-->

KWANINI ANAYETAKA MAPENZI NDIYE HUFURAHIA KULIKO ANAYETOA MAPENZI? IKO HIVI;

Chuo Cha Mapenzi - Wakubwa Tu 5.0 apk | androidappsapk.co
β€’ MotoπŸ”₯ wa Mapenzi unawashwa na aliyeanza kuwazia PENZI πŸ’― lakini pia ni rahisi kwa apokeae MOTOπŸ”₯ huo kufanya MOTO πŸ”₯ UZIDI KUSHIKA KASI...
Mapenzi ni HISIA πŸ’‘ hivyo kama huna hisia na mwenza wako ni rahisi kutohisi UHITAJI WA PENZI ndo maana siku zote nasisitiza KAMA MTU HANA HISIA NAWE HUYO USIMSUMBUE mwache aende kwa aliye na hisia nae, kubakia nae ni wewe kujaribu kumshawishi apate hisia juu yako kitu ambacho ni hatari kwa HISIA ZAKO πŸ’―
Hisia inapokuwa imeinuka inahitaji mtu ambaye ukimtamkia neno MAPENZI arudishe shauku ya kuhitaji PENZI na hapo itakuwa rahisi sana KUFURAHIANA...
Wana mahusiano wengi wanalazimisha MAPENZI bila kujua, ni kwa sababu mahusiano mengi yanatawaliwa na DHIKI πŸ’―
Nature ya PENZI liwe na mapokezano ya NAFSI kwamba mtu unaamua kusikia shauku ya kuwa na mwenza wake kwa mambo yanayohusu UPENDO πŸ’• hapo hata MBU πŸ¦Ÿ huwa hasogei kuharibu MOOD πŸ‘™
Ruhusu Mtu mwenye HISIA juu yako atawale PENZI LA MOYO πŸ’– WAKO na hapo utajua dunia vile haikimbiiπŸ˜‚
Ole wako uwe na Mtu ambaye YUPO KWAKO KWA SABABU ZAKE kwamba ili akupe PENZI unawajibika ku-boost HISIA ZAKE KWA KUMTIMIZIA MAHITAJI YAKE wallah Utajutia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Share:

Related Posts:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright Β© 2025 UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU