-->

Usipambane wala kushindana na MTU MWENYE UPENDO WA DHATI⛔

Image may contain: 3 people, people standing
Nakusihi kama wewe ni BOUNCER๐Ÿ’ช wala usijiandae kumdhoofisha aliye na PENDO LA DHATI๐Ÿ’‘
Bora nguvu hizo ukaponde kokoto ZINALIPA sana tu, Kama wewe unazo pesa๐Ÿ’ธ๐Ÿ’ต๐Ÿ’ด๐Ÿ’ถ๐Ÿ’ท๐Ÿ’ฐ na uko tayari kupigania PENZI kwa thamani ya pesa huku kuna mtu analo pendo la dhati huko unakokulilia MY FRIEND PESA HIZO KALIMIE TIKITI๐Ÿ‰ UTAVUNA UUZE UPATE FAIDA๐Ÿ™‹
Lakini nikwambie tena kama kuna kitu hupashwi kugombania ni PENZI maana nijuavyo mimi HUWEZI KUSHINDA MBIO๐Ÿšด๐Ÿšด ZA MAPENZI ikiwa utashindana na na mtu ambaye yeye anatumia NGUVU YA UPENDO WA DHATI halafu wewe unatumia nguvu ya dawa๐Ÿ’Š na makadharika mazee utapata taabu mno๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…Mwenye UPENDO kapewa kibali cha kukubaliwa wakati wewe hunacho, Pengine yupo ambaye nae ameandikwa kwa maisha yako hivyo USIPARAMIE ASIYEKUWA WAKO huyo atakutesa mno๐Ÿ˜ญ Wacha UPENDO WA DHATI USHINDE ili unafiki uzidi kutokomea ili KAMA KUNA MWENYE UPENDO WA DHATI AENDELEE KUFAIDI MATUNDA YA PENDO LAKE๐Ÿ’ƒ Upendo unalipa rafiki KOMAA๐Ÿ’ช
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU