-->

💖💖💖💖💖 *MAKOSA WANAYOFANYA WANAUME WALIO KWENYE NDOA*

Image result for MUULIZE UNATAKA KUNIOA MIMI AU UNATAKA KUOA MTOTO?


*1- Kuja na kimada mpk nyumbani na kumuacha ndani ya gari*
*2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati*
*kumeshadekiwa*
*3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.*
*4-Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.*
*5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila* *kutoa*
*taarifa.*
*6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike*
*kuwa anavutia bila hofu.*
*7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali*
*atajisikiaje.*
*8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.*
*9- Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika*
*10- Kutotandika kitanda mke anaposafiri na kugeuza kitanda kama kiota cha ndege*
*11-Kutofua boxer na socks zake hadi mke*
*awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi*
*Ongezea nawewe*
💖💖💖💖💖💖
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU