-->

πŸ”ΉMIONGONI MWA MAMBO UNAYOPASWA KUMFUNZA MTOTO WAKO WA KIKEπŸ”Ή

UTAMU KITANDANI APP
πŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”Ή
*πŸ”ΉJaribu kumfundisha mtoto wako kwamba anapoamka kitandani atandike kitanda chake hatimae itakuwa ni tabia yake hata akiwa mkubwa*πŸ”Ή
*πŸ”ΉMfundishe kwamba anapokula niwajibu kwake kuomba dua na kuondosha sahani aliyekula naye nakufuta hata Kama una kijakazi usikubali amfanyie yeye*πŸ”Ή
*πŸ”ΉUsimfulie nguo zake za ndani mfundishe kujifulia mwenyewe polepole hatimae atazoea*πŸ”Ή
*πŸ”Ήmfundishe kwamba ni makosa watu wazima wakiongea na yeye yupu hapo haipendizi mwambie awapishe wageni wakiwa na mazungumzo*πŸ”Ή
*πŸ”ΉMwambie asiwe ni mwenye kupiwa piwa vitu na mtu asiyemjua kwani hiyo sitabia nzuri na huenda akahadaiwa aidha akabakwa au akatekwa nyara mwambie madhara hayo*πŸ”Ή
*πŸ”ΉMkatazi kabisa asiwe ni mwenye kupigiwa mbizi na wanaume au yoyote kumuita mchumba manake hilo ni kosa nakiambiwa hivyo aseme haraka sana*πŸ”Ή
*πŸ”ΉUsiwache bint wako wakike alale na mfanyi kazi kwani huwezi jua usiku anafanya nini mtoto wako*πŸ”Ή
*πŸ”ΉJaribu Sana kuwa karibu haswa na mwanao wakike ile kukitokea jambo lolote uwe ni Mtu wakwanza kukwambia epuka ukali ulipita kiasi kwani utajenga uoga kwa mwanao*πŸ”Ή
*πŸ”ΉMfundishe mwanao kwamba siri za nyumbani hazitolewe nje awe mwenye kuhifadhi ndimi zake na ajui kufanya hivyo ni kosa*πŸ”Ή
*πŸ”ΉUsimruhusu mtoto wako kuwa na simu kwani simu zimeaharibu Sana watoto na Kama ina umuhimu chungunza Sana anachofanya mwanao kwa hiyo simu isije kuwa sababu ya maangamivu yake*πŸ”Ή
*Usimuruhusu CD yoyote atamthilia bila kuangalia kinachoongewa pale kwani siku hizi utandawazi umekithiri nawatoto wengi wanaiga kwa kuoana*πŸ”Ή
*πŸ”ΉKabla hujamuhimiza mwanao kuswali hakikisha nawe unaswali kwani watoto wengi wanaiga vitendo kuliko maneno*πŸ”Ή
*πŸ”Ήkamwe usikubali mtoto wako kusafishwa sehemu Za Siri na yeyote muhimu kabisa afanye mama mzazi namwambie asikubali kushikwa na yeyote sehemu*
*NADHANI NI UKUMBUSHO TOSHA KWA WA MAMA NA WAZAZI WATARAJIWA KWANI MAMA NDIO MADRSA YA KWANZA NA AKIONGOKA MAMA UMEONGOKA UMMA MZIMA*
πŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”ΉπŸ”Ή
*BY ADMIN*
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU