๐บKUFUNDANA RAHA ๐ Shosti asikwambie mtu kwa wanaume wengi wa Kiafrika wanapenda sana mwanamke kuwa na chachandu kwani wanakwambia zinawapa raha na utulivu wanapokuwa faragha. ๐ธChachandu zinapaswa kuvaliwa wapi?, ⏩๐ธshosti si kila sehemu unavaa chachandu angalia na sehemu ya kuzivaa kwa sababu ukizivaa eneo la kazi utatafsiriwa vibaya, zile zinafaa kuvaliwa chumbani ukiwa na mpenzi wako tu. ⏩Unajua zile zinatungwa na uzi huenda ukazivaa na ikatokea zikakatika hivi utajisikiaje ukiwa sokoni halafu zikakatika lazima utaona aibu na wengine hudiriki kuziacha hapohapo. Cha kufanya shosti yangu vaa kwa raha zako wakati unahisi mumeo anataka kurudi nyumbani, ukishaoga na umeshajiandaa kwa kumpokea mume unaweza kuvaa chachandu kwani zitachangia kumuweka tayari mumeo. ๐นUMUHIMU WA KUVAA SHANGA NA KAZI ZAKE KATIKA SUALA ZIMA LA MAPENZI๐๐๐๐ ⏩Kiuno cha mwanamke๐๐ผ๐ hupendeza zaidi na kuvutia kama kikipambwa kwa kukivalisha shanga,๐๐๐Nami nakupa maana na kazi ya shanga hizo
1: UNAWEZA UKAZIVAA KAMA UREMBO๐๐ ๐ปKuna baadhi ya wanawake ๐siku hizi wanapenda kuvaa shanga ๐kama urembo,na kusema kweli kiuno cha mwanamke kikivalishwa shanga kinapendeza ๐๐na kuongezeka mvuto,Sio tu kwa wanaume bali hata kwa wanawake pia,ukivaa shanga kiuno chako kitapendeza๐๐๐ Kama unatamani kujaribu,ondoa uoga,kanunue kisha na wewe uvae pia
2. HUONGEZA HAMU ๐NA MZUKA WA KUKATA KIUNO WAKATI WA KUPE-ANA RAHA๐๐♋ ๐ปbaadhi ya wanawake๐ tunapocheza ngoma,๐ฏkiunoni huvaa kitu kinachoitwa kibwebwe ambacho hutufanya tufeel wepesi wa kukata miuno๐vivyo hivyo tunatakiwakuvaa shanga ya kufanya iwe rahisi kwetu kukatika na viuno vionekane kweli vinakatika.๐๐Na pia wanasema sio tu zinasaidia kukata kiuno vizuri lakini pia zinaongeza mvuto mwanaume๐๐๐ถ akiangalia kiuno kilichovalishwa shanga kikikatika.๐๐๐
3. UNAWEZA UKAZIVAA KWA AJILI YA KUMPA HA-MU YA KUPATA RA-HA MUMEO/MPENZI WAKO๐๐๐ ๐ปAsilimia kubwa ya wanaume wakiona kiuno kimevalishwa shanga,haijalishi kama ni barabarani au ndani ya basi,๐azima mashine zao zipate shida ya kujizuia kusimama bila kupenda ➡.Ki ukweli ukiziona shanga zipo kiunoni lazima upate hamu kama wewe ni mwanaume wa ukweli, ⏩Kwahiyo kama huna mazoea ya kuzivaa,๐na ulikuwa unapenda kufanya au kuongeza kitu kipya kwenye uwanja wenu wa kupeana raha na utamu,๐๐๐basi nenda kanunue shanga,kisha uzivae ukiwa peke yako kwa ajili ya kumsuprise mpenzi wako.๐❤❤ Utajua kama anazipenda kwa jinsi atakavyokuwa bize kuzishikashika na kuzitomasa muda wote mkiwa mnapeana raha.❤๐๐๐
4. UNAWEZA UKAZIVAA UKIWA UNAMAANISHA KITU๐๐๐UPOOO๐ ๐ปKuna baadhi ya wanawake wanazivaa shanga kwa kutumia rangi ambazo zitaleta maana au ujumbe ambao anataka umfikie yule aliyemvalia๐๐ ⏩Mara nyingi huwa inaleta maana au ujumbe utafika kama mwanaume husika atakuwa anaelewa maana ya hizo rangi za shanga.๐๐
5. UNAWEZA UKAZIVAA ILI UJIONGEZEE RAHA WEWE MWENYEWE WAKATI WA KUPEANA RAHA Kiuno cha mwanamke kimeumbwa na hisia za kimahaba,na ndio maana ukikitomasa au ukikipapasa,lazima mwanamke apate raha.Ukiwa unapewa raha na mwanamke aliyevaa shanga,Wakati wa kupashana joto,usisahau kuzichezea shanga zake kiunoni.Kama style mnayotumia kwa wakati huo inaweza kuruhusu mikono yako ifike kiunoni pake basi peleka mikono yako,Chezea shanga kwa kuzipapasa kutoka juu kwenda chini au kutoka chini kwenda juu,au vyovyote unavyoweza.ukifanya hivyo hizo shanga zake zitakuwa kama zinamtekenya,na atapata raha na utamu wa kipekee sana.Utaenjoy makelele na miguno ya kimahaba atakayokuwa anazidisha ili uendelee kufanya mwanzo mpaka mwisho. Nyoneza kwa wale wasiopenda shanga KAMA UKIONA MPENZIO HAFURAHII SHANGA,UNAWEZA KUVAA CHENI,IWE YA GOLD AU SILVER...sababu ni kuwa ni raha sana kukipamba kiuno๐๐๐๐๐๐ฏ๐ili baby dady afurahie