-->

🔥🔥 SMS ZA MAPENZI 🔥🔥


1. MPENZI WANGU
Tabasamu lako linanifanya najisikia furaha sana na amani pindi niwapo na wewe, kucheka kwako na mapozi yako, uthamani wako kwangu ndio nguzo imara vinavyofanya nizidi kukupenda mpenzi wangu.
Ama hakika nimepata hitaji la moyo wangu.
NAKUPENDA PASI NA AIBU UKINIACHA MPENZI UTANIADHIBU
😍😍
2. BARAFU WA MOYO WANGU
Ardhi ya Moyo ni Pahala ambapo hujikwaa na kudondokea kila mwenye Upendo wakweli, nami kwaajili ya Upendo nimejikwaa na kudondokea kwenye wako Moyo.
Hivyo basi, tafadhali naomba unipe makaazi ya kudumu kwenye moyo wako 🙏🙏
3. MY DEAR
Nimekupa penzi langu sio ulichezee bali ulilee, nimekupa moyo wangu sio uniumize bali unifuraishe, nimekuonesha thaman yangu sio uitupe bali uitunze, nimekupa upendo wangu sio uniache bali Unipende.
Kwani daima hutojutia kuwa na mimi wala
hutolia mi niwako maishani,
Nimekupenda nimekuweka moyoni, nitakutunza kama kitu pekee maishani.
I LOVE YOU SO MUCH MY HONEY
🥰🥰🥰
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ila kwa wale wanaohitaji kutumia SMS ZA MAPENZI kama hizo kwenye simu zao itawalazimu wachangie vocha au Pesa..
Kupitia namba hizo hapo chini 👇 .
M-PESA : 0753 324 749 jina FARID JUMA.
TIGO PESA : 0712963509 jina FARID JUMA.
Usiweke namba bali nicheck Inbox au kwenye hizo namba
Masharti na vigezo kuzingatiwa.
💚💚 SAMBAZA UPENDO 💚💚
MUWE NA SIKU NJEMA WAPENDWA
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU