-->

HII NI KWA WANAWAKE TU:NAMNA YA KUWA MNATO WAKATI WA KUNGONOKA


Endiketa” ni Msamiati  lakini maana yake ni kubana,kuvuta na kuachia uume kwa kutumia misuli ya u-ke. Mtindo huu wa ufanyaji ngono humpa mwanaume raha ya ajabu ambayo mara nyingi itamfanya akushikilie kwa nguvu au abaki anaguna-guna tu (jaribu kumsemesha kisha sikilizia sauti yake hehehehe sauti itakuwa haitoki vema kwa utamu)….Endiketa ukiipatia ni mwisho wa matatizo.

Kubana huku au niseme ubanaji wa Uume kwa kutumia misuli ya u-ke kuko tofauti inategemeana na mtu mwenyewe vilevile “timing” yako kwani unapaswa kujua ni wakati gani unatakiwa kubana, kamua na “kubanua”.

Vilevile kuna baadhi ya wanawake (kwa uzoefu wangu mwenyewe) kama mumeo amekufanya vizuri siku hiyo na kukaribia au kufikia mwisho wa u-ke utahisi utamu wa hali ya juu uliochanganyikana na maumivu fulani hivi, sasa mpenzi akiendelea na shughuli utahisi kila akienda juu unamvuta ndani (yeye atahisi hivyo pia) hii hutokea bila kubana misuli ya uk-e kwa mtindo ambao kila mtu anaujua au nitakaouelezea hapa chini.

Kabla sijakwambia inakuwaje wakati unapofanya mapenzi na mikao yake ambayo itakurahisishia “kuendiketa” kwa nafasi napenda utambue  jinsi ya kuibana misuli hiyo ya uk-e ambayo inahitaji mazoezi ambayo yatakusaidia pia kurudisha maumbile yako kama ilivyokuwa awali baada ya kujifungua mtoto/watoto.

Nitaiweka hapa kwa kiswahili rahisi ili unielewe vema….sawa! Sote tunafahamu jinsi ya kukata/zuia mkojo usitoke, kule kuzuia ndio kubana misuli ya uk-e na ukiachia mkojo utoke ina maana misuli ya uk-e imeachia pia, sasa hivi unavyosoma fanya hivyo bila kuwa na mkojo (yaani hujabanwa mkojo) bana kisha hesabu mpaka kumi kisha achia rudia tena na tena. Fanya hivi kila siku, mahali popote ulipo, wakati wowote……kumbuka kuendelea na zoezi hili kila unapofanya mapenzi.

Jinsi unavyofanya zoezi hili mara nyingi ndivyo misuli yako inavyozoeana na ile hali ya kubana na kuachia inaongezeka na siku moja mumeo akikuuliza “mbona siku nyingine K inakuwa mnato sana” ujue umeanza kufuzu…..hiyo ni namna moja ya kumpa “Endiketa” mpenzi wako.

Namna ya pili ni ile ya kutumia misuli ya u-ke na misuli ya tumbo kwa pamoja (kama tumbo lako linanyama nyingi pole kwani hutoweza kufanikisha hili)…….

Mikao na namna ya ku-Endiketa.

(1)-Kifo cha Mende haijalishi nani yuko juu/chini
(2)-Kipepeo (kitandani au kitini)
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU