Nakusihi kama wewe ni BOUNCER๐ช wala usijiandae kumdhoofisha aliye na PENDO LA DHATI๐
Bora nguvu hizo ukaponde kokoto ZINALIPA sana tu, Kama wewe unazo pesa๐ธ๐ต๐ด๐ถ๐ท๐ฐ na uko tayari kupigania PENZI kwa thamani ya pesa huku kuna mtu analo pendo la dhati huko unakokulilia MY FRIEND PESA HIZO KALIMIE TIKITI๐ UTAVUNA UUZE UPATE FAIDA๐
Lakini nikwambie tena kama kuna kitu hupashwi kugombania ni PENZI maana nijuavyo mimi HUWEZI KUSHINDA MBIO๐ด๐ด ZA MAPENZI ikiwa utashindana na na mtu ambaye yeye anatumia NGUVU YA UPENDO WA DHATI halafu wewe unatumia nguvu ya dawa๐ na makadharika mazee utapata taabu mno๐ ๐ Mwenye UPENDO kapewa kibali cha kukubaliwa wakati wewe hunacho, Pengine yupo ambaye nae ameandikwa kwa maisha yako hivyo USIPARAMIE ASIYEKUWA WAKO huyo atakutesa mno๐ญ Wacha UPENDO WA DHATI USHINDE ili unafiki uzidi kutokomea ili KAMA KUNA MWENYE UPENDO WA DHATI AENDELEE KUFAIDI MATUNDA YA PENDO LAKE๐ Upendo unalipa rafiki KOMAA๐ช