
WANAVYOFANYAGAπ:
πΊ Hakuna Asiyejua Kwamba Penzi La Mwanzo Uwa Tamu sana Jamani Acha Tu Asikwambie Mtu Kitu...Unakuta Zile SMS za Baby Nimekumisi au Baby I π Love You Zinatiririka Kama Mvua Acha Tu Aiseeπππ
πΊ Huu Ndio Wakati Ambao Mpenzi Wako Uwa Anayafanya Majukumu Yake Kwako Kama Mpenzi Wake On time Kwa zaidi ya 80%, Hapa Ukituma SMS inajibiwa Chapuπ π Ukisema Baby Nataka Kukuona yani Haichukui Round Mtu Huyu Hapa, baby Nitumie picha Chapuu imekuja....πππ
SASA UTAMU WA PENZI LA MWANZONI USIKUZUZUE SANAππ:
πΊ Ukafikia Hatua Baby Anakuomba Picha Ya Kitumbua/Uch-i na wewe Unatuma au Picha ya ndizi/Uc-hi Unatuma tu...
πΊ Vipi Ushawahi Kujiuliza Itakuwaje Siku Mkiachana na tayari Umeshamtumia picha zako ukiwa uc-hi kama zote hivi au Ndio Nikuache Kwanzaπ π ??
πΊ Umepewa Ubongo na ndani Yake Ukapuliziwa Akili...Sasa Fikiri Kabla ya kutenda Kwamba Hizoπ Picha Za mtindo huo πUnamtumia huyo unayemuita Mpenzi Wako ili iweje ?
πΊ Au kuna mtu alikueleza kwamba Ukifanya hivyo ndio Utapendwa?? Upendo Upo Tu kama Upo kweli Hata usimtumia hizo takataka zako ππ
πΊ Ndio nyinyi ambao kesho Mkiachana unaanza kuwa mtumwa wa Mawazo na Kuanza Kung'ang'ania Mapenzi Mpaka Jamii inajiuliza Hivi Yule Analazimishaje Mapenzi Wakati Mtu Hampendi?
πΊ Kumbe Siri Unayo Mwenyewe ni Tule Tupicha Twako ndio Tunakutesa kenge weweπ π π π Ebu Usitusumbue Sisi Nenda kafie Mbali sana hukoππππ
MPENZI WAKO AKIKUOMBA PICHA YA KITUMBUA MTUMIE PICHA YA KITUMBUA KWELI...NA AKITAKA UMTUMIE YA UC-HI MWAMBIE ATAKUONA SIKU MKIWA WOTEππ
Sasa Wewe Akuombe Picha kama hizππMtumie Alafu Nikubaini Kenge Weeee...Ndio Utajua Ni Muda Gani Bodaboda Inatumika Kama AMBULANCE...πππ