-->

KUNA MUDA MWANAUME UNATAKIWA UCHUKUE NAFASI YA KUWA BABA KWA MKEO!

Mkeo anapojisikia udhaifu na unyonge, shughulika naye kama baba anavyoshughulika na binti yake.
πŸ‘‰Anapolia, shughulika naye kama mama anavyoshughulika na mwanaye.
πŸ‘‰Anapofanya kosa, shughulika naye kama kaka anavyoshughulika na dada yake.
πŸ‘‰Anapolalamika, shughulika naye kama rafiki anavyoshughulika na rafiki yake.
πŸ‘‰Anapohisi khofu, muingize moyoni mwako na ushughulike naye kama mpenzi anavyoshughulika na kipenzi chake.
πŸ‘‰Anapohitaji ushauri, shughulika naye kama dada anavyoshughulika na ndugu yake.
πŸ‘‰Na mfanye ahisi kuwa daima uko naye na utaendelea kuwa naye mpaka pumzi yako ya mwisho.
Share:

Related Posts:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright Β© 2025 UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU