-->

KATAA KUWA KWENYE MAHUSIANO AMBAYO YAKO HIVI

No photo description available.

Kataa kuwa kwenye MAHUSIANO ambayo wewe unaambiwa kwa maneno kwamba NAKUPENDA NA SIJIWEZI KWAKO na wakati nafasi yako ni ya KIBATARI "koroboi" kwenye nyumba yenye Taa za chemri, Siku Taa imegoma kuwaka KIBATARI "koroboi" NDO KINALITOWESHA GIZA... Kwanini uteseke na MAHUSIANO na unazo akili🤷🏽‍♂ Kataa kuwa KIBATARI "koroboi" kwani iko siku UMEME utapatikana kwenye nyumba hiyo utatupwa jalalani kwanza wewe unatoa moshi mwingi hata unasababisha kuchafua nyumba, Maana yake Taa ya Chemri ndo itasimama badala yako nawe utasahaulika kama sio kubakia HISTORIA YAKO KWAMBA ZILIPENDWA🐎🐎🐎
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU