-->
Showing posts with label AFYA. Show all posts
Showing posts with label AFYA. Show all posts

Chips Mayai hatari kwa afya yako!?


No photo description available.
Chips yai...

WATAALAMU wa Kilimo na Afya wamesema kuwa vifo vingi husababishwa na ulaji hafifu wa matunda na mboga za majani huku wakihadharishwa kuwa ulaji wa chipsi mayai unachangia unene unaosababisha vifo vya ghafla.

Katika mkutano wa kwanza wa uhamasishaji matumizi ya bidhaa za matunda na mboga unaofanyika mjini Arusha, wataalamu hao walisema inapotokea vifo vya namna hiyo, baadhi ya watu kusingizia sababu mbalimbali hususani uchawi.

Wamebainisha kwamba watu wengi wanakula matunda na mboga chini ya kiwango cha gramu 400 kilichowekwa na Shirika la Afya Duniani (WHO), jambo ambalo ni hatari kwa afya.

Mtaalamu kutoka WHO, Godfrey Xuereb alisema jana kwamba takribani watu milioni mbili hufa kila mwaka kutokana na maradhi yanayosababishwa ukosefu wa lishe za matunda na mboga.

Mwenyekiti wa Baraza la kuendeleza Kilimo cha Matunda na Mboga (Hodect), Felix Mosha alisema viazi vilivyochomwa kwenye mafuta na kuchanganywa na mayai ya kukaanga maarufu kama Chipsi Mayai unaonesha kushika hatamu katika lishe za wakazi wa mijini hasa vijana na wanawake.

Akielezea chakula hicho kama mlo ‘mchafu’, Mosha Alisema: “Matokeo yake taifa sasa limekumbwa na tatizo la unene uliokithiri hasa miongoni mwa watoto na akina mama na kuchangia vifo vingi isivyotarajiwa.” Ofisa kutoka Wizara ya Kilimo na Chakula, Geoffrey Kirenga Alisema:

“Na mara nyingi mtu akionekana mnene huchukuliwa kuwa na afya lakini ukweli wengi huwa na utapiamlo na wanapofariki ghafla wanakuwa chanzo cha uvumi, tetesi na hisia za ajabu wakati chanzo hasa huwa ni ukosefu wa vitamini na madini yatokanayo na matunda na mboga”.

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Profesa Jumanne Maghembe akifungua mkutano huo, alisema wastani wa mtanzania mmoja hula gramu 80 pekee za matunda na mboga kwa siku.

“Hii ni asilimia 20 tu ya kiwango kilichowekwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) ambacho ni gramu 400 kwa mtu mmoja kwa siku.”

Alisema Maghembe na kuongeza kuwa asilimia kubwa ya Watanzania humaliza hadi miezi miwili bila kugusa hata tunda moja.

“Na hii ni aibu maana hapa nchini kuna matunda ya kila aina ambayo pia hupatikana kwa bei ya chini sana, lakini bado watu hawana mwamko wa kuyatumia kiafya na hata katika mila zingine matunda na mboga huonekana kuwa ni vyakula vya watoto,” alisema Waziri Maghembe.
Share:

NAMNA YA KUBANA UK-E ULIO LEGEA* 🎀

UTAMU KITANDANI APP

*🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀🎀
1.maji ya ukoko wa ugali
Baada ya kumalza kupka ugali tia maj kwenye sufulia hilo kama n mchana bas tumia jion kujtawazia maji hayo, yachuje ili usjitie na ugali kwa bibi, yana bana uk-e na kuondoa harufu mbaya u-keni
2.Miski
Hii inapatikana maduka ya madawa ya asili, pia unanawia, inaleta joto na kubana k
3.Kubana misuli ya k wakat wakukojoa
Hii n nzur na unaweza bana misuli ya uk-e hatakama upo sehem tu, unakua unakaza k kama unavokua unakata mkojo wakat unakojoa, hii pia inawafaa wale wenye KUJAMBA mbele n tiba kabsa kwan hata wakat wa sex unaweza bana tu na Mme aka enjoy, inafanya uk-e kua Tait
4.majibardi
Unatumi maji barid kutawaza kila uendapo chooni, hii pia inafanya uk-e ubane, matokeo ya haraka nijuhud zako, uspende kuosha k kwa maji moto italegea
5.Ndimu na maganda ya ktunguu saum
Menya kitunguu saum kisha maganda yale tia kwenye moto afu moshi ule jifukze kwa k yako vzr baada ya hapo jisafishe kwa maji ulio kamlia ndimu
6.mgagan
Chukua utwange kama ksamvu ulainike kisha vaa kama pedi au kitambaa lain uwekee kwa k vzr dk15 yaondoe, kwa wik matokeo mazur, pia waweza changanya na asali mbichi
7.Shabu
Inapatkana maduka ya dawa asili, una changanya kwenye maji kisha unatawazia, ukitumia nying au kila mara itafanya k ibane sana na uumie wakat wa sex itakua kama waweka bikra feki, ivo tumia kdogo huku unapma k yako imebana kias gan
Mwisho majani ya mbaazi fanya kama nilvo eleza kwa mgagan, ila kila uendapo choon yabadilshe, huleta joto la k na huamsha ham ya se-x na kupungza maji uk-eni.
🎀🎀🎀🎀🎀🎁🎁🎁🎁🎁🎈🎈
Share:

STAILI ZA KUSHIKA MIMBA HARAKA NA UFANYE MARA NGAPI KWA WIKI???.

UTAMU KITANDANI
💞💞1.Kufanya mapenzi katika mtindo (style) ambayo itafanya mbegu za kiume zikae kwa muda mrefu ukeni na hivyo nyingi kupanda kuingia kwenye kizazi na kwenda kurutubisha yai.🍓
🍏🍎‘missionary position’ ni nzuri zaidi, ambapo mwanaume anakuwa juu, epuka positions za mwanamke kuwa juu kwani hufanya mbegu zimwagike kwa gravity. Jaribu pia kuweka mto chini ya kiuno ili kukiinua na kufanya mbegu ziingie ndani kwa urahisi zaidi.
❤️❤️2. Tumia ovulation prediction kit,
hiki ni kifaa ambacho kitakusaidia kujua wakati hasa mwanamke ameengua yai na ndio kipindi ambacho mwanamke ana uwezo wa kushika mimba akikutana na mumewe. Ni rahisi kutumia.🍏🍓
🍓💞3. Fanya tendo la ndoa kabla ya kuengua yai (kabla ya ovulation), huongeza uwezekano wa kushika mimba kuliko kusubiria ovulation au kufanya baada ya ovulation.💞👩‍⚕️
✍️✍️👩‍⚕️Kutaneni siku mbili au tatu kabla ya ovulation. Ukitumia ovulation test kit, mkutane kuanzia siku itakapokuwa positive kwani huwa inapredict ovulation kutokea 48 hrs after it tests positive.
🍎🍏4. Usitegemee njia ya kalenda kutabiri uenguaji yai, njia hii kwa kiasi fulani huweza kuwasaidia wale wenye mzunguko wa siku 28, lakini pia haina uhakika wa 100%, wengi wa wanawake hawaengui yai siku ya 14 ya mzunguko wa hedhi, kwa hiyo kutegemea kalenda kutakuchelewesha kupata ujauzito.💞
💥💥5. unapotaka kushika mimba, acha au punguza kwa kiasi kikubwa matumizi ya pombe, sigara au dawa za kulevya.😋😋
🤰🤰💞6. unapotaka kupata mimba, tendo la ndoa liwe kitu ‘enjoyable’ na sio tendo(unakami/unakomaliaaa🤰🤰🙄🙄 ‘mechanical’ kwa ajili ya kutafuta mtoto. Plan a romantic evening or try something different to spice things up.
💞💞🙄How you are feeling sexually may increase your chances of getting pregnancy. For women a better orgasm may help pull the sperms into the uterus and for men a better org*sm may increase their sperm count.🍎🍏
👙👙7, Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara, angalau siku tatu kwa wiki, ikiwezekana on alternate days.👙👙yani unafanya leo kesho mnapumzika 💕💕💕💕
Kumbuka kuna asilimia 10 – 25 ya couples ambazo zina matatizo ya infertility lakini vipimo havionyeshi tatizo, inaweza kuwa namna ya kufanya mapenzi ndio ikawa shida, jaribu njia hizo 7 juu.
👩‍⚕️👩‍⚕️Kama hizi njia hazijakusaidia basi utakuwa na matatizo na unaweza kumuona daktari kwa msaada wa vipimo na matibabu.
✍️✍️ usisahau Kushare nq wengine wajifunze
Share:

💋💋💋 JINSI YA KUMFURAHISHA MUMEO UKIWA KWENYE HED-HI


💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Mpooooo au nipooooo
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Ukiwa kwenye he-dhi mumeo unamridhisha hivi
Kwanza unampapasa sehemu zote za mwili wake ili kuzivuta nyenge zake na hisia zake.
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Taratibu unakuja kwenye kifua chake unashuka mpaka kwenye nyanya zake (pumbu ) una mchezea taratibu, huku na ww unavuta mumeo kwa kujiregeza ili azidi kupata hamu ya kufurahia hivyo unavyomfanyia.
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Utamnyonya midomo (denda ), masikio, shingoni huku unamnong'oneza nakupenda mume wangu, taratibu huku unachuka kwenye muwa wake unaaza kuchezea au kunyonya.
Hapana inatakiwa wote mmeoga 👌🏻
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Hapo ukimfanyia hivyo lazima muwa wake usimame, taratibu unaaza kunyonya muwa wa mumeo au kuchezea pamoja na nyanya zake.
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Utafanya hivyo takribani mara 20 kisha unachukua mafuta ya nazi unajipaka kwenye mstari wa maziwa yako yaan katika ya maziwa.
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋 💋 💋 💋 💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Utalala chali kicha utachuku muwa wa mumeo utaupisha katka ya maziwa yako, kisha na ww utayabana maziwa yako.
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋Hapo sasa kama umejali nyoyo mume lazima alie hahahahahah💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋 💋 💋
Basi hapo mumewako ataaza kusikia raha kama muwa uko kwenye kitumbua atafanya kwa kasi mpaka akojoe.
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Halafu mumueo ataaza kushuhulika kwenye maziwa nje ndani kama yupo kwenye kitumbua hahahahaha patam hapo
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
Zingatio kuna namna nyingi za kumrisha mumeo ukiwa kwenye he-dhi kama kijangani, mapajani, midomo yote hayo ni kwasababu ya kumfurahisha mumeo
💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋💋
🤝 asnteni
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU