-->

NGOJA NIKWAMBIE JAMBO HILI USILOLIJUA KUHUSU MAPENZI

Image may contain: one or more people and people sleeping

Ziko nyakati watu huzipitia bila kujua maudhui ya mapito hayo... Kuna wakati Mtu hupitia Magumu hata akajikuta anakata tamaa ya kuishi, Akijitazama anadhani hawezi tena kuipata FURAHA maishani mwake😭
Kuna wakati Mtu anapitia FURAHA kiasi anakosa muda wa kutafakari juu ya ugumu wa maisha wanao pitia bin adam wengine.... MAISHA yanayolenga mahitaji ni sehemu ya mapokeo ya aina mbili;
KUPATA
KUKOSA
Na yote hayo yanayo matumaini kupitia MAANDIKO MATAKATIFU!
MAISHA yanayogusa Mahusiano ama ndoa yanakuwa na maana moja tu UPENDO WA DHATI... Kuendelea kuutaabisha moyo kwa mambo yanayoweza kusemekana kwamba KILA JAMBO NA WAKATI WAKE ni kosa, Kwanza naomba utambuwe jambo moja "FURAHA YA MUDA MCHACHE ISIKUFANYE UKASAHAU KILIO UMELIA KWA MUDA MREFU, MAMBO HUBADILIKA KAMA HUKUSIMAMIA MAAMUZI YAKO" Kuna wakati watu wanajikuta wameshikwa na shauku ya kuwa na mahusiano ama ndoa kukwepa aibu ama kwa sababu rafiki yake aliishakuwa na Mtu ama ndoa🙆🏿‍♂ Basi nae anajikuta anamshawishi mwenza wake WAOANE! Swala sio NDOA ila Swala ni JE UNAJUWA USIKU MMOJA TU BAADA YA NDOA NA MTU AMBAYE HAKUKUPENDA NI SAWA NA GHARIKA YA NUHU🚢?
Chukuwa tahadhali kabla ya kuzama penzini, Jaribu kuifikiria safari ya NDOA ina kiapo cha MPAKA kifo kiwatenganishe, Je utakapokuwa ushazama kwenye NDOA na mtu asiye sahihi utajinasuaje? Usiwe mwepesi kuitaka NDOA kabla ya kujua MWENZA WAKO ATASIMAMIAJE MISINGI YA NDOA TAJWA🙋🏻‍♂
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU