovyote itakavyokuwa, suala lenu la ‘utaifa wa uhusiano’ ndio mlitangulize mbele. Muishi mkijua kwamba, uhai wa penzi lenu mmeushikilia nyinyi wawili. Mna kila sababu ya kulilinda penzi lenu kwa gharama yoyote kwani mafanikio ya uhusiano wenu, ni mafanikio ya wote wawili.

Mpendane. Mheshimiane katika kiwango cha juu. Kila mmoja atambue majukumu yake. Mwanamke amtii mwanaume, amheshimu. Mwanaume ampende sana mwanamke. Asimdharau, atambue thamani yake katika nyumba licha ya kwamba mwanaume ndio kichwa cha familia.

Mwanaume asivimbe kichwa. Amshirikishe mwenzake katika masuala yanayohusu maisha na uhusiano wao. Hata ikitokea mmepishana kauli, shukeni. Kila mmoja aongozwe na busara kwamba, ipo njia mbadala ya kuwavusha kwenye mabishano hayo bila kusababisha mtafaruku.

Mwanamke usiwe mzungumzaji sana kwa mwanaume. Mpe faraja pale inapobidi. Farijianeni katika vipindi mbalimbali mnavyopitia. Muanguke na kuinuka pamoja. Asiwepo mmoja kati yenu achukulie changamoto ya mwenzake kama si yake.

Kila mmoja aguswe na matatizo ya mwenzake. Mnapokuwa kwenye furaha, kwa pamoja pia mfurahi. Msiwe na tamaa. Tengenezeni maisha yenu mnayoyataka. Kwa pamoja mtakuja kufurahia ushindi wa safari yenu.
Share:

NI MAMBO YAPI HASA YANAYOMFANYA BINTI KUONEKANA *WIFE MATERIAL* NA KUWAVUTIA "WAOAJI" NA HATIMAYE KUOLEWA ??!....

Mature black couple embracing on sofa while looking to each other. Romantic black man embracing woman from behind while laughing together. Happy african wife and husband loving in perfect harmony. Stock Photo - 124982868
Wanawake wengi na mabinti wamekua wakihangaika mno kutafuta namna ya kuwa na mvuto kwa wanaume WAOAJI ila wengi hufeli na kujikuta wakiangukia katika midomo ya matozi wala bata wavaa milegezo mwishowe kuishia kuchezewa na kuumizwa hisia zao. Ukweli ni kwamba kujiweka ili uonekane kuwa wewe ni WIFE MATERIAL haihitaji Degree wala Diploma.


JE! WAOAJI HUVUTIWA NA NINI ZAIDI?
Dada, Mwanaume mwenye busara hashawishiki na Uzuri ulionao, umbile lako, mawigi na mitindo ya nywele unayobadilisha kila siku, wala kwa rangi yako hiyo ya kizungu uliyoinunua dukani kwa sh 3500.

Mwanaume mwenye busara huvutiwa na Hekima, busara na maarifa uliyonayo. Uzuri wako bila Vitu hivi ni sawa na BURE, hamna kitu.
Muonekano wako wa nje utavutia wababaishaji (mashalobalo) na si Waoaji. Uzuri wako unafaa kwa matumizi ya mara moja kitandani na si kwa kuwekwa ndani.
Kweli dada ni mzuri, shape ya kuvalia Nguo unayo, hata ukivaa dela bado unaonekana, Lakini sasa unaifukuzia miaka 30 hata dalili za Ndoa hamna, unabaki kushuhudia harusi za wadogo zako miaka 20 - 22 wakiolewa.
Dada ni kweli kwa nje unaonekana mtu lakini ndani hauna kitu, upo mtupu sana, umepwaya. Haubebeki, haununuliki, wala hauuziki.
Kuna msemo usemao "Uzuri wa Mkakasi ndani kipande cha mti". Biblia pia inasema
"Mwanamke mzur asiyekuwa na HEKIMA ni sawa na Pete ya dhahabu Katika Pua ya Nguruwe" (Mithali 11 :22).
Hekima ndio kitu pekee kisichoharibika unachopaswa kujivunia nacho, hata kama bila ya Make Up, Hekima itakufanya ung'are.
"Hekima ya mtu HUMNG'ARIZA USO wake, na Ugumu wa USO wake HUBADILIKA" (Mhubiri 8 :1).
Tabia yako ndio Kikwazo chako. Mwanamke hauna nyama ya ulimi, haujui kushuka, mkali kama pilipili mbuzi kila siku hauishi Maudhi. Nani anahitaji mwanamke wa namna hii? Ni HERI ukae peke yako kwa amani kuliko kukaa na mwanamke mgomvi asiyeisha vurugu (Mithali 27 :15).
Unapenda maisha ya mtelemko, vyakula vya Supermarket kupika hautaki. Dada hivi unafikiri maisha ni movie za Kifilipino au Isidingo? Mbona una mawazo Mgando.!
Unataka mwanaume sijui mrefu, sex body, mwenye gari. Aisee, kweli..! Hekima ni ulinzi na ni zaidi ya vazi la heshima. Hilo gari Umechangia hata gharama ya kununua taili au 'site mirror'? Mbona una Vituko?
Kwa kuendekeza tamaa zisizo za msingi utatumiwa na kuachwa kama tambala la deki au Nguo ya mtumba. Nani aliyekuambia SIFA ya Mume BORA ipo kwenye kumiliki gari? Mbona unazidiwa AKILI hata Sisimizi ambaye anajua Kujitafutia?
Mwanamke mwenye busara hukubali kuanzia chini na hutafuta pamoja na Mumewe. Kuna msemo usemao UKIONA VYA ELEA, UJUE VIMEUNDWA. Na mtaka cha Uvunguni sharti Ainame.
Ngoja nikupe mfano HALISI labda utanielewa kama una kichwa cha KUELEWA. Hivi umewahi kuulizia ndoa ya Mkurugenzi wa MICROSOFT tajiri namba 1 duniani BILL GATES na mkewe aitwaye MELINDA?
Unafikiria kwanin BILL GATES alimuoa MELINDA? Ni kwa sababu ya Uzuri alionao Melinda? La hasha! Kama ni Uzuri, Bill Gates hakushindwa kuwa na mwanamke yoyote mzuri anayemtaka.
Niliwahi kusoma kwenye mtandao fulani wa kijamii kuhusu habar hii, Bill Gates alisema sababu ya kumuoa Melinda ni Hekima aliyonayo na namna anavyojua kukaa Katika nafasi yake kama Mwanamke.
Melinda alikuwa anampikia chakula yeye mwenyewe na si kutaka chakula cha supermarket, alikuwa anamfulia Nguo kwa mikono yake mwenyewe na si kwa washing machine kwa kisingizio kuwa kucha zitakatika au mikono itachubuka.
Sasa kwa huduma hizi ZOTE, ukiongezea na Uzuri alionao, kwanini Mzee asiweke chombo ndani? Hapa hakuwa na ujanja.
Sasa kama ungekuwa wewe na akili yako hiyo ya bandia, si ungeona mgodi umekudondokea. Chakula ungekuwa umeweka order ya mwaka mzima supermarket za KFC.
Nguo zingekuwa zinafuliwa India , zinaanikwa na kunyoshwa Paris Ufaransa, na zinarudishwa kwa ndege Marekani. Aisee..! Hapa upele ungempata Mkunaji.
Shika point hii ya mwisho, HAIJALISHI mwanaume awe na PESA kiasi gani, atahitaji kula chakula chako na si cha housegirl au supermarket, atahitaji kuona unamfulia Nguo zake na si kufuliwa na dobi, housegirl au washing machine.
Kuingia kwenye Ndoa TU mtihani, JE UTAWEZA kulea Mume wewe..?!
.........................................
....................
"KUMCHA MUNGU NI CHANZO CHA HEKIMA & MAARIFA "
MITHALI 1 :7.
Nakutakia siku Njema Mungu Akubariki na kukulinda
Usisahau ku LIKE
Share:

HATA KAMA UMEUMIZWA SANA UNAPOTONGOZWA ACHA KABISA HII KAULI!

UTAMU KITANDANI APP

Umeumizwa sana kwenye mahusiano, umelia sana mpaka umekata tamaa. Unakutana na mwanaume mwingine, anakutongoza unaanza kwa kauli hii “Nimeishaumizwa sana mimi siwezi kupenda tena katika maisha yangu na siamini kabisa wanaume!” ukianza na kauli hii Dada yangu jua kabisa kuwa hayo mahuiano hata yakuelekea kwenye ndoa lakini ni kama yamekufa.

Labda ukutane na mwanaume muelewa sana ambaye atasoma saikolojia yako na kujua kuwa, hukuongea hivyo kwakua humpendi bali umeongea kwakua umeumizwa sana na unachogitaji ni mtu wa kukufundisha upendo, mtu wa kukuonyesha dunia nyingine ya raha, dunia ambayo haina maumivu. Ubaya ni kuwa wanaume wa namna hii wako wachache.

Wanaume waliowengi ukimuambia hivi kwanza anakua na hasira, anaona kuwa humpendi, anahisi unamdgharau na kubwa kabisa mbaya zaidi anahisi kuwa bado unamkumbuka X wako, una hisia naye ndiyo maana unasema hivyo. Inakua ngumu kwa mwanaume kusahau maneno hayo, inakua ngumu kwa mwanaume kuamini kuwa umejifunza kumpend,a hata ikitokea akakuonyesha mapenzi, ukampenda na kusahau maumivu yako lakini inakua ngumu yeye kusahau.

Hivyo Dada zangu, hata kama umeumizwa namna hani, hata kama kweli huamini tena wanaume, hata kama humpendi mwanaume wako uko naye tu kwakua Baridi imeizidi au na wew eunataka kuolewa basi, usimuambie mwanaume siwezi kupenda tena au siamaini tena wanaume. Narudia kuna wanaume wachache ni walewa ila wengi si waelewa. Mwanamke unaweza kumuambia hicvi akasahau lakini wanaume ni ngumu, hivyo mengine kaa nayo huna haja ya kumuambia mtu ambaye uko naye kuwa huwezi kumuamini au kumpenda!
Share:

HIZI NDIO MBINU ZA KUMUWEZA, MWANAMKE ALIYE MGUMU KUTONGOZEKA

UTAMU KITANDANI APP
wakati mwingine, vitu huweza kumaanisha zaidi ya tuwezavyo kutamka kwa vinywa vyetu
MWANAMUME yeyote anapotaka kumtongoza mwanamke hulazimika kwanza kumwonesha – japo kwa matendo – kuwa anampenda, au kwamba amevutiwa naye, hata kama ni kimwili tu. Hatua hii ndiyo yenye changamoto kubwa zaidi kwa mwanamume, maana ndipo wakati anapokuwa anajaribu kufikisha ujumbe kwa mlengwa huku yeye mwenyewe akijihakikishia kuwa haharibu mambo.
Mwanamume anapokuwa anajaribu kufikisha ujumbe wa “nakupenda” kwa mwanamke, mapigo ya moyo yanaweza kumwenda mbio, hususan kama mwanamke mwenyewe anaonekana kuwa “maji marefu”. Hata hivyo, ni kazi ambayo kila mwanamume hulazimika kuifanya.
Kazi hii ya kufikisha ujumbe kwa mara ya kwanza huhitaji umakini. Bahati njema, shughuli yenyewe ina sayansi yake, ambayo ina misingi katika mahusiano ya kijamii. Ukifahamu sayansi hii inaweza kuwa rahisi zaidi kwako kufikisha ujumbe kwa mtarajiwa wako – na kufanikiwa.
1. KUKUTANISHA MACHO NI MUHIMU
Kawaida, mambo yote huanzia – na pengine kuishia – katika kukutanisha macho. Mwanamke atakapobaini kuwa hujajaribu kumwangalia japo kwa sekunde mbili mfululizo, ataondoa mawazo na hisia zake kwako hata kabla hujasema neno lolote.
Macho ndizo zana muhimu zaidi mtu anapokuwa anataka kufikisha ujumbe kwa mwenzake kuwa anampenda, au amevutiwa naye. Hii ni kwa sababu macho ndiyo vipitisho na visambazaji muhimu vya ishara baina ya mtu na mtu, hata kama si katika masuala yanayohusiana na mapenzi.
Kukutanisha macho na mtu wa jinsia nyingine unayevutiwa naye au anayevutiwa nawe ni jambo lenye nguvu za ajabu katika kuanzisha uhusiano. Kwa sababu hiyo, hata unapofanikiwa kumtazama moja kwa moja machoni mwenzako hutarajiwi kutumia zaidi ya sekunde mbili, kutokana na nguvu iliyomo katika mawasiliano haya.
Katika hili, wanaume mahiri hufahamu ni wakati gani wa kumwangalia mwanamke na ni wakati gani wa kutomwangalia. Mara nyingi, ni vizuri zaidi kumwangalia zaidi mwanamke wakati anapozungumza, huku ukikwepesha macho kidogo pale unapozungumza wewe.
2. UNATAKIWA UWIANO, UKWELI KATIKA MAZUNGUMZO
Ni jambo lisilopingika kwamba wanaume na wanawake wanatofautiana katika maana ya dhana ya mawasiliano. Hata hivyo, bado inawezekana kuendesha mazungumzo shirikishi na yenye kuburudisha ukiwa na mwanamke, bila kuonekana wa bandia.
Watu wa jinsia zote mbili wanaweza kutuhumiwa kwa kupindisha ukweli na kujaribu kuficha tabia na mienendo yao wanapozungumza na wapenzi watarajiwa. Naam, katika mazungumzo ya kwanza baina ya wapenzi au wachumba watarajiwa uwongo – ukiwemo ule usiotarajiwa – huwa mwingi.
Katika mazungumzo ya kwanza ni kawaida kwa mwanamume kubadilisha matendo yake na mtindo wake wa kuzungumza kwa maslahi ya kumpata mwanamke, jambo ambalo huifanya hulka yake ya wakati huo kuwa ya bandia. Lakini pia wasichana/wanawake husema “Nakupenda” bila kumaanisha, pengine kwa ajili ya kumfurahisha mwanamume, au kusikia mwanamume atasemaje.
Jambo la muhimu katika mazungumzo ya awali baina ya mwanamume na mwanamke ni kuepuka michezo ya kudanganyana na kukwepana, badala yake, yafanye mazungumzo kuwa rahisi na halisi. Hapo ndipo mwanamume hujitofautisha na wanaume wengine na kupendwa kwa sababu hiyo.
3. USIPUUZE NGUVU YA LUGHA YA MATENDO
Wakati mtu anapokuwa akijaribu kuwasilisha ujumbe wa “Nakupenda” kwa mwenzake, lugha ya matendo yake huzungumza kwa sauti kubwa zaidi kuliko maneno yake. Hili limeweza kuthibitishwa kwa nyakati mbalimbali kutokana na tafiti mbalimbali.
Katika muktadha wa kujaribu kufikisha ujumbe wa “Nakupenda” kwa mlengwa, lugha ya matendo ndiyo yenye nafasi kubwa zaidi. Kwa hakika, asilimia kubwa ya ujumbe unaowasilishwa kwa mlengwa huwasilishwa kwa njia ya matendo ya mwili na si maneno. Ni asilimia ndogo tu ya ujumbe inayowasilishwa kwa maneno – na wakati mwingine maneno huweza kuleta matatizo maana katika kuzungumza kuna kujikwaa kwingi, kwani ulimi hauna mfupa.
Ili uweze kufanikiwa katika kueleza nia yako kwa mwanamke, lazima ujue jinsi ya kutumia lugha ya matendo yako. Na pengine hutatumia nguvu, maana watu husema penzi kikohozi – kama unalo litaonekana tu machoni pa mlengwa.
Ukitafakari kwa makini utabaini kuwa huhitaji kusema sana ndipo uweze kupendwa, kwani maneno huchangia asilimia kidogo tu. La muhimu ni kuhakikisha kuwa mlengwa wako anakusoma na kukuelewa vizuri kwa kuangalia matendo ya mwili wako.
4. ACHA ASILI ICHUKUE MKONDO WAKE
Katika nadharia mbalimbali za kijamii na kidini ni jambo la kawaida kusikia kuwa binadamu wote ni sawa. Hata hivyo, katika muktadha wa kimapenzi, kila mtu mmoja mmoja anafahamu kabisa kuwa si kila mwanamume/mwanamke ni sawa na mwenzake.
Methali yenye asili ya kimagharibi husema “Uzuri wa mtu uko katika macho ya yule anayemtazama.” Hii ina maana pia kwamba, kila mtu anavyo vigezo vyake vya uzuri kwa kuzingatia maumbile yake. Pia jamii zinavyo vigezo vya uzuri, lakini hutangulia kwanza vigezo binafsi.
Unapokuwa umekaa na mwanamke ambaye anakuvutia kwa mwonekano wake, sauti yake na kadhalika, si rahisi sana kujizuia kuonesha kuwa anakuvutia. Hii ni kwa sababu si wewe, bali ni nafsi yako inayokusukuma. Na yeye mwenyewe atakusoma kwa kuangalia lugha ya matendo yako na kukwelewa, utakaobaki ni uamuzi wake tu.
Katika jamii kuna vigezo kuhusiana na kiuno, miguu, maziwa, makalio na kadhalika. Wengi wa wanajamii huvizingatia na kuongeza vyao. Huu ni ukweli wa kibiolojia ambao hauwezi kupingika. Mwanamke mwenye vigezo vinavyokubalika zaidi katika jamii yake atawavutia wanaume wengi zaidi. Hapa mwanamume hahitaji kutumia nguvu nyingi – asili ya maumbile itamsaidia humtambulisha mwanamke kuwa amempenda.
5. TUMIA CHANGAMOTO YA WALAKINI
Mara nyingi changamoto kubwa katika suala zima la mtu kubainisha nia yake kwa mwanamke hutokana na ukweli kwamba katika mchakato mzima huwa kuna wasiwasi na walakini. Kwa hakika, jambo hili ni la “pengine” au “labda” kutokana na kutoweza kufahamu kirahisi mwenzako anawaza nini.
Unapoonesha nia yako ya kumpenda mwanamke, ni kama unaamsha hisia zake kwako na ni kama vile unamuuliza: “Ungependa kuwa nami?” Kwa njia hii ni kama utakuwa unafungua mlango wa kupata jibu la “ndiyo” au “hapana” kwani huyo unayemwonesha kuwa unampenda na yeye ana matakwa yake na mapendeleo yake.
Kimsingi hakuna kanuni wala sheria rasmi unazopaswa kuzingatia wakati wote. La muhimu ni wewe mwenyewe kujiachia na kuingia katika maji usiyofahamu kina wala mwisho wake, bali wewe nenda na mkondo wake huku ukitarajia kuwa lolote linaweza kutokea. Hiyo ndiyo sehemu ya raha yake.
6. DHIBITI HISIA, MIHEMKO
Tofauti na mwanamke, mwanamume anayejaribu kuonesha nia yake hatakiwi kujiweka katika mkao wa mwanamitindo. Wanawake ndio hufahamika zaidi kwa mikao yao “ya kula” wanapokuwa katika mawindo (japo wengi hubisha), lakini si mwanamume. Wanawake ndio hutarajiwa kujieleza zaidi kwa njia ya matendo na mikao, lakini wanaume hutarajiwa kudhibiti hisia na mihemko yao .
Tofauti katika lugha ya matendo baina ya watu wa jinsia mbili hutokana na maumbile ya kujenetiki pamoja na utamaduni wa jamii husika. Yote yakizingatiwa, matakwa ya mwanamke ndiyo hupewa kipaumbele zaidi. Kwa ufupi, matendo ya kutongoza ya mwanamke huwa wazi zaidi, lakini mwanamume hulazimika kuficha hisia na mihemko yake.
Wajibu wa kufikisha ujumbe kwa mtu wa jinsia tofauti ni wa kila mmoja – mwanamume na mwanamke. Hata hivyo, wanaume ndio wenye jukumu kubwa zaidi la kuanzisha, kwa kuzingatia utamaduni wa jamii nyingi. Unaweza ukaona ugumu, lakini ipo sayansi itakayokusaidia. Kama una wasiwasi na uwezo wako, ni vizuri kuyazingatia yote yaliyobainishwa hapa.
Share:

NJIA RAHISI YA KUCHUKUA NAMBA KUTOKA KWA MWANAMKE


UTAMU KITANDANI APP


Kuchukua namba kutoka kwa mwanamke ni rahisi zaidi kuliko hata kutamka jina lako. Unachohitajika ni kuenda moja kwa moja kwa mwanamke unayetaka kumuomba namba halafu unamwagiza akupatie. Mara nyingi mwanamke hawezi kukataa kukupatia namba yake unless uwe umemuapproach kwa njia isiyofaa ama hakujui.

Mara ya mwisho mimi binafsi nilichukua namba kwa mwanamke chini ya dakika moja ya kukutana na yeye. Nilikuwa nimeandamana na marafiki zangu halafu mwanamke mmoja akapita kando yetu halafu muda wa dakika nikaamua kumuaproach na kunipatia namba yake ya simu hapo hapo.

Kama bado unatatizika ni njia gani za kuchukua namba ya simu kutoka kwa mwanamke basi fuata maagizo haya ya haraka ambayo nitakuelezea.

#1 Jiamini. Kujiamini ni kitu muhimu. Wakati unapoamua kuapproach mwanamke lazima uwe unajiamini. Utajiamini vipi? Kujiamini ni rahisi. Kile unachohitajika kufanya ni kuweka nia kuwa wakati ambapo utamwaproach mwanamke lengwa basi lazima namba yake ya simu atakupatia. Huko ndiko nikujiamini.

#2 Kuwa na mawazo chanya. Mawazo chanya ni mawazo ambayo yanakubaliana na wewe. Mfano unaweza kuwa unataka kufanya kitu, halafu katika akili yako umeweka dhana ya kuwa kile ambacho unakusudia kufanya basi kitafanikiwa. Haya ndio tunayaita mawazo chanya. Ni dhana ambayo unaamini kuwa itatokezea. Ukiweka mawazo chanya kuwa ukiapproach mwanamke flani na atakupa namba yake ya simu basi bila shaka utafanikiwa. Lakini ukiweka mawazo ya kuwa hautafanikiwa basi kweli hautafanikiwa.

#3 Kuwa mwigo. Wakati mwingine inakuwa vigumu kabisa kwa wanaume flani kuongea na mwanamke. Inakuwa vigumu zaidi kuomba namba kutoka kwa mwanamke. Njia rahisi ya kutatua shida hii haraka ni kuigiza. Kuomba mwanamke namba haichukui zaidi ya dakika mbili, hivyo unaweza kuwa mwigo. Unaweza kuigiza vile rafiki yako anavyoomba namba ya simu ama unaweza kufanya mazoezi kivyako kabla kumuapproach mwanamke kumuomba namba ya simu.

#4 Relax. Wakati unapoach mwanamke lazima uwe umetulia. Punguza wasiwasi, toa kijasho chochote ambacho uko nacho, pumua kiutulivu na uondoe ubabaifu wowote ulio nao. Hii itakusaidia kwa kuwa ukiwa umerelax utakuwa na nafasi nzuri ya kukumbuka mambo ambayo umeyapanga kumwambia mwanamke flani. Hivyo ni muhimu kurelax kabla ya kuchukua approach yeyote.

 Njia nzuri ya kumuapproach mwanamke


Njia rahisi ya kuomba namba ya simu kutoka kwa mwanamke ambaye unamjua na anakutambua ni ile ya moja kwa moja. Ukimwona anatembea mtaani halafu wewe umesimama na marafiki zako, mwanzo hakikisha umefuata masharti tuliyoyaeleza hapo juu; jiamini, relax, mawazo chanya na mwigo. Nenda moja kwa moja na umwambie hivi:

“Mambo Mamito. Niko na ishu flani nataka kukuambia lakini sahizi naona si wakati mzuri wa kukuambia… Nipatie namba yako ya simu nitakupigia simu usiku.”

ama

“Mambo Mamito. Napatie namba yako ya simu nataka kukupikia simu jioni nikwambie kitu flani”

Hii ndio njia ya moja kwa moja. Mwanamke wa kawaida, ambaye anakutambua hawezi kukataa kukupatia namba yake ya simu. Mwanzo unaweza kuwa na bahati ya kuwa huyu mwanamke alikuwa inteested na wewe tangu kitambo lakini anashindwa jinsi angeweza kuwasiliana na wewe.

Kama ni mwanamke ambaye humjui na hakujui, basi ni vyema kwanza ujitambulishe ili akufahamu. Si lazima uchukue namba yake ya simu siku io hio bali unaweza kungojea muda mpaka mzoeane.

Wanaume wengi wanatatizwa na tatizo la kutojiamini na woga. Lakini naamini kama unaweza kutatua mambo hayo mawili basi kazi yako itakuwa rahisi

Share:

MWANAMKE ACHA KABISA KUVUA CHUPI KWA MWANAUME WA AINA HII.

Unajituma mwenyewe ukienda kwa boyfriend wako unamfanyia usafi,unampikia,unamfulia nguo,halafu kwa ujinga wako unampa na mapenzi moto moto.
Unajikunja mwenyewe kama kambale kwenye sex mtoto wa watu viuno feni na vilio juu vya mahaba ,unampa mpaka style za akiba za kwenye ndoa mpaka unataka kuvunja mgongo.
Yaani hadi shetani anakaa kando kujifunza toka kwako halafu baada ya yote hayo unatoka umechoka mpaka nyonga zinakuuma.
Boyfriend wako anakusifia na kukuambia kwamba atakayekuoa atafaidi kweli🏃🏾‍♂🏃🏾‍♂🏃🏾‍♂🏃🏾‍♂🏃🏾‍♂🏃🏾‍♂😁hapo utaamini kweli uchawi upo na aliyewaroga wanaume alishakufa🏃🏾‍♂🏃🏾‍♂🏃🏾‍♂.
Kitunze mwaya,kiendelee kuwa mnato,kinukie mpaka kwa majirani huko hakuna kumpa huduma za mke mwanaume ambaye haonyeshi mwelekeo wa kukuoa.
Hakuna kumvulia chupi na kumchanulia miguu mithili ya fungu la kuni tulizokuwa tunaagizwa na walimu shuleni,janaume gumegume ambalo halitaki kukupa na kukuvika taji LA thamani ya uanamke wako yaani ndoa.
2020 ndoa bila kuvua chupi inawezekana.Uamuzi ni wako jiamini,jithamini na jifunze heshima yako baki na utamu wako usitanue kizazi bure kwa mwanaume suruali ukaja muona mume wa ndoa baadae kibamia kumbe wewe ndio uligeuza kijito cha utakaso wa neema kuwa BWAWA la kijiji kila mtu anavua samaki atakavyo...!!!!!
Share kwa wingi iwafikie walengwa....
Image may contain: 2 people, people sitting and outdoor
Share:

Je ni kweli; • MAPENZI YA KUNUNUA NI MATAMU KULIKO MAPENZI YA MOYO ❤️?

UTAMUZAIDIAPP
Ifahamike maandalio ya MAPENZI NI SHAUKU 💯
Ili mapenzi yawe matamu ni mtu mwenyewe na shauku yake na hapo ndipo mwili utaamua namna ya kile kinahitajika ili kukosha NAFSI😂😂
Kwa maana hiyo PENZI LA KUNUNUA LINAKUWA TAMU KWA MHITAJI kwani anachokihitaji amekipata kwa wakati, Kuliko PENZI LA MOYO ambalo pengine kile unakitaka hutakipata kwa wakati 😂 muda Mwingine unaweza kukipata ila kisiwe tayari kwa shauku yako.
Pamoja na yote hayo lakini uhakika wa PENZI ni kumpata mwenye UPENDO WA DHATI JUU YAKO 💯
Penzi la kununua halina hakika kwani MWENYE NALO AWEZA KULIUZA KWA MWINGINE 😂😂
Share:

MOJA YA KANUNI KUBWA YA KUTONGOZA NI HII WANAUME SOMENI


UTAMUZAIDIAPP
Moja ya kanuni kubwa ya kutongoza nikuwa, kama mwanamke anaendelea kukujibu, hata kama ni kwa kukutukana au kukuambia kuwa sitaki basi jua kuwa anakutaka au ana mpango wa kukubali. Mwanamke ambaye hana mpango na wewe basi hukupuuzia, kwamba ukimtumia meseji kwanza hajibu na pili anakublock kwa usumbufu na kama wewe ni king’ang’anizi basi ukipiga simu anaweza kupokea na kukuwekea muziki akaacha uongee mpaka uchoke kama chizi.
Lakini kama mwanamke anapokea simu yako, anakujibu kwa kukutukana, kama Baharia unaamini kuwa ipo siku atakubali. Hii ndiyo mamaa mwanaume yeyote mzoefu akikuta meseji za mwanaume mwingine katika simu ya mke/mpenzi wake haangalii alichoandika Baharia mwenzake bali huangalia majibu. Akiona mwanamke wake kajibu anajua kwa hapa kuna kitu, anahisi kaona manyoya huyu kuku atakua kashanyonyolewa.
Nilichotaka kusema hapa dada zangu nikuwa, kama mwanaume humtaki kuna haja gani ya kujibu mseji yake. Yaani ashakutongoza mara moja ukamuambia sikutaki, kwanini mara ya pili. Unavyorudiarudia ni kama unamkaribisha kuendelea kukusumbua. Yeye anaona ni mchezo tu, kama humtaki, mjibu mara moja, futa meseji zake, kisha block akizidi kusumbua acha kuzisoma basi muache apige pokea weka chini kaoshe vyombo. Lakini kama unamjibu hata kama ni matusi basi unamtaka, narudia kama unamjibu unamtaka.
Naomba nirudie kama unamjibu hata kama ni matusi unamtaka ndiyo maana unampa muda wako. Unakuta mwingine eti anakuambia “Nilikua namuelezea kuwa simtaki!” Pumbavu, sikutaki ni sikutaki inahitaji maelezo gani mengine hapo? Najua kuna ambao mtasoma hapa na hamtaamini mpaka muachwe. Ila Baharia ukiona mpenzi/mke wako anachata na mwanaume ambaye anamtukana kila siku na anasema hamtaki, jua ni suala la muda tu utakuta manyoya!
Share:

Jambo hili ni muhimu sana kwa wanandoa

Kama penzi ni kujitoa sadaka "sacrificing" basi wote mnapaswa  mjitoe sadaka kikamilifu. Kama penzi ni kuwa tayari kumfia mwenzako basi wote muwe tayari kuyatoa maisha yenu kwa ajili ya mwingine.

Kama penzi ni kuhudumiana basi muwe tayari kuhudumiana. Sio mmoja anajitesa kila siku kwa ajili ya mwingine ambaye hata haoni maana ya mwenzake kuteseka.

Ni muhimu kwa namna moja ama nyingine kuhakikisha kila mmoja wenu anajitoa kikamailfu kwa mwenzake. Iwe ni kazi au malezi asiwepo  mtu yeyote mwenye kumuchia majukumu mtu mwingine, kwa kisingizio mwenzangu atafanya. Ni muhimu kila mmoja wenu aelewe vyema kwamba majumu yote ni ya kwenu kwa pamoja.

Nyumba ambayo itajijengea misingi mizuri ya kushirikiana kwa pamoja ni kwamba mahusiano hayo yatakuwa ni mazuri daima na yenye kudumu milele. Usisahau, mapenzi yenye machungu na machozi mfululizo yana sumu na madhara makubwa kuliko kuwa SINGLE. Choose life. Choose happiness {Furaha}. Hivyo ni wajibu wenu kuanzia sasa kuishi maisha ambayo yatawasaidia sana kwa namna moja ama nyingine kufika mbali kwa kuhakikisha mnafanikiwa katika mambo myafanyayo.
Share:

USHAURI KUHUSU MWANAMKE ANAYEFAA KUOA

Sweet happy young African American couple making heart symbol joining hands on Valentine day Stock Vector - 69232485
Nawaandikia ninyi vijana wa kiume na wanaume wote, maana mna nguvu na mmejaliwa na mwenyezi Mungu utashi, hekima na busara. Yote hayo ni ili muweze kutawala kila kitu tokea kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu huu. Wekeni wivu pembeni na Yafuateni haya;
1. Oa mwanamke ambae unaweza KUSALI nae na sio kwa sababu anajua KUFANYA MAPENZI vema.
2. Mwanaume bora KAMWE hapimwi kwa idadi ya wanawake alionao au aliotembea nao BALI kwa idadi ya wanawake aliowaambia “Mimi ni mume wa mtu” au ninae mtu tayari.
3. Kuna aina ya wanawake unatakiwa kuwaepuka kabisa kwa gharama yoyote ile, “wanawake wanaodhani uzuri wao ndio bora zaidi kuliko tabia zao”
4. Kila mwanamke anavutia akivaa nguo fupi inayoonesha maungo yake wazi, ila kama utakuta mwanamke amevaa nguo ndefu au za kusitiri mwili wake na bado anavutia, huyu ni dhahabu! Anathamini mali za mumewe!
5. Kamwe usimpe mwanamke mimba ya mtoto kabla hujampa mimba ya malengo na ukayatimiza.
6. Tafuta mwanamke ambae atakupa challenge ya maisha na kuongeza uwezo wako wa kufikiri na sio mwanamke wa kila kitu Ndio mzee!
7. Wanawake wakamilifu hawapatikani popote duniani, ila wanawake bora wapo kila mahali.
8. Mwanamke anaweza kukusaliti, ila Mungu hawezi kukusaliti, hivyo basi kabla hujapata mwanamke Mpate Mungu kwanza. Kuna raha sana kuwa ndani ya Mungu asikwambie mtu!
9. Kama unajijua umefikisha miaka 25 na kuendelea epuka mambo ya kivulana, kuvaa suruali katikati ya makalio, kuvaa hereni, kubadili badili wanawake kama unachambua mitumba ya karume etc
10. Usitumie kichwa chako kunyoa kiduku, tumia kichwa chako kuwaza mambo yenye tija ikiwemo kutafuta pesa na kuongeza hazina ya maarifa.
MBARIKIWE SANA WANAUME WOTE WENYE BUSARA..
Share:

BOFYA HAPA KUSOMA SIMULIZI TAMU ZA MAPENZI


Share:

HATUA TATU (3) ZA KUFUATA UNAPOMTONGOZA MWANAMKE


UTAMUZAIDIAPP
Kama unataka kumpata mwanamke unayemzimia bila tatizo lolote basi hakikisha unafuata kila kitu ambacho utasoma sahizi. Hii mbinu imeibwa kutoka kwa kitabu cha Jinsi Ya Kumtongoza Mwanamke: Kuanzia Hadharani Hadi Kitandani - ambacho nakipendekeza kwa yeyote yule ambaye yuko tayari kutumia maujanja ya mazungumzo kumnasa mwanamke yeyote.
Inaenda hivi...
Hatua #1: Angalia ishara. Ufunguo wa kutongoza ni kuzijua na kuzivumbua ishara fiche kwa yale anayofanya na kutenda. Makinika na stori ambazo anaeleza, mambo ambayo anapenda kuongea na kila kitu ambacho kinaamsha hisia zake. Kumbuka hapa unamakinika na mwanamke na wala si wewe. Usijaribu kutoa maoni yeyote bila kufikiria madhara yake. Unataka kumtongoza - na hautaki maoni yako yaonekane kama kipingamizi.
Hatua #2: Cheza na hisia zake. Hapa jambo muhimu la kufahamu ni kuwa - kwa kuchagua mambo yafaayo kumwambia mwanamke, unaweza kubadilisha hisia zake hadi vile unavyotaka wewe. Huu uwezo wa 'kubadilisha' hisia za mwanamke ni jambo MUHIMU zaidi ya yote ikija katika maswala ya kumtongoza mwanamke.
Ingiza hisia nyingi iwezekanavyo katika mazungumzo yako kwake. Jibu stori zake na hisia zifaazo na utakuwa umejitenga mbali na wanaume wa kawaida ambao wanamuapproach.
Hatua #3: Mpe uhakikisho. Kila mwanamke (hata kama ni mrembo kiasi gani ama 'amekamilika' mbele ya macho yako) huwa wanakutojiamini ndani yao ambako kunahitajika kupewa uhakikisho kwa njia moja au nyingine. Hivyo hivyo, jambo muhimu la kuzingatia wakati unampa uhakikisho ni pale ambapo utakuwa mkweli wakati ambapo unampa huo uhakikisho.
Kumwambia kuwa ana macho mazuri hakutasaidia - hii ni kwa sababu maneno kama haya yashatumika mara kwa mara, na kila mwanaume anatumia maneno yayo hayo kama anataka kuingia ndani ya chupi ya mwanamke. Kumpongeza na kumpa uhakikisho kwa jambo ambalo hajiamini nalo kutamfanya akuthamini na kukuweka karibu na yeye zaidi. Na kama umefuata hatua hizi mbili za kwanza vizuri basi hautakosa kupata jambo ambalo litampendeza.
Huu uwezo wa kumtongoza mwanamke kwa kutumia maongezi ni advantage ya kikweli ambayo mwanaume anapaswa kuwa nayo. Ni jambo ambalo ni bora kuwa nalo kama unataka kuwa na nafasi nzuri kwa mwanamke yeyote.
Share:

Kwa Lugha Yake Ya Mwili Anaongea Mengi Kuliko Anavyomaanisha, Jifunze Kuielewa.



Tofauti na wanawake, wanaume huwa tunaongea tunachokimaanisha na tumaanisha tunachokiongea, wanawake wapo tofauti sana na asilimia 80% ya wanachokiongea huwa akimaanishi kile wanachokitamka, anaweza kukwambia sitaki kumbe anamaanisha anataka na anapendezwa na unachokifanya, ndo maana ili kuelewa mwanamke anachokimaanisha ni muhimu katika hali ya juu sana kujua lugha na pozi zake za mwili ili ujue anachotaka na kumaanisha.

Wanawake muda wote hutoa ishara ya mwili ya kile wanachokitaka, na iwapo ukizielewa na kuwa mkufunzi katika kuzijua na kuzielewa, utakuwa na silaha kubwa ya kujua macho yake na mwili wake unavyoongea kabla hata hajafungua kinywa chake.

Mapozi.

Wanawake ambao huitaji akili ya mwanaume iwepo kwao huwa ni rahisi kuwagundua hata kama ni katikati ya umati, mapozi na lugha yao ya mwili huwa inakuita iwapo wewe ni mjuzi wa lugha yao ya mwili, kwa mwanzo hujiinamisha kidogo kwenye uelekeo wa mwanaume ambae amevutika nae, na mara kwa mara hukutanisha macho. Hucheka mara kwa mara zaidi ya kawaida bila ya kuwa mshikaji anaeongea nae ni mcheshi au vipi, hutafuna midomo yao na nyuso zao zipo katika hali ya udadisi.

Wanawake wanaojiweka katika hali ya utongozwaji huwa katika hali ya kutojiamini sana, kwa mfano huchezea vidole vyao, nywele, mikufu na kadhalika, hii hutokana na kuwa na wasiwasi mwingi na moyo yao kuwa katika mapigo yaendayo kasi, na huitaji kufanya vitendo vya kujitulizisha akili.

Jinsi ya kufanya; Kama mwanamke huyo yupo katika uelekeo wako na anaonyesha tabia hizi kama tulivyoorodhesha hapo mwanzo, inatakiwa ujipe uhakika mkubwa wa maongezi na utongozaji kwenda vizuri, hivyo msogelee kwa pozi na fanya yako kwa staili.

Matamanio.


Matamanio huwa na ishara sawa na za kutaka kutongozwa ila hizi zinakuwa za matamanio ya kumaliza haja ya mwili, Jaribu kumfikilia Shilole kwenye video zake za mziki na utapata wazo nazungumzia nini, anakuwa anakutanisha macho zaidi katika hali ya kurembua, mapozi yanakuwa katika hali ya matamanisho zaidi, hipsi na matiti yanakuwa yamejitokeza zaidi, na mara nyingi tabia hizi hutokea katika sehemu zilizojificha au zenye hali ya kimahaba zaidi kama kwenye klabu.

Angalia iwapo kama anapumua kwa uzito zaidi maana hii humaanisha tamanio, kwa mfano anapumua pumzi ndefu zaidi ukimsogelea karibu, au ikitokea mguso kati yako na yeye ? Anaweza jaribu kukugusa katika hali ya kukupapasa.

Jinsi ya kufanya; Yupo tayari, nawe mjibu kwa pozi na taratibu, jiachie taratibu ukimjibu mapozi yake, muangalie kwa husuda na kutanisha macho na tengeneza sababu za kumgusa, mwanzo wa kumgusa mguse taratibu na endeleza mashambulizi iwapo asipojitoa katika hali hio.

Wanawake wengine hawajielewi kile wanachokihitaji, kwa mfano anaweza kuwa amependezwa na wewe ila akawa anakujibu katika hali ya ukali, hii inakuwa ni hali ya kutojionyesha anajirahisisha kwako, kwa hio japo anafanya hali ya ukali ila moyoni anakuwa katika hali ya kukukubali tayari.

Kumbuka, lugha ya mwili, mapozi na muonekano huongea zaidi ya maneno, mchunguze mapozi yake kwa umakini, mwanamke akipendezwa nawe anakusaidia katika kumtongoza, mapozi yake yatakuita, maneno yake yataendana na stori zako, ikitokea fanya kama unavyopaswa.
Share:

Hatua Za Kufanya Kama Mwanamke Hataki Kujibu Texts Zako



Unafukuzia mwanamke mzuri mnaanza kuzungumza. Mnachukua muda wa dakika 20 hadi 30 kuongea na yeye mara ya kwanza. Anapendeza na kuvutia, na unaona kama ni mwanamke ambaye ni yule aliyekuwa ndotoni mwako maishani mwako. Mazungumzo yenu yanaenda vizuri mpaka ukwamwomba namba yake.

Baadaye unajaribu kumtumia text na hazijibu. Labda mnaeza kuchat kwa madakika halafu baada ya hapa anakataa kujibu texts zako. Unabaki ukijiuliza maswali ni kitu gani ambacho umefanya ambacho umekosea. Ok labda anaweza kuwa yupo buzy unampa muda kiasi ajibu text zako...unangojea masaa, siku, wiki mpaka inafikia wakati unagundua kuwa amekupuuza. Kwa nini hajajibu text zako?

So kwa nini hakujibu text zako?
Katika situation nyingi ni kuwa sababu kuu ambayo amekataa kujibu texts zako ni kuwa haukumpendeza mara ya kwanza ulipokutana naye. Ok labda sababu nyingine inaweza ni kuwa ameibiwa simu yake wakati alipokuwa akitext na wewe barabarani ama kitu kingine kama hicho, lakini hapa acha tumakinike na hatua ya kwanza uliokutana naye...yaani first impression ambayo unakudana na mwanamke yeyote.

1. Hakikisha unampendeza mara ya kwanza unapokutana naye
Anaweza kuwa hana muda mrefu wa kukaa na wewe ili akutambue zaidi so kile kitu ambacho unahitaji kufanya ni kuwa lazima uuonyeshe upendo wako kwa kuwa mpole, mkarimu na mtulivu. Hii itamfanya yeye kumakinika na labda kutaka kukufahamu. Hakikisha kuwa wakati unapoongea na yeye tumia mbinu za kuonyesha kuwa ungependa kukutana na yeye wakati mwingine. Kama hakuonyesha dalili zozote za kukuelewa basi hata kama atakupatia namba yake ya simu fahamu ya kwamba itakuwa ni kazi bure.

2. Taja sababu zako za kuongea na yeye
Mfano: Nimefurahia sana kuongea na wewe. Kusema kweli nimependa maonezi yetu machache. Nataka kwenda lakini naonelea wikendi nitakutext tukutane ili tuongee tena. Hapa utakuwa umeeleza ajenda yako kwake hivyo ukianza kuchat na yeye baadae haitakuwa vigumu kwake kukujibu.

3. Hakikisha kuwa unamtumia text wakati ufaao
Ukiomba namba ya simu kwa mwanamke inamaanisha kuwa wewe umeonyesha intrest kwake vilevile mwanamke akikupatia namba yake ya simu inamaanisha kuwa labda itakuwa amependezwa na wewe. Lakini je, ni muda upi unaotakikana hadi umtext mwanamke huyo.

Wanawake wanapenda kuona wanababaikiwa na kufukuziwa. So usijaribu kumtext hapo hapo wakati amekupatia namba yake. Hakikisha umejibatia shughli nyingi ili usahau kabisa kama uchukua namba kwa mwanamke. Masaa mazuri ambayo yangekuwa sawa ya kumtext ni baada ya masaa 24 baada ya kuchukua namba yake. Hii itamfanya mwanamke yeyote kujiuliza maswali ya kwa nini umechukua muda mrefu kumtext. Itamfanya kuingiwa na maswali ya kama: kwani hajapenda chat yangu? yuko na mwingine? nk. Ukichukua muda huu mrefu hadi kumtext, itakuwa rahisi kwake kukujibi.

ONYO: Hakikisha ya kwamba haupitishi zaidi ya siku tatu kwani anaweza kukusahau kwa haraka ama kuona unampotezea wakati wake.

4. Kitu cha kuandika kwa text yako ya kwanza
Messages za kwanza ambazo utazituma kwa mwanamke zitachangia pakubwa kuona kama wewe uko uko interesting ama unaboa. Unaweza kuuharibu mchezo mzima kama iwapo utaanza kumtext na mambo ambayo hayana manufaa kwake. Kile kitu unachohitajika kufanya hapa ni kuonekana hauna haraka na ujaribu kutumia lugha za kirafiki. Mfano unaweza kujaribu kumtext swala ambalo aliligusia kwa chat iliyopita. Labda aliongea kuhusu kwenda shopping na nduguyake, so swali lakini linaweza kuwa: Je ile shopping yenu na nduguyako iliendaje?. Hii itamfanya kuwa interested na wewe manake ataona ya kuwa ulikuwa umemakinika wakati mlipokuwa pamoja. Hii itamfanya kujibu text zako mara kwa mara bila yeye kuchoshwa.

5. Jaribu kuhepa stori ambazo hazitafikia popote
Mara ya kwanza anaweza kukujibu lakini itafikia pahali atanyamaza. KUMBUKA: Siri kuu ya kumfanya mwanamke ajibu texts zako ni uwe makini kwake, yaani unamtext vtu ambavyo unajua yuko intrested navyo.

6. Weka wazi kuwa unataka mkutano
Acha stori za kumzungusha huku na huku kama wanaume wengine. Ukitaka akujibu text zako hakikisha ya kuwa unadhihirisha azma yako kwa kumwambia kuwa unataka kukutana naye.

7. Usikate tamaa
Kuna wanaume wengine kama wamekataliwa kujibiwa texts zao mara moja basi wanakasirika na wanaachana kabisa na kushungulika tena. Tatizo labda linaweza kuwa mwanamke anakupima akili aone bidii yako kwake. Kama tujuavyo tabia za wanawake ni kuwa hawapendi kuonekana kama ni watu wa kukubaliana na kila kitu hivyo basi wakati mwingine wanakuwa hawaeleweki.
Ukiona mwanamke amekataa kujibu text yako kwa siku tatu, fanya kumtext tena huku ukionyesha kuwa hauna intrest naye sana vile halafu achana naye. Hii itamfanya yeye kuona una interest na yeye lakini hauna haraka. Baadaye anaweza kuanza chat yeye mwenyewe.

KUMBUKA: Kuna sababu tofauti tofauti ambazo zinaweza kumfanya mwanamke kukataa kujibu texts zako. Labda umemtusi, hujampendeza, ni mwanamke mwenye haya nk. So hizi hatua zitategemea na vile imetokea katika situation yako
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU