👩🏼🦰MWANAMKE huridhika na vitu vidogo sana hususani pale tu MWANAUME alienae anapoonyesha kumheshimu kumjali na kumthamini .
Vitu vinavyo mfurahisha mwanamke kujionaa kwa mwanaume kuwa anathamani kubwa moja wapo ni NDOA na sio SEX icho ndicho kitu kinacho mfurahishaa kila mwanamkee alie katika mahusiano yenye tija ndani yake.
Vitu vinavyo mfurahisha mwanamke kujionaa kwa mwanaume kuwa anathamani kubwa moja wapo ni NDOA na sio SEX icho ndicho kitu kinacho mfurahishaa kila mwanamkee alie katika mahusiano yenye tija ndani yake.
-🗣Wakikukatisha tamaa na kukwambia haiwezekani hakikisha Next time wanakutumia kama mfano katika kuelezea wengine kuwa ni jinsi gani inawezekana.💪💪.
🙏🏼Muamini mungu katika kila jambo maana kwake hakuna linalo shindikana.