-->

HIVI UNAHABARI KWAMBA NDOA NYINGI SIKU HIZI ZIMEKUFA ILA WATU BADO WANAISHI PAMOJA TU, KIVIPI?? HEBU NIKUJUZE

NDOA NYING ZIMEKUFA
Kilicho baki ni kusogeza tu siku
Usishangae kusikia mke na mume kuna wakat wanaweza wasisemeshane kwa siku nzima au zaidi.. Na wana kula na kulala pamoja... Kuna wengine utakuta ni miez sasa imepita bila kupeana haki yao.
Basi ni kudra MUNGU zinazo hitajika kumnusuru anae fanya au kufanyiwa hayo.Mtu ambae ana teseka na ndoa yake amechoka mpaka kutaman ivunjike kesho lakin anapo waza juu ya mali walizo tafuta pamoja na malezi ya watoto
Basi mke au mume ana amua kuendelea kuumia ili kulea familia
Kuna wakat unaish na mtu lakini mambo anayo kufanyia hayavumiliki...ni zaidi ya uchafu au dharau kwani ana utesa moyo na hisia zako kadri anavyo taka..ndugu na jamaa wamejaribu kusuruhisha lakin imeshindikana
KULAZIMISHA UPENDO
KUJITESA NA KUUMIA
umri wako bado huenda una kupa nafas kupata mpenz atakae weza kufaa hata kama sio leo ila kesho utapata.bora uwe SINGLE kuliko UPENDO wenye kukutesa....
Hata hivyo kuwa na watoto ktk NDOA haimanishi kuwa lazima ufe ukiwa ndan ya NDOA...
wakat mwingine unapo jitunza mwenzako huko ana zunguka na kukuletea magonjwa ndani....
..UNAE MPENDA HAKUPENDI ni jambo la kawaida ktk mapenz ko vyema kuangalia unapo pendwa maana kesho waweza pata moyo wa kurudisha upendo kwake huyo anae kupenda kuliko kulilia sehem usiyo pendwa.
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU