πβ£οΈChukua Dawa inaitwa UPENDO WA DHATI kwake.π
πβ£οΈChanganya na Dawa inaitwa UNYENYEKEVU NA UPOLE juu yake.π
πβ£οΈChanganya na Mizizi ya Mti unaitwa KUTOPANDISHA SAUTI ukiwa unazungumza nae Zungumza kwa Upole.π
πβ£οΈHakikisha Unapata na Unga wa Mti unaitwa_ KUMFARIJI NA KUMPA MOYO ANAPOKUWA NA MITIHANI na MISUKOSUKO kamwe Usipende kumpa Lawama.π
πβ£οΈUsisahau kuchanganya na Dawa ya magome ya mti wa KUMPONGEZA ANAPOFANYA JAMBO ZURI.π
πβ£οΈChukua na Mizizi inaitwa KUMSHAURI MAMBO YA MAENDELEO YA KIMAISHAπ
πβ£οΈChanganya na Dawa inaitwa USAFI, MAPISHI MAZURI NA MAHABA MATAMU CHUMBANI.π
πβ£οΈChukua na Dawa nyingine inaitwa KUWAPENDA NDUGU NA JAMAA ZAKE.π
ππChukua hizo Dawa zote zichanganya kwenye Glass ya Maji ya UKARIMU kisha Mpatie Mume wako Hakika atakupenda Daima.π
πππππππππππππππ