
Uonapo uongo ni mwingi kuliko UKWELI ujue hako ni KEKUNDUโ UMELIWA MAMA๐
Mapenzi ni UWAJIBIKAJI PAMOJA NA USHIRIKI kwa mambo yahusuyo UPENDO nje ya hapo ni STAREHE!
Huwezi kujitoa kwenye starehe huo ni utumwa wa fikra, Maana starehe ni MATOKEO YA FURAHA sasa kama uko kwenye MAHUSIANO ambayo huyafurahii pengine umenaswa na TABIA YA MAZOEA kumbe una furaha ipi?
Kataa kuwa mtumwa wa MWILI bali uwe kwenye mlengo wa KUJENGA NGOME YA AMANI NDANI YA NAFSI YAKO kwa sababu FAHARI YA MWILI NI JASHO JEMBAMBAAA๐ my friend tune clear your mind LOVE IS DESEASE๐
Mapenzi ndo yanawafanya wana wa adam kujua kuvaa na kujipamba, Ukitaka kujua kwamba MAPENZI ni mabaya ukose AMANI kwenye MAHUSIANO husika wallah MAFUTA๐ถ hutayanunua, wala hutajua kama nguo๐ umeirudia siku ya pili๐ ๐ ๐ ๐ MPAUKO UNAKUHUSU JILANI๐
Ni bora kuishi na wanyama๐๐ itachukuwa muda kuwaamini lakini sio BIN ADAM Kwani MANENO matamu yanaweza kuipoteza NDOTO YAKO๐ญ๐ญ๐ญ