
Amini kwamba MPAKA LIKALETA TASWIRA YA KUWA PITO maana yake tayari limeshindwa kuleta FURAHA MAISHANI MWAKO π
Jambo lolote Zuri huleta furaha pamoja na AMANI kama hautaona hayo maana yake UNAPASHWA KUJITENGA NALO japo ni ngumu ki mtazamo lakini ni rahisi kuleta UKOMBOZI πͺ
Lililo maanishwa kuwa upande wako huwa HALILETI MAJUTO japo changamoto huja kuleta UKOMAVU hata ushindi pamoja na MAFANIKIO π€
Kuishi na Yaliyopita ama lililopita ni kujitaabisha mwenyewe, Yaache yapite na yapoteze kwenye fikra yako ili uweze kuruhusu KUYAISHI MAPYA YALIYOKO MBELE YAKOπ€
#Elista_Kasema_ila_Sio_She