-->

☑️Wanaume hudhoofisha au kubomoa mahusiano na Wake wao kwa sababu zifuatazo:

☑️Wanaume hudhoofisha au kubomoa mahusiano na Wake wao kwa sababu zifuatazo:
๐Ÿ‘๐Ÿพ Kukosa msimamo na kuwa mtu wa kuburuzwa
๐Ÿ‘๐Ÿพ Kutojiamini/kukosa ujasiri
๐Ÿ‘๐Ÿพ Kushindwa kujitegemea/kujitosheleza kimahitaji/kuwa omba omba
๐Ÿ‘๐ŸพKujisifia kwa mafanikio ya wengne (kaka, dada, mama, baba n.k) kama ndio mafanikio yake
๐Ÿ‘๐Ÿพ Kukosa ubunifu katika maeneo yote
๐Ÿ‘๐ŸพKushindwa kutekeleza wajibu wake
๐Ÿ‘๐Ÿพ Kuwa mtu mizaha/utani na wanawake wengine na kuwa mkimya kwa mwenzi wake
๐Ÿ‘๐ŸพKutenda mambo ya aibu kama ulevi, wizi, matusi n.k
๐Ÿ‘๐Ÿพ Kushindwa kutimiza mahitaji muhimu kwa familia
๐Ÿ‘๐Ÿพ Kuchelewa kurudi nyumbani pasipo sababu za msingi
๐Ÿ‘๐Ÿพ Kushinda vijiweni kama kwenye draft, pool table, bao n.k wkt nyumbani hali ni tete. Haya humfanya mwanaume kuitwa mwanaume suruali. Kama hujaolewa jipime kama unaweza kufurahia maisha na Mume wa mtindo huo.
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU