-->

UMUHIMU WA MUDA NA MAWASILIANO KATIKA KUDUMISHA MAHUSIANO NA NDOA

KabugaKanyegeri Instagram posts - Gramho.com

MUDA na MAWASILIANO ni vitu ambavyo vinahitajika Sana kwenye mahusiano

~MUDA utakufanya umfahamu vyema mwenzio ikiwemo kipi anapenda na kip hapend
~MAWASILIANO yatakuweka Karibu nae haijalishi mna umbali kiasi gani uwepo wako utaonekana, pia ktk mawasiliano jengeni muda wa kuongelea mahusiano yenu na yale msiyopenda yatendeke baina yenu

TUMIA MANENO HAYA MATAMU KUJENGA MAHUSIANO YA FURAHA NA AMANI
1. NAKUPENDA~Weka hisia zako wazi haijalishi mmekuwa kwenye mahusiano kwa muda Mrefu mwambie Mara kwa Mara mtext mwambie hata anapokuwa kazini.

2. MSAMAHA~Kuwa mwepesi wa kuomba samahan unapokosea tengeneza mapatano na Aman kwa maana Aman inapotoweka ndani Kuna Baraka zinapotea pia, hata ww mwanaume omba MSAMAHA unapomkosea mkeo

3. KARIBU mme wng/Mke wng~ Ni furaha Sana anapokuja eidha toka kazini au safari unapomkaribisha kwa Upendo na tabasamu kumpokea,kumuwaooo

4. POLE mme/Mke wng~ kutwa mzima watu ukutana na makwazo mbalimbali ila tuhakikishe kila mmoja hasibebe makwazo ya nje kuleta ndani mfanye Mke/Mme kuwa tulizo na siyo kumtwika upweke kwa kumnunia.

HAKUNA MUHITIMU KWENYE NDOA NDO MAANA VYETI VYA NDOA VINATOLEWA KABLA YA MAISHA YA NDOA IVYO MAISHA YA NDOA NI DARASA AMBALO UKINGO WAKE NI MAUTI KILA SIKU WANANDOA NI WANAFUNZI.

NI KWELI AU SIYO KWELI?
Comment na SHARE
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU