-->

UJINGA WA MWANAMKE NI KUJIPAMBA ILI ATAZAMWE NA WANAUME, NA UJANJA WA MWANAMKE NI KUJITHAMINI MWENYEWE πŸ’ͺ

Image may contain: 5 people, people smiling, people standing, shorts, shoes and outdoor

Mtanisamehe Mama zangu kwani hapa sipo kuwaumbua bali nipo kuwajenga, Ukiweza kuchukuwa neno lichukuwe na ulifanyie kazi niamini leo halitakupa MAANA ila mbele ya safari ya maisha yako ya MAHUSIANO UTANIELEWA. MaandikoπŸ“– yanawaasa WANAWAKE MSIYACHOCHEE MAPENZI muyaache yaje yenyewe, wala kujipamba kwenu kusiwe kujipamba kwa ANASAβ›”
Mwanamke akijitambuwa na kuuthamini Mwili wake itakuwa TAJI πŸ‘‘ YA MUMEWE πŸ‘©β€β€οΈβ€πŸ‘¨
Lakini ikiwa MWANAMKE hatajua namna ya kujiweka kwa ajili ya HESHIMA YAKE MWENYEWE basi Mwanamke huyo wala asitarajie kumuona Mwanaume sahihi, Wanaume ni watu wa ajabu mno, Hawezi kuruhusu Mke wake kuvaa nguo za KUTAMANISHA Wanaume wengine ila yupo tayari kumtongoza Mwanamke mwingine anayevaa vichupi πŸ‘™ upo hapo Mwanamke πŸ€·β€β™‚️
Ijue THAMANI yako ili uweze kukwepa kuwa MAWINDO ya Wanaume πŸ’―
Share:

Related Posts:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright Β© 2025 UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU