-->

Mwanaume hebu ngoja nikukumbushe jambo moja kuhusu MWANAMKE;

Image may contain: 1 person, smiling, shoes
Mwanamke ni FURAHA YA MWANAUME kwani uwapo na Mwanake aliye jaa AMANI hakika atakufanya uwe mwenye MATUMAINIπŸ’ͺ🏽
Hata kama mambo hayakwenda ipasavyo kati uhitaji wako nina hakika likipenya neno lilo na UPENDO kutoka kwa MWANAMKE AJUAYE KUUPA PUMZIKO UBONGO WAKO WALLAH UTALALA USINGIZI MOROROπŸ›ŒπŸ» Kumbuka Mwanamke ni MAMA kwa kila kiumbe chini ya jua hili, Ukimfanya Mwanamke kuwa MAMA kwako utalelewa na kupewa upendo stahiki, Lakini unapo mbeza Mwanamke na kudhoofisha MOYO wake tarajia kuona NGUVU YA UCHUNGU WA UZAZIπŸ™ˆ
Huwezi kumpa MANYANYASO MWANAMKE halafu ukalilia HESHIMAβ›” Tambua heshima inatokana na UPENDO uliompa mtu awaye yeyote, Lakini nikufundishe ka neno kadogo ila ndiko katakako kupa CREDIT kwa mwandani wako;
Hawa viumbe ni wadhaifu mno ukimjulia namna ya kuendana nae USHINDI UTAKAO UPATA KWAKE niamini utapewa HESHIMA ambayo hata ukipewa UTEUZI NA BROTHER JOHN huwezi kuifikia HESHIMA ya MwanamkeπŸ’‘
Wajua Kwanini nasema hivyo?
Mwanamke anajenga MOYO na kukupa ARI ya kupambania maisha yako, Nakuhakikishia kwamba UKIMPENDA MWANAMKE UMECHAGUA FUNGU JEMAπŸ™
Share:

Related Posts:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright Β© 2025 UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU