-->

UNAJUA Kwanini MAPENZI YAMEKUWA MEPESI?


Image may contain: 2 people, people sitting
Ni kwa sababu hata upatikanaji wake ni mwepesi, Hata yanapokwisha ni mepesi kuachana, Watu wanaingia kwenye mapenzi kwa ajili ya kutafuta FARAJA badala ya UPENDO... Wanapokosa FARAJA wanakimbia kuogopa stress, Kukosea njia ðŸ‘£ kwenye safari ya kawaida ni afadhali unaweza kutembea kurudi ulikotoka, lakini ukikosea NJIA ðŸ‘£ IENDAYO KWENYE MAPENZI lol ðŸ˜Ž unaweza kufa siku si zako, Ni bora kuishi MPWEKE kuliko kuishi NA MTU MUONGO WA MAPENZI ni hatari mbaya, Muogope mtu anayekujenga kuwa uko peke yako maana anautengeneza MOYO wako kujiamini, Moyo ukijiamini halafu baadaye ukaona dosari ni mbaya kuliko kama ungeingia kwenye MAHUSIANO na mtu ambaye tangu mnakutana ulijua anae mwingine ila unajaribu kumuondoa aliyepo hata ukishindwa haiumi sana.
#Elista_kasema_ila_sio_sheria
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU