-->

NAOMBA NIWAKUMBUSHE KITU MUHIMU SANA WAPENZI.


Hivi mnajua siyo kama wanaume hawaridhiki na mwanamke mmoja hapana,
Wanaume wanaoridhika wapo tena wengi, na wanatulia kweli, shida inakuja kwa mwanamke.
.
.
Unakuta mwanamke hasa walioolewa kabisa yani mwanamke unajisahau,unasahau wajibu wako eti ubize wa kazi kweliii!!!!!!? Mwanamke anafuliwa na housegal nguo za mume wake, anapikiwa na housegal sasa kwanini mwanaume asitafute mwanamke wakumpikia, au hata uyo Dada wa kazi anamchukua utasemaje?
.
.
Ni kweli u bize wa kazi upo lakini mwanamke lazima ujiwekee ratiba, natoka kazini SAA mbili kichwani ujue unaenda kupika nini, jitahidi umpikie mumeo, kufua jitahidi ufue hata nguo moja moja au siku ya off lakini dada akifua mpaka boxaa mwanamke unatia aibuu,
.
.
Alafu baaadae Unasema wanaume wote ni sawa ninampenda namjali lakini anachepuka, wakat mpaka Chakula anamtengea Dada wa kazi? haya kwenye bed unajua kubetua loki ya sindilia tu na kuchanua miguu kama baiskeli iliyogongwa na boda? Usipobadilika tegemea lolote we mwanamke.
I am Done!!
💚@IBRAHIM
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU