-->

πŸ’žMAHABA YA KIPWANI MATAMUUUπŸ’žπŸ’žπŸ’ž πŸ’ž πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ‘ŒUNAJUA JINSI YA KUMUANDALIA BWANA CHAKULA CHUMBANI KWAKO.....???

Smiling african american young woman cuddling happy husband, sitting on cozy sofa in living room at home, using tablet together, shopping or watching funny movies, photos, spending free weekend time. Stock Photo - 129450571

πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œleo nataka nikufundishe mwari mahaba matamu yanayomgandisha mume πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜ katika maisha yako ya ndoa lazima uwe mbunifu upo nyonyo....????πŸ‘ŒπŸ‘Œ tafuta kawa lako na sinia kubwa kiasi na upepeo wako....na mswala wako....πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œsafisha nyumba au chumba chako...fukiza udi chukua kanga zako nyeupe zifukize udi vizuuri funga mlango wako anza mapishi sasa πŸ‘ŒπŸ‘Œpika chakula anachokipenda bwana kuwa makini unapopika hakikisha kinakuwa kizuri πŸ’žπŸ’žzingatia muda wa bwana kurudi ili ale chakula cha moto πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ ukimaliza andaa sinia lako πŸ™„ weka bakuli la maji ya kunawa na jagi lake, kisahani wekea sabuni ya kunawia mikono na kitaulo cha kufutia mikonoπŸ’žπŸ’žπŸ’ž vikombe 2 na sahani bakuli inategemea chakula ulichopika utaandaa trey weka jagi la maji ya kunywa na glass 2....hahahaha ....patamu hapo πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ tandika mswala wako bibi weka sinia lako lifunike vizuuri na jawa lako lenye ujumbe wa maneno.....πŸ‘Œ weka vitu vyako vyote...... ukimaliza hakikisha ukiingia ndani hutoki mpaka bwana aje πŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’ž nenda kaoge mama vizuuri ukimaliza jipambe kidogo...jitie maa aluudi yako na parfum zako unukie haswaa kiuno kina shanga....πŸ‘Œ
chukua chetezo tia udi wako jifunge kanga yako moja tuu jeupe upande mwengine muwekee bwana, chuchumaa jifukize udi
πŸ™„πŸ™„πŸ˜ ukimaliza kaa umsubiri bwana πŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žmwandae bwana akaoge akirudi chumbani mfute maji mvalishe kanga yake mfukize udi muweke kwenye mswala mwambie karibu mume wangu chakula πŸ’žπŸ‘Œmnawishe mikono you unamuangalia usoni kwa jicho la mahaba chukua tonge mlishe na yeye atakulisha mpe maneno matamu πŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’žπŸ’ž hayo ndio mahaba ya pwani upo nyonyo?????

Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU