-->

*Dondoo 10 muhimu sana kwa walezi /Wazazi na Wazazi watarajiwa wote*


๐ŸŒท๐ŸŒท๐ŸŒท๐ŸŒท๐ŸŒท๐ŸŒท๐ŸŒท๐ŸŒท๐ŸŒท๐ŸŒท๐ŸŒท
๐ŸŒฟMkanye mtoto wako wa kike na hata wa kiume kuhusu kukubali kupakatwa hovyo, bila kujali ni nani anampakata, hata kama ni mjomba wake.
๐ŸŒฟUsivue nguo mbele ya mwanao pindi akifikisha miaka 2 au zaidi. Jifunze kumwomba akupishe.
๐ŸŒฟUsiruhusu mtu yoyote amwite mwanao โ€œMchumbaโ€, โ€œMke wanguโ€ au โ€œMme wanguโ€.
๐ŸŒฟKila wakati mwanao anapoenda kucheza na wenzake, hakikisha unafuatilia kujua wanacheza nini, siku hizi hata watoto wanafundishana michezo michafu na wengine wana maambukizi....
๐ŸŒฟKama mwanao ameonyesha kutopenda kwenda kwa mtu fulani usimlazimishe, pia chunguza kwa ukaribu ili kujua sababu.
๐ŸŒฟInashauriwa kupitia kwanza mwenyewe movie yoyote kabla ya kuruhusu mwanao waiangalie.
๐ŸŒฟMwanao anapofikisha umri wa miaka 3 anza kumfundisha jinsi ya kusafisha sehemu zake za siri mwenyewe, na umuonye asiruhusu mtu yoyote kumshika sehemu hizo.
๐ŸŒฟMfundishe mwanao thamani ya kuishi bila kufuata mkumbo.
๐ŸŒฟMwanao akilalamika kuhusu mtu fulani, usikae kimya.
๐ŸŒฟUsipende kumruhusu mwanao kulala na housegirl au houseboy au mgeni. Huwezi jua tabia za watu na wanayomtendea usiku!!!!
*_Kama unadhani Dondoo hizi ni Muhimu.Tafadhali soma na uwapelekee wengine_*
๐Ÿ“– #MATUKIOUPDATE
Share:

Related Posts:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright ยฉ 2025 UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU