*------•<°○●πΈ●○°>•------*
πMwanamke upo bibi shurti uwe na zana zako maalum kwaajili ya kumsafisha mumeo manapomaliza kwichkwich
πSio mmemaliza kufanya tendo unafuta kwenye shuka aihusu bibi, Kua na vitambaa zaidi ya kimoja bibie
πUnapokua tayar kulala andaa vitambaa vyako vya kutosha, Viwe visafi na vyenye kunukia uturi ili mkianza mambo zana ziwe ziko pembeni
πBaada ya kumaliza mambo yenu chukua kitambaa chako mfute mumeo uku umelegeza sauti mtt na mabusu motomoto ukimwambia mumeo ""ahsante mume wangu
πHakika nimenjoy"na maneno mengi tu matam na yenye kupendeza
Bwana akitaka mechi iendelee weka kile pemben sogeza kingine mana kile kitakua kimeshatumika
Bwana akitaka mechi iendelee weka kile pemben sogeza kingine mana kile kitakua kimeshatumika
πAsubui fua vizur vitambaa vyako vilivyotumika anika vizur vikauke kama una pasi vipige pasi hifadhi mahali pazur kama huna pia unaweza ukahifadh vizur
πSio kitambaa cha jikoni ndio unachukua usiku unamfutia mumeo haifai au mashuka mnafutia haifai Bibi kua na vitambaa vyako hata Viwe mia navyo vina umuhimu wake
*πWADADA MPOOπ*
YANGU NI HAYO TU
*NAWATAKIA UTEKELEZAJI MWEMA*
*-------•<°○●πΈ●○°>•-------*
*Ukiyapenda yachukue kama yalivyo*