Kumtafuta mke mwema siku hizi hawapatikani Kirahisi⛔
Ila Kwa njia moja tu;
Umtafute aliye kwa mwanaume asiejua thamani wala umuhimu wa kuwa nae ๐๐.....!!
Vinginevyo wa kuzindua mwenyewe NI NGUMU KUMEZA๐คฃ๐คฃ
Maana mpaka akajue wewe ni wa THAMANI na uko katika ubora wa MUME MWENYE HEKIMA wallah UTAPATA TAABU SANA๐ค๐ผ
Kila jambo zuri linahitaji KUELIMISHWA lakini pia MAFUNZO YA VITENDO SIO KWA WATOTO WA KINDERGARTEN peke yake aka "VIDUDU"
Bali hata vyuo vikuu Kuna PRACTICE NA THEORY sasa wewe nenda kajibebee Mwari na hajui VITENDO VYA MAPENZI utarudi kunililia na wala nisikunyamazishe๐
Mwache acheze kidogo๐ aruke kamba, ukuti na TIYARI BADOOOO๐
Wallah akija kwako UNAWEZA KUMREKIBISHA KIDOGO MKAENDANA๐ช๐ฝ
Ila kama ndo unataka NEW BRAND ILIYO NA SEAL๐
Utasubiri sana kuona UMUHIMU WA MWANAMKE mara zote nitakusikia ukilalama kama kondoo wa shamba๐๐ป♂
Upinzani haukomei michezoni tu⛔
Hata kwenye MAPENZI uwapo na mpinzani HAPO NDIPO UTAJULIKANA UMUHIMU WAKO๐คฃ๐คฃ
Gombania goli๐ฅ mpirani, Lakini GOMBANIA MAPENZI๐ซ hiyo ndiyo huibua MSHINDI WA HAKIKA๐ค๐ผ
Ukikosa mpinzani UTATAKA KUSHINDIA NINI ATIII๐คท๐ฝ♂
Raha ya NGOMA๐ฅ upate wasaidizi, Wataka kucheza peke yako Kwani we MWANGA๐น
Pambana na hali yako Mazee๐ค
Mimi nasema UTAPIGWA KIPIGO CHA MBWA KOKO๐
Halafu nije kukucheka kwa DHARAUUUU๐คฃ๐คฃ
Kinachotazamwa na wengi hicho ndicho kilicho na UZURI๐
La kuvunda halina UBANI๐ฅข
Panic at your own RISK๐ธ