πππππππππππ
Kiuno kitandani kuna baadhi ya wanawake hili swala hawalielewi muniwie radhi
.ππππππππ
Raha ya kiuno kitandani iwe kwa wote viuno vinatakiwa viesikilizane Viuno pale kukikata kiufundi hasa kina Dada sio unajikatia tu ilimradi na wewe uonekane wajua kukikata apana chakatwa kulingana na staili ya mtwangio
πΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉπΉ
Kukata kwenu vibaya mwasababisha hisia za waume kukatika kila mda, Zungusha mtoto wa kike sampuli ya tairi ilopinda haya mambo yaitaji ujuzi sio unatikisa miguu tuu.
πππππππππππ
Jitahidi mnapo kua safarini unajifaragua utafkiri wakimbiza mwizi jaribu na wewe kufata mapigo yaa mumeo wamjua wewe, wakati mwingine ataki kiuno chako hasa pale anapo karibia kileleni mwa safari anajazba kwa kasi ya hali ya juu hapo Watakiwa uwe makini sna ukitoa hapo hatokusahau si kwa kukupenda ni kwa kumkomesha raha tena ata kukasirikia kila unapo fika mda wa tendo la ndoa anaona utamtibulia utamu wake.
πππππππππππππππ
zingatia wakati mwingine nyie mwaona mwakata kumbe mwawaumiza tu waume au mnakata hisia mnaanza upya alafu mwisho Bebi "dear mbona mapema mie bado "wakati kiuno chako kimemuumiza,Ukataji kiuno una kupa raha katika jimai kumpagawisha na kumpa raha ipasavyo mwenza wako,raha ya jimai ni kupeana raha kwa kila mmoja hadi atosheke na kiu yake sio mmoja ametosheka na mwingine bado yupo sio hivyoooo,Kutokana na mautamu mkajiona muko angani kumbe muko kwenye sita kwa sita.
πππππππππ?π
Raha ya Kiuno injini Iwe nzima ya mime sio hadi isukumwe Mara izime mlimani tena raha
πππππππππππππ
Shanga kiunoni zizunguke kwa mikato ya feni mbovu uku mkibadili mikao hadi raha
πNDOA RAHA