-->

MTAZAME MWANAMKE WAKO KWA KESHO YAKE BAADA YA USICHANA WAKE KUPITA πŸ’―


Maisha ya Mwanamke huchanua tangu angali msichana na kabla hajawa na familia πŸ‘ͺ
Mwanamke pindi anapoianza safari ya maisha ya NDOA hapo ndipo BADILIKO kubwa la MUONEKANO WAKE HUJIINUA
Na kama alipendwa kwa sababu ya UREMBO WAKE ndipo GHARIKA πŸŒŠ yake ya MOYO πŸ’ž huanza kutafuta Uzuri wake ulipo na kuufifisha,
Na asipokuwa makini kukwepa STRESS niamini Mwanamke huyo HUKOSA NURU na uangamifu wa MUONEKANO wake hutaradadiπŸ˜‚
Lakini ikiwa MWANAMKE huyo aliolewa kwa UPENDO πŸ’˜ WA DHATI πŸ’• wala hapatakuwepo na MAJUTO kwenye uchaguzi wake kwa MUMEWE
Maana yake atakuwa MZURI SIKU ZOTE ZA MAISHA YA NDOA πŸ’ YAKE.
Wanaume walio wengi wanaishi na wanawake kwa DHAMANA YA WATOTO πŸ˜­
Na hao ndo wameacha wake zao katika WIMBI lA UPWEKE
Kila Mwanamke akikumbuka USICHANA WAKE Enzi hizo MNARA WA KIFUANI frequency πŸ“‘ zinasoma saa Sita
alikataa wachumba kibao akiamini huyu ndiye MWANAUME WA MAISHA YAKE halafu kumbe embeπŸ‹ dodo ndilo changa,
Yaani hakujua kwamba Jamaa alivutiwa na usichana na Kwamba upo wakati embe litadindoka😭
Ukiolewa na Mwanaume ANAYEPENDA MUONEKANO WAKO kamwe hawezi kuwa MUME BORA KWAKO kwa sababu kuna wakati atakuja kuona Mwanamke Mzuri zaidi yako na akakuacha,
Japo kumpata mwenye KUKUOA kwa UPENDO πŸ’˜ nalo ni FUMBO ila kuna SIRAHA kubwa ukiitumia unaweza usitamaniwe ila UKAPENDWA:-
 YATUNZE MAUNGO YAKO KWENYE NGUO ZINAZOFICHA UBORA WAKO WA NDANI.
Lakini kama ndo unahangaika na FASHION ili kuwaonyesha wanaume vile ulivyo mrembo wallah UTALIWA TU na muoaji kamwe usimuone πŸ˜‚πŸ˜‚
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU