-->

UMUHIMU WA SHANGA /CHENI ZA KIUNONI NO. 1

Image result for MAPENZI YA MBALI; HATAKI UENDE KWAKE ANATAKA AJE YEYE KUKUTEMBELEA.
Elimu ya mapenzi ni pana japo wengi hawafahamu na kila kiungo cha mwili katika mapenz kina kazi yake hivyo katika safu hii napenda nizungumzie kiuno hususan kazi yake katika mapenzi na zaidi nataka kuwafahamisha watu dhidi ya umuhimu / kazi ya shanga au cheni pindi iwapo kiunoni,
wanawake wengi huvaa shanga au cheni kiunoni wakidhan kama ni moja ya urembo bila kufaham ina umuhimu gani. Kama tunavyojua siku zote kiuno kazi yake nikukatika pindi mwanamke awapo chumbani na mpenzi wake wakila raha ifahamike kuwa unaweza ukakikata kiuno lakini kikawa ni chakawaida kisimshangaze mwanaume sana ila kama utakuwa upo kwenye sita kwa sita mtoto wa kike umekitenga kiuno chako kwa staili yoyote ile huku ming'aro ya silver / gold ipo kiunoni inang'aa au umevaa zile chachandu za kiasili toka kule kwetu Lungido kwa Mama Yoyoo (Shanga) Halafu taratibu na kwa ustadi wa hali ya juu unakizungusha zungusha kiuno chako ukikipandisha na kukishusha huku jamaa akihisi kama
raha inamzidia na kuona kama sosej yake inataka kukatikia ndani ya kisiwa cha raha utamfanya azidi kupagawa zaidi pindi ukiwa unakizungusha kiuno chako huku kimepambwa na cheni hata kama haujui kukatika ila zile cheni au shanga zilizozunguka kiuno zitamfanya mwanaume kuhisi kuchanganyikiwa kwa raha kwasababu shanga au cheni zinamuonekano wa kutenganisha kiuno na kiwili wili pindi ziwapo kiunoni huku ukijituma kukizungusha.
Kiuno huonekana kama ringi vile linavyozunguka hii inamfanya mwanaume kupata hamasa zaidi na kuvutiwa. Hivyo kwa kifupi nikwamba shanga au cheni unapozivaa halafu ukiwa ndani na mpenzi wako katika sita kwa sita mkila mamboz ukikikata kiuno zinakusaidia kukifanya kiuno chako unachokatika kikatike katika hali fulani ya kuonekana kwasababu kinatenganisha sehemu nzima ya juu ya mwili na chini hivyo ni vizuri kwa wale wanaovaa hizi shanga au cheni wafaham kazi yake au umuhimu wake pia cheni au shanga zina mvuto mkubwa sana kwa mwanaume huleta msisimko wa hali ya juu pindi mwanaume rijali aliekamilika azionapo!!
Hata kama ni kwenye gari kwa mfano mtoto wa kike kavaa shanga au cheni kiunoni kwa bahati mbaya zikaonekana kama pembeni kulikua na mtoto wa kiume alie kamilika lazima ashtuke na kutamani hivyo shanga au cheni zina msisimko katika sehemu ya mapenzi hususan kwa wanaume huvutiwa sana.
UMUHIMU WA SHANGA /CHENI KIUNONI NO. 2
Wapenzi wasomaji wa Chumba cha Wakubwa na Page ya Love & Romantic Stories , sasa naomba tuongelee rangi za shanga kwa wale wanaopenda kuvaa shanga.
Najua wengi mtakuwa mnafahamu rangi na maana zake lakini kwa wale wasiojuwa ama wanaopenda kuvaa lakini wanajinunulia rangi yeyote huu ndo wakati mwafaka.
Wanaume wengi wanaopenda wanawake wao wavae shanga ili kusisimuana tu .Je mnafahamu zinamaanisha nini?....Karibu tujifunze pamoja.
Katika swala la mahaba shanga hutumika kusisimuana haswa pale utakapompata mwanaume anayejuwa kuzitumia vizuri na unaweza kuvaa hata kumi ukitaka . Jana niliguswa sana na simulizi la rafiki yangu juu ya shanga, hivyo nikaona bora niandike na wengne wajue. Hii ni sehem ndogo ya simulizi lake.
".........Nilikutana na boyfiriend wangu maeneo ya Shycom …tukaelekea kwenye disko. Tulikuwa tunacheza madensi, halafu blues, ya Boyz to Men ikaanza kupigwa. Wenye disko walipunguza taa. Mimi na boyfriend wangu tukakumbatiana na kuanza kucheza Blues.
Miili yetu iligusana na akaanza kunipapasa taratibu kufuatana na beats za muziki. Nilifurahi sana. Akateremsha mikono yake kwenye kiuno changu.
Alivyogusa shanga zangu akawa kama mwili wake umekufa ganzi. Alisisimuka we! Akanishika kwa nguvu, niligundua kuwa hamu yake ilikuwa juu....." nitamalizia baadaye…
Naamini utakuwa umejifunza kitu fulani muhimu kutokana na simulizi hilo.Sasa turudi kwenye mada yetu.Kuna wengine wanunua rangi kama pink, blue, gold hizi rangi hazina maana kwenye sita kwa sita ni urembo tu kupendezesha kiuno.
RANGI ZENYE MAANA PINDI UWAPO KITANDANI NA MPENZI WAKO
Nyekundu: ukimkuta mwanamke amevaa shanga ya rangi hii unatakiwa kuelewa kwamba mwanamke huyu yupo kwenye hedhi, kwahiyo wewe fanya mengine lakini sio kutumbukia unless yeye mwenyewe amekuruhusu na wewe uwe na uwezo wa kutumbukia hata akiwa kwenye hedhi (kitu ambacho kiafya akishauriwi).
Nyeupe: ukimkuta mwanamke amevaa shanga nyeupe hii humaanisha hana tatizo lolote litakalomfanya asikupe raha ya sita kwa sita, kwahiyo ukitaka tu muda wowote unapata na zinaashiria kuwa yupo kwenye mood ya mapenzi.
Nyeusi: ukimkuta mwanamke amevaa rangi nyeusi hii humaanisha ya kwamba yupo tayari kukupa raha za sita kwa sita lakini uwanja wake haujakatwa majani, kwa hiyo chaguo ni lako kama unataka kutumia siku nzima kutafuta goli haya, ama kama utamsaidia kumkatia majani uwanjani vizuri zaidi ama kama huwezi yote basi mpe muda akate mwenyewe. Kwa leo naishia hapo ila kama mtapenda somo liendelee kuna sehemu ya tatu nitafundisha matumizi yake kwa kirefu katika mapenzi.
Mpo hapo!..
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU