-->
Showing posts with label SIMULIZI. Show all posts
Showing posts with label SIMULIZI. Show all posts

SIMULIZI: SHEMEJI NAOMBA NIKUAMBIE KITU….

UTAMUZAIDIAPP

“Shemeji naomba nikuambie kitu, sema chonde chonde naomba usimuambie Eliza kwani akijua ni mimi nimekuambia atanichukia milele. Lakini nimekuambia kwakua nakuonea huruma, kuoa mwanamke ambaye hazai inaniuma sana.
Hata kama ni mimi ningekuambia mwanzoni kabisa wa mahusiano. Jane aliongea kwa wasiwasi kidogo akimuangalia shemeji yake, alikua akimzungumzia rafiki yake Eliza ambaye walianza urafiki tangu wakiwa kidato cha tano mpaka walipomaliza chuo na sasa wanafanya kazi shemu moja.
Alex alimsikiliza kwa makini kutaka kujua kisa kizima. “Unamaanisha nini kusema kuwa hazai sikuelewi…” Aliulza Alex na hapo ndipo Jane alianza kujimwaga na kutiririka, kila kitu kuhusu rafiki yake ambaye ilikua imebaki wiki mbili tu kufunga ndoa.
“Najua hajakuambia kwani ungekua ushamuacha, ila wakati tukiwa kidato cha tano, Liz aliumwa sana. Alikua na uvimbe kwenye kizazi hivyo kuathiri bleed yake, sasa walimfanyia upasuaji na uvimbe ulikua mkubwa hivyo wakamtoa kizazi.
Hawezi kuzaa na ni watu wachache sana wanajua, mimi najua kwakua ndiyo msiri wake, nimekuambia wewe kwakua nakuonea huruma. Tafadhali usinielewe vibaya shem ila kama angekua anakupenda basi angekuambia…”
Kabla ya kumaliza hata kuongea Alex alinyanyuka kwa hasira alipiga meza teke na vinywaji vyote kumwagika, aliingia kwenye gari na kuondoka. Jane alibaki anashangaa huku akitabasamu akijua kuwa rafiki yake anaenda kuachwa na wote wanabakia usela kuendelea kudanga tu.
****
Maandalizi ya harusi yaliendelea, Alex hakumuambia chochote mchumba wake. Kitendo kila kilimuumiza sana Jane kwani alijua kuwa baada ya zile taraifa labda Alex angeahirisha harusi, lakini alistuka akijua kuwa Alex hajamuambia Liz kwani kama angemuambia basi angemnunia ila Liz aliendelea kumchangamkia kama rafiki.
Kuona hakuna kinachoendelea Jane alimfuata Dada yake na Alex akamuambia ile kitu akimuambia kua ndugu yake kalogwa ndiyo maana hafanyi chochote. Dada yake naye alienda kwa Mama yake na wote Alex akaitwa kikao, Alex aliwaambia ameshajua hivyo anajua chakufanya.
Wote walikaa kimya wakisubiri labda alex ana hasira ya kudanganywa muda mrefu hivyo atamkataa mpenzi wake kanisani na kumuaibisha. Mama yake alijaribu kumsihi kuwa nibora kuvunja uchumba kuliko kumdhalilisha binti wa watu kwa kumkataa kanisani.
Alex aligoma kuongea chochote akisema yale ni maamuzi yake aachwe na maisha yake kwani yeye anajua kitu chakufanya. Mchana wakati wa ndoa mambo yalienda vizuri, watu waliojua walishangaa kuona hajamkataa kanisani na wote walikua na furaha, bado hawakujua nia ya Alex kuwa mkimya vile ilikua nini.
******
Usiku wakati wa sherehe, baada ya zawadi kutolewa, muda mchache kabla ya chakula, Alex aliomba kuongea. Tayari kulishakua na minong’ono na ndugu zake walipoona kachukua mike waliinama chini kwa aibu wakijua kuwa ndiyo alikua anamdhalilisha mke wake.
Alimuomba DJ kucheza CD moja, ilikua inaonyesha picha za Eliza tangu akiwa mdogo, zilienda mpaka pale akiwa hospitalini kipindi hicho akiwa ndiyo anafanyiwa upasuaji. Kila mtu alishangaa, wazazi wa Eliza walishikwa na butwaa, Mama yake alianza kulia. Eliza alibaki nawasiwasi kwani hakujua kilichokua kinaendelea.
“Najua wote mnashangaa, lakini kuna kitu nataka niongee. Miaka kama kumi iliyopita mke wangu alipata ugonjwa wa ajabu, si kitu amcho nilitaka kukizungumzia lakini kuna jambo limetokea hivyo nimeona nizungumzie.
Aliumwa akiwa na uvuimbe katika kizazi, baada ya kufanyiwa upasuaji wake ili kuokoa maisha yake walilazimika kutoa kizazi chake na aliambiwa kuwa hatakuja kuzaa tena. Wakati nakutana naye, siku ya kwanza tu aliniambia amenipenda ila hataki mahusiano na mimi kwani yeye hawezi kuzaa.
Nilimuuliza kwanini akaniambia kila kitu, lakini nilimuambia kila siku mapenzi ya Mungu nilazima yatimizwe. Kama Mungu akisema hataki tuwe na watoto basi hata kama ungekua na kizazi mpaka cha pua usinge zaa lakini kama akisema kuwa utazaa hata kama ukikatwa kiwiliwili ukabaki na kichwa tu basi utazaa.
Nilimuambia nampenda yeye na si vingine. Alinikubali kwa shingo upande. Lakini kama nilivyosema kuwa Mungu ni wa ajabu, akisema jambo liwe basi linakua, mwezi uliopita alianzakujisikia vibaya, alipoenda hosipitalini alipata habari ambazo hatukuzitegemea.
Aliambiwa ana ujauzito wa miezi miwili, wote tulishangaa na tulivyomuelezea Daktari hata yeye alishangaa,. Ilibidi kufanyiwa vipimo vingine na kuona kua kumbe madakttari ambao walimtoa kizazi kipindi hicho walikosea na walitoa tu uvimbe na upande mmoja wa mirija ya uzazi.
Sasa wote leo mmenipa zawadi, ila Mungu kanipa zawadi kubwa zaidi, aliongea huku akitoa picha ya ya ultra sound ikionyesha picha ya ,mtoto wake akiwa na miezi minne tumboni. Kila mtu alilia kwa furaha, hakuna aliyeamini, Jane ambaye alikua pale aliinama chini kwa aibu.
Eliza hakuweza hata kusimama alikaa chini na kulia tu, Alex alimfuata na kumkumbatia huku akimuambia nakupenda. Sherehe iliendelea vizuri mpaka ikaisha, wakaingia kwenye gari kwenda kula honeymoon huku Eliza akiwa haamini kilichotpokea.
*****
Kufika tu chumbani Eliza alitaka kujua kwanini alidanaganya kwani hakukua na kitu chochote kilichotokea, hakuwa na mimba, nikweli alimuambia tangu siku ya kwanza lakini hakukua na miujiza yoyote. Alex alitabsamu na kumuambia.
“Ndugu zangu walishajua, kuna mtu aliwaambia hivyo waliniitisha kikao. Ingawa mimi nakupenda sana na sijali kuhusu mtoto lakini najua nguvu ya ndugu, watakusumbua sana na hutakua na amani. Hii ndiyo njia pekee ya kuwanyamazisha midomo ili ndoa yetu iwe na amani, najua baada ya hapa hawataongea tena na wale wanafiki watazdi kuumia.”
Aliongea kwa kujiamini, Eliza alimuelewa lakini bado alikua na wasiwasi. Alimuuliza, sasa miezi tisa ikifika sijifungui itakuaje. “Mungu ameleta watoto wengi duniani, kuna ambao amewaleta na kuwanyang’anya wazazi lakini sisi ametuleta kama wazazi ila akatunyang’anya watoto.
Sasa ikikaribia miezi tisa tutatafuta mtoto yatima mchanga na tutamlea kama wetu, najua hata asipofanana na mimi kwakua tatizo unalo wewe basi hakutakua na kelele. Lakini pia kwani kila mtu anayebeba mimba nilazima azae, hivi ikafika miezi tisa nikakupeleka Nairobi kujifungua.
Huko mtoto akafia tumboni nikasema tumezika huko huko nani ataniuliza, wakati huohuo tukitafuta mwingine? Nimeshafikiria kila kitu mke wangu, kwa sasa nataka tu nikufaidi sitaki kelele za watu, tutawaza daraja tukiufikia mto.
Eliza alipumua kwa nguvu alienda na kumkalia mumewe mapajani kisha akamuambia nina swali moja tu limebaki. Ile picha uliitoa wapi?” Alex alicheka na kumuambia “Ndiyo maana Mungu alileta wazungu kwaajili ya mambo kama haya, nili Google tu na ku print hata sijui nimtoto wa nani?”
Wote walicheka na kukumbatiana wakaanza kufanya yao, wakisubiri kuwaza daraja wakiufikia mto.
*****MWISHO
Share:

KAMA HAJAKUOA BASI SI MUME WAKO SOMA KISA HIKI CHA HUYU DADA.

UTAMUZAIDIAPP
Kuna watu wengine ambao unakutana nao katika maisha halafu wanaishia kukupa hasira tu, unawaza hivi ni kwanini sikukutana nao miaka kadhaa kabla nakutana nao sasa, lakini yote ni mipango ya Mungu.
Miaka mitatu iliyopita nilikua katika kipindi cha kupigania ndoa, kipindi ambacho nililazimika kufanya vitu vingi vya ajabu ili tu mwanaume anikubali, nilikua nadhindani na wengi hivyo nikiamini kua mimi ndiyo napendwa zaidi nilijua nitaolewa mimi.
Lakini mpenzi wangu hakujali hilo, baada tu ya kunipata alinigeuza kama ka ATM kake, wote tulikua wafanyakazi wa serikali, alitaka kununua gari, hakua na pesa za kutosha na aliniomba nimkopeshe.
Nikiwa najua kabisa hatanilipa nilitoa kiakiba changu cha miaka miwili ambacho nilipanga kufungulia biashara na kumpa. Hiyo ilikua ni baada ya kumbembeleza na kumshauri sana kuwa kwanini afanye vile, kwanini tusingejenga kwanza.
Jibu lake lilikua yeye ni mwanaume siwezi kumpangia. Aliniambia kama nataka kumpanda kichwani wakati bado hajanioa akinioa itakuwaje? Niliufyata mkia nikanyamaza nikampa zile pesa lakini hata gari yenyewe hakununua, aliishia kuhonga Malaya wake.
Nilijua kwani walinipigia simu kunitukana kua mimi natafuta na wao wanahongwa, niliumia sana lakini baada ya kumaliza zile pesa basi alikuja kuniomba msamaha. Alijutia sana na kama unavyojua mwalimu wetu kipofu aliniambia msamehe, hakuna mwanadamu aliyakamilika.
Lakini sasa nilimpa mashariti kua tunapaswa kuwekeza katika maisha yetu, aliniambia anatafuta pesa anunue kiwanja na anataka kunioa. Kama kawaida ukisikia ndoa unchanganyikiwa, ingawa kwetu walikua wanamfahamu lakini sa alijitambulisha rasmi.
Alinivalisha pete ya uchumba kuonyesha kua alikua siriasi na mimi. Maisha yaliendelea na baada ya kuvalishwa pete nilivyokua mpumbavu nikageuka kua mke tena, nikijua kuwa nikikaa naye ndiyo nitamdhibiti nilihama kwangu na kwenda kuishi kwake, ndiyo ni upumbavu kuwa mke kabla hujaolewa.
Kabla hata sijaolewa basi tulianza kuishi pamoja nikiamini pete ndiyo cheti cha ndoa. Nilihamishia vitu vyangu kwake na tukawa mwili mmoja, hapo ndipo nilianza kuona chungu ya pilipili. Sio kwamba tu alizidi kuninyanyasa lakini alinipiga pia.
Akichelewa kurudi nikiuliza napigwa ananiuliza mimi ni Malaya tu kaniweka ndani na si mke. Lakini sinishavalishwa pete nilivumilia kwa wimbo uleule wa ndoa ni uvumilivu sijui hata nilikua navumilia nini wakati ndoa yenyewe hata sikua nayo.
Alinunua kiwanja kitu ambacho nilikua namshauri kila siku na akataka tuanze ujenzi, hapo nilijua mwanaume kabadilika, kwakua kipato chetu cha kawaida si unajua mishahara yetu hii basi aliniambia nichukue mkopo ili tukichanganya na kipato chake kidogo basi tujenge.
Nikijua kuwa tutakuja kufunga ndoa karibuni nilichukua mkopo, ujenzi ukaanza na Mungu si Athumani alijalia pamoja na vidilidili vyake vya kazini basi tulifanikiwa kumalizia ujenzi. Katika kipindi chote hicho tunajenga aligeuka na kua malaika, akiwahi kurudi na kufanya kila kitu kama mume mwema.
Lakini baada ya kumaliza kujenga, nikitaka kuhamia hapo ndipo ilizuka kasheshe. Wanaume ni washenzi ndugu zangu na hapa ndiyo najuta kwanini Kaka iddi sikukuona mapema nikasoma makala zako.
Unakumbuka makala moja ulisema kama mwanaume hajakuoa si mumeo chako ni chako na chake ni chake. Hilo ndiyo lilinitokea, nikijua najenga na mume wangu mtarajiwa kumbe nayeye alikua anajenga na mtu mwingine.
Yule mwanaume hakutumia hata senti tano katika lile jengo, alikua na mwanamke mwingine ambaye naye kama mimi alichukua mkopo tena wakwake wa benki kibiashara na kuwekeza kwenye ile nyumba. Lakini yule mchaga alinizidi kete, wakati mimi nasubiri kuambiwa tuhamie yeye alihamia kabisa.
Ndiyo kwa mbinde alianza kuishi pale kwenye ile nyumba, nilipotaka kwenda na mwanaume alikataa hakutaka twende, nilipokazania sana alinipiga na kunifukuza, ndiyo alinifukuza na kuniambia sina changu, nililazimika kuondoka na kwenda kuishi na rafiki yangu.
Wakati nikiwa huko nikagundua kua nina ujauzito wa wiki mbili, namuambia ananiambia hanijui. Yaani sijui nini kilitokea lakini nilisikia katangaza ndoa na yule mwanamke aliyekua akiishi naye, kabla hata sijastuka naambiwa wameoana ndoa ya kiserikali.
Ndiyo nikabakia na mimba yangu, yaani nilibaki nalia tu, nilitamani hata kujiua lakini maisha ilikua ni lazima yaendelee. Ilinibidi kuanza upya kwani mbali na ujauzito lakini mshahara mzima ulikua unaishia kulipa mkopo wa nyumba ambayo nilishanyang’anywa.
Mpaka leo hii nalipia mkopo na mpaka leo hii nawaona tu wakipita wapo na furaha na maisha yao. Yaani mimi nina mtoto wangu na wao yule mwanamke kumbe alishazaa naye mtoto mmoja mimi sijui na sasa ana mimba nyingine.
Natamani hata niende niichome moto ile nyumba kwani napata uchungu kila siku nikiangalia Salary Sleep yangu, kwa bahati mbaya wote tunaishi hapahapa Dar hivyo haiwezi pita wiki sijawaona.
Nina hasira sio kwasababu nimedhulumiwa tu bali nina hasira na wewe Kaka Iddi kwanini sikukujua mapema nikasoma makala zako mapema. Nina uhakika asilimia mia nisingefanya upuuzi nilioufanya. Kama unakumbuka tulishaongea niliponunua kitabu chako.
Nimeandika hivi ili wanawake wenzangu ambao wanabembelezea ndoa nao waamke na wasiwe mabwege kama mimi. Natamani hata kila siku uirudie ile makala yako kuwa kama mwanaume hajakuoa basi mali zake hazikuhusu.
Kuna wengi tu humu mnajifanya mnapendwa lakini siku likiwatokea mnawalaumu wahusika kumbe makosa ni yenu. Nimejifunza maisha yanaendelea ila nashukuru Mungu nilikupata kwani nilishakata tamaa, ila kwa ushauri wako kaka nimeanza biashara na inaenda vizuri.
Nashukuru kwa kitabu chako pia kimeniamsha sasa najielewa. Sipo kwenye ndoa wala mahusiano kwa sasa ila najua kabisa kuhusu wanaume, nimejifunza mengi kupitia makala zako na zaidi katika kitabu chako, kaka umeniponya.
Sasa hivi nataka kulipa kisasi, sitaki kulipa kisasi cha kuchoma nyumba yao moto bali cha kujenga nyumba yangu na kufanikiwa zaidi. Nakumbuka siku ya mwisho tulipoongea uliniambia hakuna kisasi kizuri kama kua na furaha zaidi ya mtu aliyekuumiza kumuonyesha kuwa humhitaji yeye kufurahi Ahsante kaka bray.
***
#SHARE KUNA WANAWAKE WENGI BADO WAMELALA
Share:

SIMULIZI:NILITAFUTA UJAUZITO KWA MIAKA MINGI HADI NILIPOIJUA SIRI HII!


Naitwa Magreth. Nina umri wa miaka 32 sasa. Nimeolewa. Mwaka wa 8 sasa.
Story ni ndefu lakini kwa kifupi sana ni kuwa nimepitia changamoto kubwa sana katika ndoa kwa sababu ya mtoto. Nadhani mnaweza kuhisi ni kwa nini. Kitanzania si unajua mtu ukiolewa ee. Maneno yanakuwa mengi ukiwa hujapata mtoto.
Mwanzo haikuwa shida. But ilipofika miaka 3 ikawa changamoto. Nilijaribu njia nyingi. Nilipata ushauri na "matibabu" kadhaa hospitali lakini sikufanikiwa. Miaka ikazidi kwenda. Furaha nikawa sioni. Hata tendo la ndoa nikawa kiukweli silifurahii tena. Licha ya kuishi maisha nayoweza kusema ni mazuri kiukweli lakini kukosa mtoto kulinisononesha sana. Nililia. Niliomba sana. Miaka 7 ya ndoa ilipofika ukiingia wa 8 dah. Nikaanza kukata tamaa!
Lakini miezi michache iliyopita nikaona makala moja Instagram ikiongelea changamoto 7 kuu zinazoleta shida kwenye kupata ujauzito. Nikawa interested kusoma. Nikasoma kwa kina.
Nikakuta wanaeleza kuwa kuna sababu NYINGI SANA za mwanamke kutoshika ujauzito pale anapohitaji. Zingine ziko kwake zingine kwa mwanaume. Kwa mfano kama mbegu za mwanaume haziwezi kutungisha mimba hapo hata mwanamke awe vizuri kiasi gani ujauzito hautuaingia. Au kama mwanaume hata uume kusimama ni kwa ULEGEVU mkubwa na kwa taabu. Mwanaume husika itabidi ajue shida nini na atatue tatizo ndipo mambo yatatiki.
Lakini kwa upande wa mwanamke kuna sababu NYINGI ZAIDI. Hapa ndipo walisema sababu 7 kubwa. Mojawapo ilikuwa
1. Kuvurugika kwa hormones mwilini mwa mwanamke na uke kuwa mkavu hadi tendo la ndoa linakuwa karaha. Na kwamba hapo anahitaji kurutubisha mwili ili apate #libido (hamu ya tendo) na ute ute ule wa kutosha. Walieleza kwa kina zaidi.
2. Mbili ni Mwili kuwa ACIDIC. Hili nilikuwa sijawahi kusikia! So nikaweka umakini. Wakasema kuwa mbegu za kiume zinahitaji mazingira yasiyo ACIDIC ili kusurvive. Acid huua mbegu za kiume (sperms). Yaani kama mbegu zikiingia ukeni na zikakutana na acid ya kufa mtu basi hazitaweza kusurvive kabisa... zitakufa haraka kweli kweli kabla hata ya kuanza safari ya kuogelea kwenda kwenye yai (sperm race)
Hivyo ni muhimu sana kwa wewe mwanamke kuhakikisha unatengeneza mazingira ya mwili kuwa ALKALINE zaidi kuliko acidic. Walitaja vyakula vinavyoweza kufanya mwili uwe acidic kama nyama, na viungo kama limao, tomato sauce (ketchup), mayonize, pilipili, mahindi, ice cream, maziwa nk.
Wakaeleza pia vyakula vya kuongeza ALKALINITY mwilini kama mboga za majani na matunda hasa vyenye rangi iliyokolea (darker coloured). Pia kuna virutubisho maalumu vinavyosaidia mno kuongeza ALKALINITY mwilini kwa haraka na kwa kiwango muafaka na hivyo kuweka mazingira rafiki kwa mbegu za kiume kusurvive na kuweza kuogelea hadi zifike kwenye ovaries.
Nilisoma sababu hizo 7 zote kwa umakini na kugundua kuna sababu 3 ambazo nilikuwa sijawahi kujua kabisa. So niliwatafuta kwa namba zao na nilishangaa kuwa kulikuwa na kama tumaini moyoni japo kwa mbali.
Nisimalize uhondo. Kifupi nilipewa ushauri wa kipekee sana. Wa kitofauti. Na kufanyia kazi mambo yale matatu ambayo nilikuwa siyafahamu huko nyuma. Mwezi uliopita nikapata ujauzito. Mume wangu hakuamini. Alirukaruka kama mtoto. Mimi mwenyewe nilishangaa sana furaha niliyonayo wanaweza kuielewa waliotafuta ujauzito kwa muda mrefu!
Natarajia nami kuitwa MAMA. Hakika kila mtu ana siku yake asipokata tamaa! Nina mengi ya kuelezea lakini muda hautoshi.
Kama umehangsika kama mimi miaka 8! Au zaidi au una michache kuliko mimi nakushauri watafute hawa wataalamu watakusaidia sana!
Share:

SIMULIZI; MUME WANGU ALIVYONISALITI SIKU YA SEND-OFF YANGU NA X WAKE!

UTAMUZAIDIAPP

Ilikua ni siku ya Send Off yangu, niliamini kua hiyo ndiyo itakua siku yangu, siwezi kuisahau kwani nakumbuka ilikua ni siku ya Alhamisi, baada ya kuhangaika katika mahusiano kwa miaka 7 sasa na mimi nilikua naolewa. Nilipambana sana mpaka kumpata huyu mwanaume kwani tulipitia mengi, usaliti na vipigo vya kila mara nilishavizoea.

Niliamini sasa atakua amebadilika kama ambavyo kila siku amekua akiniambia lakini kurudi kulekule kunisaliti waziwazi. Lakini kama wanawake wengine kwakua nilikua natamani sana ndoa basi nilikua tayari kuvumilia kila kitu, sitaki mnihukumu lakini ukiwa na miaka 33 na umekua kwenye mahusiano na mwanaume mmoja kwa miaka saba.

Umeshamtambulisha kwenu na kwao wanakujua naamini unakua huna uchaguzi sana wa nini chakufanya. Mchana nikiwa saluni napambwa kwaajili ya Photoshoot na sherehe usiku, meseji za Whatsaapp ziliingia katika simu yangu. Mdogo wangu aliniletea simu yangu, ilikua ni namba ngeni kabisa, ziliingia mfululizo kama kumi hivi.

Nilizifungua zote zilikua ni picha, nilifungua moja moja nakujikuta nabubujikwa na machozi, zilikua ni picha za mchumba wangu akiwa na mwanamke mwingine, ndiyo si mwanamke tu ni X wake ambaye kila siku tulikua tunagombana kuhusu yeye. Walipiga kitandani, mwanzoni nilijipa moyo kuwa ni picha za zamani lakini ni kama alijua kua nitawaza hivyo.

Mwisho alituma na picha ya Hoteli moja pale Iringa, ndiyo Hoteli ambayo mchumba wangu na ndugu zake walishukia, tena tuliwatafutia sisi, niliishiwa nguvu, hata kabla ya kufanya chochote iliingia meseji ya maneno “Wewe olewa kwenda kufua Boxer zake sisi tunatumia pesa zake”. Hazikua picha za kuibia, mchumba wangu alipiga akiwa na furaha kabisa, katika mapozi tofautitofauti.

Watu pale saluni waliona Mood yangu kubadilika, “Eliza ni nini?” Waliniuliza, sikua na jibu, nilinyamaza, nikijua watataka kuona harakaharaka nilifuta kila kitu. “Hamna kitu ni Denis alikua ananiambia kanimiss.” Nililazimisha tabasamu lakini machozi yalianza kutoka, Dada yangu alihisi kitu, alibadilisha mada ghafla. “Yaani na wewe na hayo mapenzi yenu, hivi utaacha kulialia lini kila saa akikutumia meseji!”

Watu walicheka na kunitania, lakini yeye alijua kuwa kuna kitu. Nilijikaza na kupambwa mpaka mwisho, baada ya kutoka pale aliniuliza kama kuna tatizo, nilimuambia hapana, niko sawa kuna mambo tu nilikumbuka. Sikuumia tu kwasababu mchumba wangu hakubadilika, hapana hilo ni kama nililijua, wakati nakubali kuolewa nilijua ni Malaya, nilijua hatabadilika kirahisi lakini niliumia kwa kutokuniheshimu.

Ilikua ni siku yangu ya kuagwa na ndugu zangu, hakuheshimu hata kuwa mbali na X wake angalau kwa siku moja. Alimchukua kutoka Dar na kuja naye mpaka kwenye sherehe, wakalala katika Hoteli moja, tena ambayo tulikua tumewatafutia na kuwalipia sisi. Niliumia sana, nilitamani kusema siolewei tena ila niilijua nitajidhalilisha na hiyo inaweza kuwa ndiyo ndoa yangu ya mwisho, nilijipa moyo atabadilika na kuacha mambo kuendelea.

***
Nilivumilia mpaka sherehe ilipoisha, sikutaka kumuambia kitu kabla kwani ingawa tulishafikia hatua za mwisho nilijua kama ningeongea kitu angeweza kuniacha hata kabla ya kufunga ndoa. Alijua kuwa nampenda sana hivyo alimua kunifanyia vituko vyote ili tu kuniumiza. Tulipoingia kwenye ndoa ndiyo nilimuambia lakini hata hakujali “Kama umechoka si uondoke kwani nani kakulazimisha kuolewa!”

Alinijibu kwa hasira na kujifanya kama mimi ndiyo nilikua nimemkosea adabu, mara kwa mara alikua akinipiga akiniambia ni mwanamke wa namna gani ambaye namhojihoji kila siku! Alikua akiniambia kuwa nataka kumkalia kichwani na maneno mengine kibao. Lakini bado nilivumilia, nilimuomba Mungu kwa kusali na kufunga, hakuacha tabia zake, kila siku alikua analewa hanihudumii na akirudi anadai chakula.

Wakati wa harusi kuna kiwanja tulipewa na wazazi wake, ilikua kama zawadi, kama miezi mitatu hivi baada ya ndoa nilipata ujauzito. Alikuja na kuniambia kabadilika, aliniambia kua anataka kuwa Baba hivyo ni bora kubadilika kwani hataki mtoto wake kuteseka, kweli alibadilika, alianza kunijali na kunishirikisha katika mambo ya maendeleo. Aliniambia kua anataka tujenge katika kile kiwanja kwani hataki mtoto azaliwe katika nyumba ya kupanga.

Kweli nilimuelewa hasa pale alipotaka tubadilishe jina la kiwanja kutoka jina la Baba yake na kuwa majina yetu. Nilimkubalia na kuanza mchakato, tukiwa katikati ya mchakato, alinishauri tuchukue mkopo, aliniambia ana akiba kidogo kama milioni tano lakini zisingetosha ujenzi hivyo kwakua mimi ni mfanyakazi wa serikali na nina mshahara mzuri tu nichukue mkopo ili tuweze kujenga kwa harakaharaka.

Aliahidi kuhudumia familia, ingawa nilikua na mashara lakini sikua na namna, mambo yalikua yanaenda vizuri, alishaanza kuniamini na kwakua alikua na nia nzuri sikuona sababu ya kutokuchukua mkopo, sikutaka kuyaharibu mambo. Nilichukua mkopo, kwa mshahara wangu kipindi kile niliweza kuchukua Shilingi milioni kumi na nne na laki sita. Baada ya kuzichukua nilimkabidhi kwaajili ya ujenzi.

Sikua na wasiwasi kabisa isitoshe bado nilikua napata kama laki tatu na thelathini kwa mwezi, kiasi kilichokua kimebaki katika mshahara wangu baada ya mkopo. Sikuamini macho yangu, siku tu niliyomkabidhi ile pesa hakurudi nyumbani, simu zake zilikua hazipokelewi.. Nilichanganyikiwa kwa kweli, nilimsubiria kwa wiki nzima lakini hakurudi nyumbani, niliwapigia simu ndugu zake hawakua wakijua chochote.

Ilinibidi kwenda kazini kwao ambapo walishangaa kwani alishachukua likizo, hapo ndipo nilichanganyikiwa zaidi na kujua kua nimeibiwa. Mwezi mzima uliisha ndipo aliporudi na nilipomuuliza kuhusu pesa alikasirika na kuniambia kuwa kama nimechoka niondoke, yeye ndiyo mwanaume hawezi kupangiwa cha kufanya, alinipiga sana siku hiyo hakujali hata kama nina mimba yake.

Sikua na chakufanya zaidi ya kunyamaza tu, tabia zilezile ziliendelea, mimba ilikua inanisumbua lakini hakujali. Kwa bahati mbaya sasa kipindi kile ndiyo Bodi ya mikopo ilianza kudai wadaiwa sugu, mimi nilikua mmoja wao nilisahaulika tu hivyo mchakato ulipanza jina langu lilipelekwa na kuanza kukatwa, tena kipindi hicho ndiyo Bunge lilishapitisha suala la asilimia 15. Nilichanganyikiwa kwani ilimaanisha kuwa sasa nilikua napokea mshaara kama laki mbili kasoro.

Ukipigia mahesabu nyumba ya kupanga, tena nyumba nzima, sina akiba yoyote na mimba juu, mume haonekani hahudumii hata senti moja nilichanganyikiwa. Lakini maisha ilikua ni lazima yaendelee, nilipambana hivyo hivyo mpaka nilipofikisha miezi nane kama na nusu hivi ya ujauzito. Zilikua zimebaki kama wiki mbili kujifungua, nikijua kuwa sina mtu wa kunihudumia nilipanga kwenda nyumbani.

Mume wangu hakua nyumbani hivyo ililazimu kumpigia simu ili angalau arudi abaki na nyumba kwani najua kama ningebaki pale ningechanganyikiwa. Alikuja, si kunisikiliza bali kuniambia niende kwao, nilishangaa kwani ndugu zake kwanza Mama yake alishafariki na walilelewa na Bibi yao ambaye ni mzee sana, isingekua busara kwenda kwani yeye mwenyewe anahitaji kuhudumiwa.

Alikataa na kusema kikwao mwanamke hujifungulia kwao la sivyo nibaki palepale, nilichanganyikiwa zaidi tukabishana sana kisha akaanza kunipiga, alinipiga sana na kuondoka huku akiniambia kuwa kama nikienda kwao basi nisirudi kwake. Niliumia sana, siku mbili nilikua na maumivu ndani, nilimpigia simu Mama ambaye safari hii aliniambia nifunge nyumba na kurudi nyumbani.

Mama yangu alikua mpole sana na kila siku nilipokua nikimuelezea matatizo ya ndoa yangu aliniambia vumilia, maneno yake yalikua yaoleyale ya kila siku kuwa ndoa ni uvumilivu na wanaume wote ndivyo walivyo. Lakini baada ya kumuambia vile aliniambia kuwa hakuna kuvumilia tena ni bora kuondoka na kama ataniacha basi aniahce.

Nilijiandaa na kurudi nyumbani kwajaili ya kujifungua, nilikua nimechoka na sikujali tena kama mume wangu atakasirika au la. Nashukuru Mungu pamoja na matatizo yote nilijifungua salama, mume wangu nilimpa taarifa za kujifungua lakini hakujali, hakuniambia hata hongera. Alijifanya kukasirika akiniambia kuwa simjali na sijali ndoa yangu. Kwa furaha niliyokua nayo sikujali sana kama anafuraha yeye au la.

***
Nilimaliza arubaini mume wangu akiwa hata hajanipigia simu kuniulizia hali yangu. Kweli nilichanganyikiwa, Mama aliniambia niende kutetea ndoa yangu, ingawa sikutaka lakini sikua na namna. Nilifika na siku hiyo nilimkuta mume wangu, hakunisemesha, baada tu ya kuniona alikasirika, lakini hakuondoka, alikaa pale na kuanza kunituma tuma. Angalau nilifurahi kidogo ananisemesha.

Bado hakua akihudumia hivyo nilijihudumia mwenyewe. Nikiwa katika kipindi hiki kigumu ndiyo nilifanikiwa kuona ukursa wako, nakumbuka ilikua ni mwaka jana mwezi wa nane mwishoni. Nilishakata tamaa ya maisha lakini post zako zilinifariji, nakumbuka nilikupigia simu na kukuomba ushauri, baada ya kuongea sana uliniambia nisome Kitabu chako, niache kulalamika, kukubali yaliyotokea na kuanza upya.

Kwangu ilikua ngumu, nilikuambia kabisa siwezi kumuacha mume wangu kwani sijui kama nitaenda wapi, nakumbuka uliniambia huo ni uamuzi wangu lakini kubaki haimaanishi kuvumilia bali kuendelea na maisha na kaucha kukumbatia maumivu. Uliniambia nisome Kitabu chako cha “Ndoa Yangu Furaha Yangu” kweli nilikisoma na niseme tu namshukuru Mungu kwani kilinisaidia sana.

Katika kipindi hicho ndiyo ukatoa Kitabu chako cha Biashara 50, kwakua kile cha kwanza kilinisaidia niliamua kukinunua. Sikujutia kwani ilinipa moyo sana, biashara ambazo mwanzo niliona kama za kijinga siwezi kufanya uliziandika na kuonyesha namna ya kufanikiwa katika hizo biashara. Kwakua sikua na mtaji mkubwa basi nilianza na biashara ya Diamond Karanga.

Kila siku nilikua nikipeleka ofisini na kuziuza kwa wafanyakazi wenzangu, nilianza hivyo na kweli nilikua napata faida kwani siku box moja lilikua linaisha hivyo kupata hata elfu kumi, nilikua nauzia pia nyumbani. Baada ya kuona nafanikiwa nilitaka sana kufungua sehemu ya kushona nguo, kweli naweza kushona lakini nilitaka kusimamia tu. Nilitafuta mafundi wanafunzi na kuwaambia nawaajiri.

Kupitia mtaji wa Diamond Karanga faida niliyopata nilinunua vyarahani vitatu na vifaa vingine, palepale nnje nyumbani nikaweka na kuanza kufanya hiyo kazi. Niliacha kabisa kumfuatilia mume wangu, sikua nalalamika tena, sikua naangalia simu yake na wala sikuruhusu aniguse kwani baada ya kuona simjali alitaka kunirudia, nikamuambia mpaka tupime kwanza kwani nina mtoto lazima niwe makini.

Alikasirika na kuwa hanigusi, lakini alipoona mambo yanaenda vizuri hasa katika kushona alianza kujileta na kujifanya kama ananipenda na nimsamehe, walianza kugombana na mchepuko wake kwani alikua anamsumbua sana kuhusu hela na yeye hakua na kitu. Sasa hivi yuko mbioni kutaka kunirudia lakini nimeshamuambia kuwa kama anautaka mwili wangu tena basi tukapime wote tena mara mbili.

Simuamini tena lakini najiamini, naamini nina thamani na nimeshamuambia kuwa sasa hivi siwezi kuvumilia tena manyanayso yake, sijlali tena kwani furaha yangu haimtegemei yeye, ninafuraha bila yeye. Ndoa yetu ni yakanisani, sitaki kuivunja lakini nimeshamuambia kuwa siwezi kuhatarisha maisha yangu , sipigwi tena na nilazima abadili tabia zake. Nashukuru sana kwani angalau sasa nina furaha, sijali kuhusu umri tena na najiamini.

***MWISHO

Share:

Soma stori hii ujifunze kitu "Dada wa kazi akimweleza mume wangu siri hii, sina ndoa tena"

UTAMUZAIDIAPP

Mwaka jana mwishoni hubby na watoto walienda likizo kijijini kama utaratibu wa kila mwaka, nyumbani tukabaki mimi na msichana wa kazi, sikupewa likizo kazini, siku moja msichana wa kazi alinifuma na rafiki hapo nyumbani kwetu red handed na amelitumia suala hilo kama silaha dhidi yangu.

Kila Sunday huwa nampa ruhusa kwenda kanisani na nyumbani kusalimia, kwao ni hapa hapa mjini, huwa anaondoka asubuhi na kurudi jioni ya sa 6, hivyo rafiki yangu alinipigia simu kwamba tuonane hata kwa maongezi tu briefly, kwa kujua nipo alone home na kwamba ni maongezi mafupi nikamuomba rafiki aje nyumbani, kinyume na matarajio yetu tukashindwa kujizuia na kuanza romance ukumbini na baadae tukahamia bedroom kwa msichana wa kazi, niliona si vyema kutumia bedroom yangu.

Sijawahi kuelewa hadi leo kwanini huyu binti alirudi saa tisa badala ya jioni kama siku zote, ndani mwetu wote tulishagawana copy za funguo za geti dogo, hubby, mimi na hg, hivyo tukashtuka tu msichana wa kazi anafungua mlango na kuingia hivyo kutukuta kama tulivyozaliwa katikati ya suala lile.

Nilimgombeza sana kwa ukosefu wa adabu, maana badala ya kutoka nje akabaki humo anakodoa macho, then akatoka nje, nikajifunga khanga nikamfuata nikamuuliza kulikoni umerudi saa tisa? Hakujibu, hatukuongea kitu hadi kesho yake wakati naondoka kwenda kazini, nikaanza kumkaripia upya kuwa nisikie kasema chochote kwa mtu yeyote, cha kushangaza binti akaenda room na kurudi na begi lake kwamba anaondoka na atampigia simu daddy kumueleza alichoona, na hapo kanishikia kiuno, ikabidi nijishushe nimpigie magoti, nikambeleza sana na kumpa laki moja, akakubali kubaki.

Tangu hapo amekua mwiba mkali kwangu, mara leo aseme anataka smartphone namletea, kesho anataka laki, next day, laki mbili, vyote hivyo natoa kwa kuogopa kuvunja ndoa yangu, lakini zaidi ya yote, akimweleza hubby jambo hili ni wazi hata mimba hii anaweza kushtuka sio yake na ikawa shida kubwa kwangu.

Naombeni msaada kuhusu huyu msichana wa kazi nimfanyeje?
Nimechoka kuwa mtumwa, maana suala hili ni tangu December last year hadi sasa, utii wake umepungua sana, ni dharau tupu na nikimuona na wenzie wa hapa mtaani nakua na hofu sana kuwa atawapa umbea.

Sijawahi kuisaliti ndoa, safari hii ni huyu rafiki ndio alinirubuni tukaanzisha uhusiano huu, nilishindwa kukataa maana ndie mpenzi wangu wa kwanza na wa mwisho kabla sijaolewa sijui tulianzishaje suala hili.

Share:

SIMULIZI TAMU : WARIDI LA MAPENZI

WARIDI LA MAPENZI ~ Pseudepigraphas


Na. M. M. Mwanakijiji

(Kutokana na Kisa cha Kweli)

Tukusuma Mpoki alikuwa amesimama kwenye baraza la nyumba yake, uso wake ukiwa umekunja ndita, jasho likimtiririka, na macho yake yakiwa yanabubujikwa na machozi. Alikuwa amejifunga kanga moja tu kati ya eneo la kifuani na kiunoni na hivyo kuonesha mapaja yake yaliyonawiri vizuri na hivyo kulidhirisha kwa kadamnasi umbo lake lake la nyigu. Chini ya kanga hiyo alikuwa amevaa chupi ya rangi nyekundu. Licha ya upepo wenye joto la jiji hilo la bandari salama kumpulizikia bila kukoma Suma aliendelea kusimama kwenye baraza la nyumba hiyo. Hakujali watu waliokuwa wamesimama upenuni wakimshangaa binti huyo wa Kinyakyusa akiwa katika hali ya hasira na aliyekuwa akipaza sauti yake akimtukana mumewe bila kufunga breki. Mkono wake wa kushoto uliokuwa umevikwa bangiri za rangi ya dhahabu ulikuwa umekunjwa kwenye kiwiko na kuegeshwa kama gari la kijapani kwenye kiuno cha binti huyo kilichokuwa kimehifadhi vyema mviringo wa makalio yake uliokuwa kama vitunguu maji vinavyolimwa kule Tukuyu.

Mkono wake wa kulia ulikuwa umeinuliwa juu, huku kidole cha kati kikining’inia hewani utadhani kimepigiliwa msumari katika staili ya kumzodoa mtu. Kucha zake ndefu zilizopakwa rangi nyekundu inayong’ara zilionesha ni jinsi gani Suma (kama alivyozoea kuitwa mtaani) alivyokuwa anajijali. Nywele zake ndefu zilizosukwa kwa mtindo wa rasta zilining’ia mabegani kama nywele za simba jike. Suma alikuwa amekasirika, na hasira yake ilionekana wazi siku hiyo. Hakuna aliyewahi kuhisi kuwa dada huyo anaweza kuweza kumpaka mtu hadharani namna hiyo.

“Toka hapa, unadhani mwanamme peke yako” Alifoka binti huyo huku sauti yake yenye lafudhi ya mbali ya kinyakyusa ikipasua anga la eneo hilo la Chang’ombe.

“Yaani kukupenda wewe ndio imekuwa nongwa, mwanamme gani huridhiki, kama penzi langu hulitaki si uende huko huko ulikolala jana, firauni mkubwa, kama unafikiri huyo malaya wako anaweza kukupenda kama nilivyokupenda sasa mbona umerudi hapa?” Aliendelea kubwata bila hata ya kumeza mate. Sauti yake ikiwa kavu na isiyoonesha kujali nani anasikiliza au nani anamuangalia. Watu walifurahia sinema hiyo ya bure.

Hatua kama kumi hivi toka mlango wa nyumba yake ambayo ilikuwa ni ya mwisho ikipakana na nyumba za Polisi za Chang’ombe alikuwa amesimama Sospeter Mkiru, mdomo umemdondoka utadhani amemuona mzee Ole wa Usiku wa Balaa, na mkononi akiwa bado ameshikilia shati la lilikuwa limechanika mgongoni baada ya Suma kulishindilia kucha za uhakika.

“Jamani Suma nisamehe mpenzi sitarudia tena” Alisema Sosi huku maneno yake yakitoka kwa kukwamakwama kama maji yanavyotoka kwenye mpira wa kumwaligia maua. Soni zilimshika. Alijikaza kisabuni huku akibembeleza apewe nafasi nyingine.

“Nikusamehe mara ngapi nyang’au mkubwa we!” Dada Suma utadhani ametiwa ufunguo aliendelea kumpaka. “Jamani hata uvumilivu una mwisho. Mimi sasa basi, nenda huko unakokwenda kila siku utanletea magonjwa bure miye”

“Tafadhali Suma nisamehe mke wangu” Sosper alianguka na kupiga magoti kwenye mchanga uliokuwa unajoto. Alijaribu tena kumbembeleza binti huyo.

“Nenda kafilie mbali, hayawani mkubwa” Suma alisema huku akimwelekeza Sosi kwa kidole kuondoka hapo. Hayo yalikuwa ni maneno ya mwisho ambayo Sospeter aliyasikia toka kwa Suma Mpoki. Alimuona Suma akigeuka na kuelekea ndani ya nyumba.

Sosi alijua kuwa safari hii amevurunda kweli kweli. Uchungu ulianza kumpanda pole pole na donge la hasira ya kumpoteza waridi lake na mpenzi wake wa toka shule lilimkaba shingoni. Alijihisi kuwa amejidhulumu penzi na anastahili adhabu hiyo kali. Alitamani amkimbilie Suma na kujiangusha miguuni mwake na kumwomba radhi huku akijigaragaza. Akili yake ilianza kwenda kwa kasi akijiuliza ni shetani gani lilimwingia hadi kumfanya kwenda kulala na mwanamke waliyekutana kilabuni na kumuacha mpenzi wake wa damu? Alijihisi kizunguzungu. Kama mtoto mdogo Sosi aliunganisha vidole vya mikono yake kichwani huku shati lake akilibeba begani. Watu waliokuwa wamesimama kushuhudia tukio hilo walianza kujipangua taratibu huku wengi wakimuonea huruma Sospter na wengine wakisema wazi kuwa “amejitakia” mwenyewe. Wachache hawakuficha dhihaka yao kwani walimcheka hadharani na kumuona kweli huyo jamaa wa kuja. Sospeter aliapa hatarudi tena mitaa hiyo kwa aibu aliyoipata Chang’ombe. Akiwa haangaliki anakokwenda, Sosi alijikuta yuko katikati ya barabara ya Chang’ombe huku magari yakijaribu kumkwepa, na watu wakimrushia matusi ya kila aina hata matusi yasiyosajiliwa. Gari aina ya Fuso ambalo lilikuwa limeshehena mashabiki wakitoka uwanja wa Taifa lilijitahidi kufunga breki na kumkwepa kwa ustadi mkubwa. Sauti ya breki zake ziliumiza masikio ya watu. Mlio wa mshtuko wa watu ulitanda angani, huku watu wakishika vichwa vyao na wengine kufumba macho wasione kile kilichokuwa kitokee.. Sospeter hakupata nafasi ya kukwepa Fuso hilo, kwani alirushwa juu kama kopo tupu la kimbo. Alipotua kwenye lami yenye mashimo mashimo, mwili wake ulikuwa hauna ishara yoyote ya uhai ndani yake. Watu walikimbilia hapo kuangalia kilichotokea, huku kina mama wakipiga kelele ya kilio wakiwaficha watoto wao wasishuhudie jambo hilo.

Bila kusogea hata sentimeta moja, Suma alijisemea moyoni “Ukome!” Suma aligeuka kwa haraka huku akiangua kilio alichokuwa amekizuia kwa muda na kuingia ndani ya nyumba ambayo alikuwa anaishi na wadogo zake. Mwili wote ulikuwa unamtetemeka huku hisia ya furaha ya kisasi na hatia ya uovu vikimkaba rohoni. Moyo wake ulikuwa umejeruhiwa kwa mapenzi na kumbukumbu ya mapenzi ilimuumiza mtima. Alijihisi amepoteza muda mrefu na kijana Sospeter ambaye walikuwa wakiishi kama mume na mke. Alijidharahau na kujiona kweli “amepatikana” kwa kukubali penzi la kijana huyo chakaramu. Aliapa moyoni mwake kuwa hatopenda tena, kwani wanaume ni kama mbwa. Aliendelea kulala kitandani huku ameukumbatia mto huku moyo wake ukipaza sauti ya kilio chake mbele za Mungu. Aliendelea kulia hadi alipopitiwa na usingizi huku akiwaza jinsi alivyokutana na Sosi kwa mara ya kwanza.

* * *

Ilikuwa mwaka 1992 kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo ya Sekondari Tanzania ngazi ya Mkoa ambayo kwa mara ya kwanza yalikuwa yanafanyika kwenye shule ya Sekondari ya Karatu iliyopo pembezoni mwa barabara iendayo mbuga maarufu ya Serengeti nje kidogo tu ya mji wa Karatu. Wakati huo mji wa Karatu ulikuwa bado ni Wilaya ndogo katika mkoa wa Arusha. Shule karibu ishirini za Sekondari kutoka kila kona za mkoa wa Arusha zilikuwa zinawakilishwa kwenye mashindano hayo ambayo hatimaye yangeteua timu ya mkoa ambayo ingewakilisha mkoa wa Arusha katika mashindano ya UMISETA yaliyokuwa yanafanyika baadaye mwaka huo huko Morogoro. Sospeter alikuwa ni golikipa namba moja wa timu ya Soka toka shule ya sekondari ya Singe iliyoko Babati. Sifa zake zilienea kwenye mashindano hayo kwani aliokoa penati tano katika mechi mbalimbali ambazo ziliifanya timu yake kushiriki katika mashindano hayo. Hata hivyo sifa hizo hazikumfanya awe anajipendekeza au kujiona yeye bora zaidi. Nje ya uwanja alikuwa ni kijana mcheshi, mwenye kupenda utani, lakini anayeheshimu kila mtu. Akiwa kwenye lango alikuwa ni tishio kwa timu ya ugeni kwani alikuwa na manjonjo ya Juma Pondamali na udhibiti wa goli wa Idi Pazi. Alikuwa na mbwembwe golini kiasi cha kuwafanya washambuliaji wa timu ya ugeni kupenda kujaribu mashuti ya mbali kwani wakimsogelea huwa anawazogoa na kuwatania kiasi cha kuwafanya wakasirike na hivyo kushindwa kutilia mkazo ufungaji magoli. Kwa mtindo wake huo watu walimfananisha na aliyewahi kuwa golikipa wa Coastal Union, Duncan Mwamba.

Upande mwingine kulikuwa na timu ya Netiboli toka shule ya Sekondari ya Kilutheri ya Dongobesh wilayani Mbulu. Kati ya shule zote zilizowakilishwa kwenye mashindano hayo timu ya Dongobesh ndiyo ilionekana kutoka mbali zaidi na wachezaji wake kuonekana ndio washamba zaidi. Hata hivyo watoto wengi wa wakubwa ambao walikuwa watundu huko mijini walitupwa huko kwenye shule hiyo ya bweni iliyozungukwa na kijiji cha kale cha Dongobesh. Timu yao ya Netiboli ilikuwa inacheza vizuri lakini sifa kubwa ilikuwa inatokana na dada aliyekuwa akicheza nafasi ya senta, alikuwa ni gumzo hapo Karatu. Kwanza kwa sababu ya uzuri wake na umbo lake la kimalaika. Wenyewe walimpachika jina la Angel hadi wengine walidhania ndio jina lake halisi. Alikuwa na mvuto wa ajabu kwa wavulana na wasichana. Lakini pamoja na sifa zake zote Suma alikuwa anaakili darasani na tangu aingie shule ya Dongobesh hajawahi kushika nafasi chini ya pili. Alikuwa akipishana na kijana mmoja ambaye baadaye alijulikana kwa kazi yake ya uandishi, hadithi, na utunzi mbalimbali kwenye mtandao wa kiintaneti.

Dongobesh walikuwa wanacheza mechi ya mwisho dhidi ya timu ya Madunga ambayo ilikuwa ni mpinzani wa jadi. Sospeter kwa kuitikia mwito wa rafiki zake waliokuwa wanamsifia Suma aliamua kwenda kuangalia mechi hiyo, siyo kwa ajili ya kuona nani atashinda bali kuona kama kweli hizo sifa za Suma zilikuwa ni za kweli au ni porojo tu za kwenye Umiseta. Alipofika na kumuona jinsi binti huyo alivyokuwa anapendeza katika mavazi yake ya netiboli ambayo yalimfanya aonekana kama amepotea toka Mbinguni na wanamtafuta, Sosi alijikuta akimkodolea macho dada wa watu utadhani ameona hazina ya mfalme Solomoni. Sosi hakutaka kuangalia kitu kingine chochote na alijikuta anaungana na wadau wengine kushangilia kila Suma alipokuwa akitoa pasi na kudaka mpira. Mara mbili alijikuta anagonganisha macho yake na Suma ambaye na yeye alianza kumwangalia na kila akidaka mpira basi anaweka madoido kidogo kumlingishia Sosi (kama ilikuwa kweli au hayo ni mawazo ya Sosi tu miye sijui).

Mechi iliisha kwa timu ya Dongobesh kushinda na furaha kubwa ilitawala upande wa mashabiki wa Dongobesh wakiongozwa na shabiki aliyejipachika Sospeter Mkiru. Ilikuwa ni furaha kubwa kwani timu ya Dongobesh haijawahi kuifunga Madunga kwa miaka mitano mfululizo hivyo ilikuwa ni furaha kwa mwalimu wa Michezo Michael Tluway wa shule hiyo. Aliyekuwa na furaha zaidi ya Sosi alikuwa ni matroni wao Vera Akonaay. Wakiwa katika shamrashamra za kusherehekea Sospeter alitembelea kumwelekea Suma aliposimama mbele yake alijikuta ananyosha mkono wa pongezi kwa kapteni huyo wa Dongobesh.

“Hongera Sana kapteni” alisema Sosi huku moyo ukimwenda kasi utadhani aliyefukuzwa na simba mwenye njaa.

“Asante sana” Alijibu Suma huku akijaribu kuachilia mkono wa Sosi ambaye alikuwa kama amemng’ang’ania.

“Umecheza vizuri kweli” alijikuta akisema maneno yasiyo na kichwa wala mguu.

“Ndiyo, ila kulikuwa na mtu ananikodolea macho utadhani amepoteza kitu na mimi nimemfichia” Alisema Suma huku mikono yake akiifunga pamoja kifuani. Sosi alishindwa kujizuia kuangalia kifua cha Suma ambacho kilikuwa kimetuna kwa matiti yaliyolala kama paa nyikani na kama midomo ya hua wawili chuchu zake zilionekana kwa mbali. Sosi alimeza fundo la mate kwa aibu.

“Wala usisema maana nilichopoteza nimekipata” Alisema huku akijikaza. Waliweza kuona macho ya watu yakiwaangalia imekuwaje watu hao wawili wazungumze. Na vijana wengi walishangazwa ni jinsi gani Sosi alikuwa na ujasiri wa kuzungumza na binti mrembo kama huyo. Wengine walikiri kuwa kama kulikuwa na mwanafunzi yoyote kwenye mashindano hayo ambaye angeweza kumsimamisha Suma basi alikuwa ni Sospeter.

“Umekipata? Na ulipoteza nini?” alihoji Suma huku macho yake yakimganda kijana wa watu. Moyoni alijisemea kuwa alikuwa ni kijana mzuri, msafi, na jasiri maana vijana wengi walikuwa wanaogopa hata kumsalimia. Walijiona hawafai mbele zake.

“Nimepoteza akili yangu baada ya kukuona, na nadhani nimepata mke kwa maisha yangu yote” Kama mtu aliyepagawa pepo wa mahaba Sosi hakujua maneno hayo yametoka wapi, maana yalibubujika kama chemchemi ifukayo maji ya mapenzi.

“Wacha we!, yaani kuniona tu umeona na mke kabisa!?” Aling’aka Suma huku akikunja uso wake kwa kushangaa na kwa kukutwa hakujiandaa kwa maneno hayo. “Usiniambie umeshaona na watoto na wajukuu?” Aliendelea huku akiangua kicheko.

“Tena watatu, wawili mapacha” Alisema Sosi huku akihesabu kwa vidole vitatu kwanza, kisha viwili. Suma aliendelea kucheka huku akishikilia mbavu zake kwani hajawahi kukutana na mvulana aliyejua anachotaka kama huyo. Mara mmoja wa wanatimu wa Suma walimuita ili waende kubadili nguo na kujiandaa kwa chakula cha jioni.

“Ungependa kula na mimi na tupige soga zaidi” Aliuliza Sosi kabla Suma hajakimbia.

“ah..wenzangu wataningoja” alijibu Suma

“Hapana, tunaweza kwenda kijijini na kununua cha hotelini, mie leo sili dona lao” alijibu Sospeter huku moyoni akiombea kwa miungu yake Suma akubali.

“We, tutawezaje kutoka kambini si ni kujitakia matatizo? Huoni geti kali?”Aliuliza kabla hajakubali baada ya ushawishi wa Sosi. Sospeter alimhakikishia kuwa hawatagundulika na wakakubaliana wakutane saa moja baadaye kwenye lango kuu la shule. Sospeter alianza kutafuta njia ya kuweza kutoka na kurudi jioni hiyo bila kujiletea matatizo yeye mwenyewe na Suma.

Baada ya kuhangaika kufikiri nini cha kufanya aliamua kwenda kwa mzee mmoja wa Kimang’ati aliyekuwa zamu kulinda lango la shule hiyo. Wala hakumchelewesha alimpatia shilingi mia tano na kumuomba chonde chonde amruhusu yeye na Suma waweza kwenda na kurudi kabla ya muda wa kulala ambao ilikuwa ni saa nne kamili za usiku. Mzee wa Kimang’ati kumbe hizo zilikuwa zake. Alizifinyanga hizo pesa kiupole na kuziweka mfukoni. Alimwambia akiwaona wanakuja basi atajifanya anazunguka upande wa pili na geti atalisogeza upande kidogo tu. Na kweli hivyo ndivyo ilivyokuwa kwani Sosi na Suma walipofika hapo majira ya moja za jioni wakati giza ndio limeanza kuingia kwa nguvu na kunyamazisha sauti za ndege yule mlinzi alizunguka upande wa pili wa kibanda na kujifanya hakuona kitu na pale tu walipotoka alifanya haraka kufunga geti kwa kufuli. Alikaa kuwasubiri warudi.

Kesho yake kama moto ulioanzishwa na cheche, uvumi mkubwa ulienea kati ya wachezaji kuwa Sospeter na Suma walienda kufanya ngono kijijini. Ulianza kama utani na mwisho chumvi zikaongezwa, limao, na pilipili. Na wengine wakanyunyiza na amdalasini. Mara habari zilipowafikia Suma na Sosi, hawakuchelewa kwenda kwenye ofisi ya Mkuu wa Kamati ya Mashindano. Walipofika walikuta walimu wao wa michezo wakiwa tayari wamewatangulia. Walimu walifurahi kuona vijana hao walivyomakini na walivyoamua kuweka mambo sawa kabla hajaaribika zaidi. Waliwaelewesha walimu kuwa hakukuwa na kitu kama hicho na walikwenda kwenye kale ka mgahawa kalioko gulioni. Walikiri kutoroka na kwa hilo ndilo kosa pekee ambalo walimu walikubali, na katika kuwapa adhabu waliwasimamisha kucheza mechi moja moja kwenye timu zao. Jambo hilo basi likazimwa kimya kimya na kiutuuzima. Hata hivyo, ule uvumi tu wa kuwa walikwenda kufanya ngono ulikuwa kama umewapa hamu na wakaamua kufanya kweli. Tatizo lilikuwa ni muda na mahali, maana kila kona kulikuwa na wanafunzi na shughuli.

Hawakupata nafasi ya kuweza kujificha mahali na kupeana mapenzi hadi siku ya mwisho ya michezo ambapo timu ya kina Suma ilichukua ubingwa na ile ya kina Sosi ikishika nafasi ya pili. Wakati michezo inafungwa rasmi ukumbi ulilipuka kwa furaha mara baada ya kutangazwa rasmi kuwa kati ya wanamichezo waliochaguliwa kuwakilisha mkoa wa Arusha kwenye mashindano ya Taifa Morogoro walikuwemo Sosi na Suma. Sospeter alitangazwa kuwa Kapteni wa timu ya mkoa. Kambi ya timu hiyo ilikuwa ni Arusha, kwenye shule ya sekondari ya wavulana wenye vipaji ya Ilboru.

Kabla hawajaondoka Karatu, walikuwa bado wanatafuta nafasi ya kupeana tunda walilokatazwa. Nafasi ilijileta karibu saa moja kabla ya kuondoka hapo. Wakati wanafunzi wanaagana, Suma na Sospeter walienda kwenye mojawapo ya vyumba vya madarasa ambapo kulikuwa hakuna mtu, tena mchana kweupe. Walienda mmoja mmoja bila mtu yeyote kuwashtukia. Kilikuwa chumba cha kidato cha tano C kilichotazama upande wa shamba la shule hiyo.

“Kuna mtu amekuona” Sospeter aliyekuwa ametangulia alimuuliza Suma aliyekuwa amevaa sweta zito la rangi ya damu ya mzee, suruali ya jeans iliyokuwa imechakaa magotini na viatu vya raba vya rangi nyeupe ambayo ilikuwa imechafuliwa na vumbi la Karatu na kuvifanya vionekane vya rangi ya udongo.

“Hamna, ulitaka kusema nini huku kwa kificho” Aliuliza Suma kwa aibu huku macho yake yakiangaza angaza kwenye madirisha. Hakukuwa na mtu na sauti za wanafunzi zilikuwa zinasikika kwa mbali wakiimba nyimbo mbalimbali za kufurahia kambi hiyo.

“Nilitaka nikubusu kabla hatujaondoka, maana tukiondoka hapa itakuwa ni michezo tu ili tupate ushindi kwa mkoa” Alisema Sosi huku akimvuta karibu Suma. Suma alijifanya hataki lakini alikuwa anataka. Moyo ulikuwa ukimuenda kasi, na tumbo kama limejaa vipepeo! Viganja vyake vililowa kwa jasho licha ya baridi la mji huo uliokuwa karibu na lile shamba maarufu la Shangri La ambalo linamilikiwa na kina Christian Jebsen na Dr. Klatt.

“Tukibambwa je?” Aliuliza Suma huku akifungua mikono yake kumruhusu Sosi amkumbatie na kumvuta karibu. Alimwangalia Sosi machoni kwa macho yaliyolegea ambayo yalikuwa yanaita “njoo”!

“Hakuna mtu huku” Sosi alijibu huku akimwangushia Suma busu la taratibu, lenye unyevu kwenye midomo ya binti huyo iliyopauka. Suma alijiui kwa taratibu na upole wote huku akiguna kwa msisimko uliompitia kama umeme kuanzia utosini hadi kwenye nyayo. Alijikuta miguu yake imenyong’onyea. Moyo ulizidi kumdunda. Alijihisi kutekenywa sehemu ambazo ni bora zisitajwe hadharani. Akafungua mdom o wake zaidi na ndimi zao zikakutana, zikagongana na kuanza kuvingirishana utadhani ziko kwenye mashindano ya mabusu. Walipeana denda huku mikono yao ikipapasana mgongoni, kichwani, na karibu kila kiungo kingine cha mwili. Sospeter alijikuta “anazidiwa” kwani mzee aliyekuwa amelala aliamka utadhani kifaru mwenye hasira. Suma aliweza kuhisi kutuna kwa suruali ya Sosi, kitu ambacho kilimpagawisha.

“Wewehh…!”ndicho pekee alichoweza kusema. Akiendelea kurushiana mabusu na mpenzi wake huyo mpya, Suma aliianza kufungua suruali ya kodirai ya rangi ya maziwa aliyokuwa amevaa Sosi, mikono yake iliyobaridi ilijitumbukiza kama kwenye pango la nyoka na kumchomoa nyoka pangoni! Alikuwa ametuna na kuvimba kama chatu aliyekuwa tayari kummeza mtu. Sospeter alijikuta nusura aanguke kwani ubaridi wa mkono wa Suma ulikuwa kama hamira kwenye uanamuwe wake. Mzee alikuwa amefura na kupwita pwita kama chura aliyetoka majini!

“Suma, nakupenda” Alijikuta akisema bila hata kujua kweli alimaanisha au alikuwa amezidiwa na mfadhaiko. Suma akitumia kidole chake cha pili alimfunga mdomo na kumwambia “shhhhhh”. Sospeter alijikuta amekuwa na ububu wa ghafla. Kabla hajajua kilichoendelea, Suma allichuchumaa mbele yake, huku akizurusha nywele zake nyuma, kama mtumbuiza nyoka, alilichukua joka hilo, na kuliingiza mdomoni mwake. Kwa ufundi uliokubuhu, alianza kulipa burudani ya mwaka. Suma alifanya ufundi wake kwa joka hilo na kabla huyo chatu hajatema sumu yake alimchomoa mdomoni. Kichwa cha chatu huyo kilikuwa kimetuna, huku mrenda mrenda ukiwa unachuruzika. Suma alisogea kidogo na kuteremsha suruali na nguo ya ndani aliyekuwa amevaa hadi mguuni na kuchomoa mguu mmoja na kuuweka upande. Kwa mikono yake miwili aliinamia dawati, huku akishikilia kiti cha dawati hilo makalio yake akiwa ameyabong’oa. alinama kama anachuma mboga. Sospeter hakufanya ajizi, kama morani wa kimasai, alitupa mkuki wake wa raha, uliokita kunakotakiwa kwa ulaini kama kisu kikichomekwa kwenye siagi. Suma, nusura adondoke.

Mara kwa mbali walisikia sauti za mlio wa viatu zikielekea kwenye maeneo ya darasa walilokuwa wakifanya mapenzi.

“Harakisha” Suma alimwambia Sospeter ambaye kwa hakika hakuhitaji kuambiwa kwani aliangoza mwendo na haikumchukua muda alifika kunakofikwa, huku mwili wake na misuli ikigangamaa na mishipa ikimtoka usoni. Hawakuwa na muda wa kufarahia raha hiyo bali walipandisha suruali zao haraka haraka huku sauti za viatu zikiwa karibu kabisa. Kwa haraka wachuchumaa chini ya hilo dawati. Waliokuwa wanapita wakapita. Suma na Sospeter wakaagana na kukimbia kuwa basi lao.

“We Sosi ulikuwa wapi watu wanakutafuta, mchumbako yuko wapi?” Aliuliza mratibu wa Umiseta mkoa Mwl. Genda Gundi (alizoea kuitwa GG)

“Na mimi nilikuwa namtafuta yeye” Sospeter alijibu huku akiingia ndani ya basi ambapo kila mtu alikuwa anamshangaa alikuwa wapi muda wote huo wakati watu wanamtafuta. Alienda na kuketi mwisho mwa basi hilo na washirika wake.

Kwa mbali waliweza kumuona Suma akija huku amebeba mikoba yake. Alipofika kitu cha kwanza alimuuliza Mwalimu GG kama amemuona Sosi kwani alikuwa anamtafuta na hawezi kuondoka. Akaambiwa Sospeter ameshafika hapo na yuko ndani ya basi.

* * *

Penzi lao lilikua taratibu na miaka miwili baadaye walifunga pingu za maisha kabla tu ya kuanza masomo ya Chuo Kikuu. Waliishi pamoja Dar-es-Saalam wakati wote wa masomo hadi walipohitimu shahada zao za kwanza mwaka 1998. Wote waliajiriwa jijini hapo, Sospeter akifanya kazi katika idara ya Takwimu huku Suma akipata nafasi ya Ualimu katika shule ya sekondari ya Lugalo. Watu walionea wivu kwa jinsi walivyokuwa chanda na pete wakipendana kuliko kumbikumbi au njiwa. Waliheshimiana na kusaidiana katika kila hali. Ndio uchungu huu uliokuwa umekita kwenye moyo wa Suma akiwa bado amelala kitandani. Machozi yaliendelea kumbubujika.

“Suma, Suma, amka” Sauti ya upole ya kiume ilimshtua usingizini.
“Mume wangu Sosi” Suma aliendelea kulia huku akigalagala kitandani.
“Nini tena Suma, mbona unalia usingizini” Sauti hiyo iliendelea kuuliza huku mikono ya mtu huyo ikimtikisa, “umeota jinamizi mpenzi” Iliendelea sauti hiyo.

Suma hakuamini kusikia sauti hiyo, kwani haikuwa sauti ya mtu mwingine isipokuwa ya mume wake wa ndoa Sospeter Mkiru. Alifumbua macho yake taratibu kuangalia kama alikuwa bado anaota au ni kweli. Sospeter alikuwa ameketi kwenye ukingo wa kitandani huku akimuangalia mkewe kwa hofu na mahaba makubwa. Hajawahi kumuona akilia usingizini hata mara moja. Moyoni alijua ndoto yoyote aliyokuwa ameota hinti huyo ilikuwa ni mbaya kweli.

“Mpenzi, haya ni ndoto gani hiyo imekufanya ulie usingizini” alihoji huku kwa kutumia kidole gumba akimfuta machozi Suma.

“Jamani, hivi ni wewe kweli?” Suma aliinuka taratibu akaanza kuupapasa uso wa Sosi kuamini kama kweli ni yeye. Kwa mbali aliweza kusikia sauti za watoto zikicheza mchezo ya kombolela huku mlio wa magari ulisikika kwa mbali ukishindana na sauti za watoto hao. Alikuwa amelala na kanga moja tu kwani alijitupa kitandani baada ya kuoga akimsubiri mumewe atoke kazini.

“Ni mimi mpenzi” Sospeter alijibu kwa upole huku akimrushia busu. Alikumbuka mara ya kwanza kumbusu Suma miaka ile kule Karatu. Busu lake lilikuwa bado tamu na lenye mvuto usiochuja. Suma alimkumbatia mumewe na kumwomba Mungu amuepushe na mikosi yote, na maneno yote ya wamtakiao mabaya. Aliamua kumsimulia ndoto yake. Alipomaliza, alimuangalia mpenzi wake na kusubiri atasema nini.

“Mama Grace, tangu nikuone wewe kule Karatu sijaona mwanamke mwingine” Alisema kwa sauti ya kumhakikishia. “sijatamani wala sijaota kutamani mwanamke mwingine. Wote ninaowaona nikiwalinganisha na wewe, nitaendelea kukuchagua wewe hadi kaburini” Alisema huku macho yake yakilengwa na machozi. Suma alijikuta anatokwa na machozi tena, ingawa safari hii yalikuwa ni ya huba na furaha. Alimuuliza Mungu ilikuwaje astahili mwanamme namna hiyo.

Suma aliinuka kitandani, na kabla hajasimama vizuri kanga yake iliyokuwa bado imemning’inia mwilini ilidondoka, na kumwacha mtupu kama alivyozaliwa. Mwili wake wenye rangi ya maji ya kunde uliangaza kama mbalamwezi. Sosi alimuangalia mara moja na hamu yake ikamzidia. Alimvuta karibu huku yeye akiwa bado ameketi, alifungua miguu yake na kumsimamisha Suma katikati yake huku mikono yake ikiwa imezunguka makalio ya mviringo wa tufe. Alianza kumbusu tumboni , mapajani, huku vidole vyake vikiendelea kuyaminya minya makalio ya binti huo. Suma alinyanyua mguu wake wa kushoto na kuuweka juu ya ukingo wa kitanda. Harufu ya uanamke wake ilimwingia Sosi kama manukato ya thamani kutoka Yemeni. Kama fundi wa kukuna, Sosi alianza “kukuna nazi” na kukuna alikuna! Suma aliamua kujitupa kitandani, na kwa mahaba yasiyokifani walishirikiana tendo la ndoa bila hofu ya kubambwa au kufaminiwa. Hiyo ndiyo ilikuwa raha ya ndoa. Walipomaliza walijikuta wamelowa jasho utadhani walikuwa wanakimbia mchakamchaka.

“Haya niambie safari yako ya hospitali ilikuwaje” Sospeter alipata akili ya kuuliza kwani Suma alikuwa aonane na Daktari kwa uchunguzi wa kawaida.

“Una uhakika unataka kujua” Aliuliza kwa sauti ya upole iliyoficha jambo.

“Kido, nisingeuliza kama nisingetaka kujua” Alisema huku akimgeukia mkewe na kumtazama usoni. Suma aliuma mdomo wa chini kwa aibu za kike. Alimwangalia mumewe kwa mapenzi na kwa hamu.

“Unakumbuka wale mapacha uliokuwa unawazungumzia?” alimuuliza kwa haraka. Ulikuwa mtego ambao Sosi alinaswa kirahisi.

“Mapacha gani” aliuliza bila kujumlisha mbili na mbili.

“Kurwa na doto” Suma alijibu akicheka na kumuangalia usoni. Kama mtu aliyezibuliwa Sosi alifungua macho yake utadhani yako tayari kuchomoka kama ya Scooby Doo!

“Acha utani mama Grace!” Alisema

“Wala sikutanii, nimebeba mapacha!” Alisema kwa fahari kama mtu aliyetimiza wajibu wake. Sospeter alianza kucheka, kufurahi, na kushangilia utadhani amefunga goli lililoipeleka timu yake kwenye kombe la dunia Ujerumani! Alimvuta mke wake karibu na akiweka mkono wake kwenye tumbo la Suma, aliomba sala ya shukurani na baraka kwa viumbe hao wa Mungu. Mawazoni alianza kutafuta majina kama wote wakiwa wa kike, wa kiume au mchanganyiko. Suma alienda bafuni pembeni mwa chumba chao ambako alijisafisha na kubadili nguo. Alipotoka alikuwa anawaka. Alivalia gauni lake la rangi ya zambarau ya kifalme lenye madoa meupe, lilikokatwa kifuani kwa mtindo wa V na hivyo kuonesha kontua za matiti yake. Lilikuwa fupi lililombana kiunoni na kuishia magotini. Nywele zake zilizokuwa zimesukwa rasta zilidondoka mageni mwake utadhani binti ya mfalme. Alikuwa amejitia rangi nyekundu ya mdomo na wanja wa kope na nyusi. Alimalizia kwa kutinga viatu vyake vyenye ndefu kiasi huku vikiwa na kamba zilizozunguka miguu yake. Alikuwa na usafiri wa nguvu. Alisimama mbele ya kioo huku akijivisha hereni na mkufu uliokuwa na kito cha Tanzanite kifuani. Sospeter alijikuta akienda na kusimama nyuma yake, akimkumbatia toka nyuma, Suma alizungusha shingo yake na midomo yao ikagusana kwa busu lenye utamu wa pepo.

“Grace amesheenda kwa shangazi yake” Aliuliza Sosi

“Binamu zake walikuja kumchukua mara tu baada ya kutoka shule” Alijibu Suma. Jioni hiyo Sosi alimwambia wataenda kwenye ukumbi wa muziki ambako wana Sikinde walikuwa wanapiga. Suma alitangulia, na kufungua mlango wa mbele. Alipofungua nusura moyo wake ulipuke kwa mshtuko. Mbele yake kulikuwa na gari jeupe la kifahari la Limo, huku dereva wake akiwa ameshikilia mwamvuli mbele ya nyumba hiyo, akiwa naye amevalia suti nadhifu ya rangi nyeupe. Waswahili walikuwa wamekaa nje ya nyumba zao wakisubiri muda huo. Suma alimgeukia mpenzi wake na kupiga kelele ya furaha, machozi yakimtiririka tena. Waswahili walijikuta wakipiga makofi na vigelegele. Sospeter alimnong’oneza mpenzi wake, “Happy Valentine my love”! Suma aliishiwa nguvu. Waliingia ndani ya gari huku waswahili na watoto wa mtaani wakipiga minja na vigelegele. Moyoni, Suma aliapa atamrudishia fadhila mumewe usiku huo.

Mwisho

Kanusho: Japo kisa hiki kimetokana na baadhi ya matukio ya kweli, hadithi yenyewe ni ni ya kutunga na matokeo ya ubunifu. Mfanano wowote na watu, mahali, majina na matukio halisi ni matokeo ya nasibu tu. Haki zote za kunakili zinaruhusiwa bila ya kubadilisha jina la mtunzi au jambo lolote lile. Hadithi hii ilichapwa kwa mara ya kwanza Mei 9, 2008.
Share:

MKASA; NILIPOMFUMANIA MUME WANGU NA MWANAUME MWINGINE!

UTAMUZAIDIAPP
Mwaka 2017 nilinunua Kitabu chako, nilishidwa kukisoma kwakua nilikua na mawazo mengi sana, nilimfumania mume wangu na mwanaume mwingine. Kwa maana kuwa mume wangu alikua anafanya mapenzi na Shoga. Nilikua nimechanganyikiwa, kila mtu niliyeongea naye aliniambia vumilia, kama mume wako kakuomba msamaha basi ipo sikua tabadilika mpe nafasi nyingine. Niliumia zaidi kwakua watu wengi walikua wanajua tabia za mume wangu lakini hawakuniambia.
Nilipoongea na wewe uliniambia maneno ambayo yalinichoma lakini yalikua kweli. Uliniambia kubadilika kwa mume wangu ni mpaka amue yeye na mimi kama mke sitaweza kujua kama kabadilika au la? Kama nikiamua kubaki naye nisibaki kwakua nina mawazo kua atabadilika bali nibaki kwakua nataka na pia niwe na malengo yangu. Uliniambia kuwa kwa sasa sina kazi ndiyo maana ndugu zangu hawataki niondoke kwani naenda kuwa mzigo kwao. Nitafute kazi na kama mume akikataa nimuambie bora kuachana kuliko kubaki naye bila kazi kwani ubaya nikuwa nikishamsamehe nakubaki kwakua nishajua hataficha tena.
Kwamba asipobadilika naweza kuchanganyikiwa kwani hata kufanya mapenzi na mimi itakua shida na wakati mwingie hao mashoga wake wanaweza kunipigia na kunitukana. Uliniambia wakati huo sikua na kazi hivyo hata nikiondoka siwezi mnunia mume wangu kwani njaa ikizidi nitarudi na ndugu zangu washanikataa. Nilikusikiliza kaka, nilianz a kupika vitumbua mwaka 2017 mwishoni, mume wangu alikasirika lakini nikaja kusoma Kitabu chako cha Biashara 2018, nilipata ujasiri na kuona kuwa naweza kufanya kitu kingine.
Nilianza kupika nyumbani nazungusha chakula kwenye maofisi na pia nikawa natengeneza juice. Nimeenda na hii Biashara tunagombana na muem wangu mpaka mwaka jana nimeanza kupika kwenye shughuli na napata tenda. Mume wangu hakubadilika bali kila nikipata pesa anadzidisha saharau, ilifikia hatua anawaleta hao mashoga mpaka ndani watoto wanaona, nikaamua isiwe tabu nimehama nyumbani na sasa hivi tupo mahakamani tunataka kugawana nyumba. Ananiambia hataki kuniacha lakini Kaka hivi kweli mtu analeta wanaume ndani na kuna watoto anajifanya marafiki zake hata kama ni uvumilivu ndoa ni haki kweli?
Haoni hata aibu kuongozana na hao vijana ambao wanafahamika kuwa ni mashoga eti kwasababu ana pesa kila mtu ananiambia vumilia. Nakushukuru kaka uliniambia ukweli na naashukuru kwa kunisimamia biahsara yangu kwani nilishakata tamaa ya maisha.
Share:

SIMULIZI; NILIPOKIONA KIFO CHA MWANANGU KWA MASAA MATATU!

Vitendo Vya Uzalilishaji Vinahitaji Kupigwa Vita kwa Njia Zote ...
Mwaka jana wakati nanunua Kitabu chako nilikua ni mtu wa kupigwa tu kila siku, mume wangu alikua akinipiga kwa sababu za kijinga jinga. Hata nikipigiwa simu na mchepuko wake nikautuikanana alikua akija na kunipiga kwanini nataukana watu kwenye simu. Sikua na pakukimbilia, hakua akitaka nifanye kazi hivyo nilikua mtu wa kukaa nyumbani ingawa hata matumizi alikua hanipi.
Nakumbuka niliponunua Kitabu chako nilidhani kitanisaidia lakini hakikunisaidia, nilipoongea na wewe uliniambia mimi ndiyo natakiwa kubadilika na si mume wangu. Sikujua namna ya kubadilika ukaniambia kitu cha kwanza ni kukataa kupigwa, kwangu ilikua ngumu sana kwani nilikua namtegemea kwa kila kitu hivyo niliwaza nitafanya nini ili nisipigwe wakati hata ukimuangalia tu anaweza kusema umemuangalia vibaya.
Nilishashitaki kwa kila mtu lakini hakuna hata mmoja ambaye aliweza kunisaidia. Uliniambia naweza kwenda Polisi na kama ananitishia kuhusu watoto basi niwaambia huko huko kuwa anawatishia na watoto hivyo naogopa kuondoka. Nilikuongea na Mama yangu aliniambia kuwa unanidanganya huyo ni mume wangu siwezi kumpeleka hospitalini nivumilie. Lakini siku moja alinipiga akanivunja mfupa wa pua.
Alinifungia ndani tena chooni kwa siku mbili bila hata chakula. Nilipotoka sikusubiri kufia ndani, nilivizia ametoka na kwenda Polisi, niliwachukua wanangu wawili ambao nao huona Baba yao akinipiga na kuwaambia kuwa mume wangu ananipiga, sina pakwenda kwani nahofia uhai wangu. Yeye alikua ameenda kazini wakati hio na baada ya kuonekana kwenye hali ile walienda kumchukua kazini kwao.
Alikamatwa na kuwekwa ndani lakini lilipokuja suala la kufungua kesi nilijikuta naogopa, nilikataa kutoa ushirikiano kwani aliniomba sana msamaha. Nilikua naumia na kudhani kama kwakua kafikia hatua ile basi atabadilika, nilijikuta namsamehe, ndugu zake waliniomba msamaha na ndugu zangu walinisihi nisiendelee na kesi kwani nikijidhalilisha. Kweli yaliisha na tukarusi nyumbani, alibdilika kwa wiki moja kisha akaanza kurudia katika hali ileile.
Saa akiwa na hasira zaidi kuwa nimempeleka Polisi, kusema kweli nilichoka kupigwa, nyumbani hawakua na msaada wowote na mume wangu hakua akinijali tena. Nilipoongea na wewe uliniuliza kwani nina matatizo gani, si nina mikono miwili, mbona kuna watu wengi wanaishi wakiwa single mother. Kusema kweli Kaka ulinipa ujasiri, nilikua na kaakiba kidogo nikaenda kutafuta chumba cha elfu ishirini, nililipia miezi mitatu.
Siku moja alirudi nyumbani akiwa kalewa.alikua akitukana sana na ilionekana kuna kitu kilikua kinamchanganya. Sikumuuliza kwani nilijua ukimuuliza ni kipigo. Nilimtengea chakula, kikiwa mezani wakati anakula aliniambia nichamoto sana niende kumpoozea, wakati nasoge karudu na alipokua amekaaa, alichukua sahani ya chakula na kunirushia, kwa bahati niliiona hiyo sahani, niliikwepa. Ile sahani ilidondoka chini na kuvunjika, hapo ndipo nilikiona cha motro, alinivamia na kunipiga huku akinitukana.
Wakati akinitukana ni kama alikua anatukana mchepuko wake, kwania likua akiniambia wewe si uemamua kuondoka, nimekufanyia mambo kibao, nimekujengea lakini umeniacha, saa nakuua. Alinipiga sana, mwanangu mkubwa alitokeza kuamua lakinia limpiga mwanangu mpaka mtoto akazimia, hapo ndipo alishtuka, akatoka na kufuinga mlango kwa nnje ili tusitoke. Ilikua nmi usiku wakati huio nilikua sina simu kwani alishaninyang’anya, basi nilimuangalia mwanagu kazimia kwa masaa matatu, namwagia maji lakini hazinduki baadaye ndiyo akazinduka na tulikaa vile mpaka asubuhi, hakurudi nyumbani.
Asubuhi alikuja Mama yake, nadhania likuja kuangalia kama mtoto amekufa au la, alimuona yuko salama ndiyoa kmpigia simu mume wangu. Mume wangua lirudi na kujifanya kuomba msamaha huku akiniulaumu mimi kwa kumkairisha. niliamua yu kumuambia mume wangu nimechoka naondoka, hakuamini, alijaribu kunitishia watoto nikamuambia mimi sina shid ana hilo. Watoto wetu niwakubwa kidogo hivyo tunaweza kwenda polisi na ustawi wa jamii ili wao ndiyo waamue kama wanakaa na Mama yao au la. Alijua hatashinda na nilijua kabisa alikua hawataki, lengo lake lilikua ni kuniumiza tu ila sikua tayari kuendelea kuteseka kwasababu hiyo.
Niliondoka na watoto na kwenda kuishi nao, sikua na kazi yoyote ile ila nilipoongea na wewe uliniambia naweza kuanza kwa kuuza uji. Ulinishauri vizuri na kweli nilianza kuuza uji, kuna Kaka yangu mmoja niliongea naye akanipa kama laki moja. Hiyo ilinisaidia kununua vifaa na chakula cha watoto. Nilianza biashara ya uji, ukaniambia niuze pia na Karanga na kwakua nina muda nijifunze kupika Crips.
Nilifanya hivyo nikajifunza pia kupika Popcon kwakutumia jiko la mkaa. Taratibu maisha yangu yalianza kusimama, mume wangu hakua akihudumia watoto akiniambia kuwa hajawahi kunifukuza kama nimeshindwa kuwahudumia basi niwarudishe kwake. Sikuumizwa kwa hilo kwani angalau kipato nilikua nimekitapa. Nina miezi sita sasa tangu nitoke kwa mume wangu, ninafanya biashara kuanzia ya Vitafunywa, uji, Popcorn na kila kitu.
Pia nauza mashuka ya mitumba, nashukuru Mungu ninaweza kulipa kodi, sijapata kikubwa lakinia ngalau nina amani. Kila siku mume wangu ananisumbua kuhusu watoto lakini nimemuambaio kama anawahitaji tukamalizane kwenye sharia. Ananipiga,a natesa watoto na sipo tayari kuona akiniulia wanangu. Nilikua tayari kufa, nimeshazoea lakini nilpomuangalia mwanangu kwa masaa matatu amelala hanyanyuki nilijua ni wakati wa kuondoka kwani ataniua, nashukuru sana kitabu chako kinanisaidia, nina furaha na maisha yanaendelea.
MWISHO
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU