-->

Wanaume Wenzangu... ๐Ÿ› ๐Ÿ›  UMEMKOSEA WIFE?? โœจ FANYA YAFUATAYO:


1. KUBALI KOSA: Usiendelee kumzungusha Wife wakati unajua umemkosea ๐Ÿคซ๐Ÿคซ.
2. OMBA MSAMAHA: Omba msamaha kwa kumaanisha hadi Wife ajue unajutia kosa ๐Ÿ™๐Ÿฝ๐Ÿ™๐Ÿฝ.
3. USIRUDIE KOSA LILELILE: Kurudia kosa moja kila wakati inamaanisha hakuna toba ya kweli ๐Ÿ™„๐Ÿ™„.
4. USIJARIBU KUJITETEA KWA KUMKUMBUSHA WIFE MAKOSA YAKE: Hata kama Wife alishawahi kukukosea na ukamsamehe; usilete hiyo mada hapo Brother! Wewe kuwa MPOLE tu ndugu yangu, shughulikia AGENDA iliyopo mezani ๐Ÿค๐Ÿค.
5. KIPINDI CHA TOBA MFANYIE WIFE VITU ANAPENDAGA: Wewe unajua anachopenda Wife wako; fanya kwa bidii kama sehemu ya toba. Mfano kumpikia (kama unajua lakini), outing, kusafisha nyumba, kumsaidia watoto, nk!! Mara nyingine ni ngumu kufanya haya mambo ila jitahidi iwe ENDELEVU ๐ŸŒท๐ŸŒท.
6. MWAMBIE WIFE AKUOMBEE: Yani akikubali KUKUOMBEA baassiiii; umesamehewa kabisaaa ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š. Unajua mtu hawezi kukuombea kwa MUNGU pasipo kukusamehe kwanza ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ.
โœจNB:
๐Ÿ“Œ UKIKAA VIBAYA NA WIFE KILA KITU KINAGOMA!
๐Ÿ“Œ Happy WIFE... Happy LIFE!!
1 PETRO 3:7; โ€œKadhalika ninyi WANAUME, kaeni na WAKE ZENU kwa AKILI; na kumpa mke HESHIMA, kama chombo kisicho na nguvu; maana wao pia ni warithi wa neema ya uzima, ili MAOMBI yenu YASIZUILIWE na chochote.โ€
Share:

Related Posts:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright ยฉ 2025 UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU