Mkeo anapojisikia udhaifu na unyonge, shughulika naye kama baba anavyoshughulika na binti yake.
👉Anapolia, shughulika naye kama mama anavyoshughulika na mwanaye.
👉Anapofanya kosa, shughulika naye kama kaka anavyoshughulika na dada yake.
👉Anapolalamika, shughulika naye kama rafiki anavyoshughulika na rafiki yake.
👉Anapohisi khofu, muingize moyoni mwako na ushughulike naye kama mpenzi anavyoshughulika na kipenzi chake.
👉Anapohitaji ushauri, shughulika naye kama dada anavyoshughulika na ndugu yake.
👉Na mfanye ahisi kuwa daima uko naye na utaendelea kuwa naye mpaka pumzi yako ya mwisho.