-->

πŸ‡JINSI YA KUTUNZA UKE WAKO UZIDI KUONEKANA MPYA KILA SIKUπŸ‡

NJIA RAHISI ZA KUTUNZA UKE UZIDI KUA NA MWONEKANO MPYA KILA SIKU ...
πŸ‡Ukiamka asubuhi chukua maji safi ya baridi OSHA ukewako kuondoa wadii yaliyojikusanya usiku, hakikisha umesafisha hadi kidole hakiingii kwani kabla ya kusafisha kidole huingia kirahisi.
πŸ‡:kamwe usitumie Maji moto kujisafisha uke kwasababu maji moto yanalegeza uke na kuufanya usiwe na mvuto kwa mpenzi wako tumia maji baridi yawe masafi
πŸ‡vaa chupi za cotton kwani zile hufyonza majimaji kwa haraka uke-ni pia ukiwa na mume wako jitahid kuvaa chupi nzuri zenye kuvutia na kuleta msisimko pindi mmeo anapokuona
πŸ‡:vaa skin Tait muda mwingi hasa uwapo kwenye mizunguko, zile husaidia kuzuia na kuondoa weusi kwenye map-aja, hili la weusi ma-pajani nishawafundisha somo namna ya kutatua,
πŸ‡:zingatia mazoezi ya kegel maranyingi uwezavyo kwa uimara wa uke na kuufanya uwe tam wakati wa sex pia mazoezi haya huleta mnato hata pale unapokuwa unajimai, mwanaume husikia raha na kufanya akukumbuke kila anapokuwa
πŸ‡:wakati wa kuchamba anza mbele kwenda nyuma kuepuka maambukizi u-keni
πŸ‡:usipende kujitia madole uke-ni au kujisafisha kwa kutoa uchafu zaidi ya maramoja kwa Siku yaani pale unapoamka asubuhi ila jioni osha tu uke wako kawaida
πŸ‡:safisha vizuri ukewako baada ya kujisaidia yaani tumia maji safi ila usitie vidole ndani kama si asubuhi bacteria walioko u-keni mchana hulinda uke usiku hupanua uke, ndo mana nasstiza safisha uke kwa kutoa uchafu kila asubuhi ili kuwaondoa wale bacteria wanaopanua uke ambao hutawala zaidi usiku, waweza safisha uke kwa kutoa uchafu zaidi ya Mara Moja kama wataka kumpa Mzee
πŸ‡:hakikisha unapata glass moja ya maziwa mtindi kila siku si ombi ni lazima,faida zake utaziona.
πŸ‡: badilisha pads marakwamara uwapo kwenye cku zako
πŸ‡:safisha uke wako kuondoa manii baada ya jimai
πŸ‡:tumia njia ya waxing kuondoa mavuzi u-keni kwani kiwembe chaweza sababisha vipele au weusi wa kudumu u-keni
πŸ‡:epuka kutumia sabuni kusafisha kumayako
πŸ‡.weka misk u-keni ili uwe na joto la kumvutia mme na kukata shombo kwenye uke
*πŸ‡Ukiyapenda yafanyie kaziπŸ‡
πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡πŸ‡
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU