-->

NAOMBA NIAZIME SIKIO NA AKILI YAKO KIDOGO

Image may contain: one or more people, people standing and outdoor

Mbuzi πŸhuchunga machungoni akiwa kafungwa kamba, Lakini Mbuzi πŸakikata kamba hudhurula akitafuta majani mabichi🏞 Mbuzi🐐 ni mwingi wa FADHILA maana anajua kuna wakati akinona ataliwa, Basi Mbuzi πŸhuyo akisaza hurejea ilipo kamba na akiona aliyemfunga hatokei hurudi liliko zizi lake, Lakini ukimtafuta mbuzi🐐 wako ukamkosa na ukalala bila kumuona ujue ANA MAZIZI MAWILI🀣Je unajua liliko zizi jingine🀷🏽‍♂ Kama unajua fuatilia kwanini AMEHAMA ZIZI LAKO ila ninacho kijua ni kwamba KUNA TOFAUTI YA MAJANI kwamba ama wewe unampa machungo yenye majani makavu na kwingine kuna machungo yenye majani mabichiπŸ˜‹ Ukiona Mbuzi🐐 anakuzingua MTAFUTIE SIKUKUU na umgeuzie KIBRA! Mle nyamaπŸ– uongeze AFYAπŸ’ͺ🏽
Usijitafutie stress kwa MANENO YA KANGAπŸ‘˜
Wenzio wako kwenye biashara, Angalia wapi unatokaπŸƒ‍♀
Na wapi unakwendaπŸ’ƒ
Mimi nimemzungumzia MBUZI🐐 sasa wewe ukipaniki shauli lako mazeeπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU