-->

MWANAMKEEE! HII KAULI ITAKULIZA MILELE USIPOKUWA MAKINI...!

Image result for mapenzi wakubwa













Wanawake wengi wanakua na hii kauli, mume wangu hataki kubadilika, mume wangu hanisikilizi, ninaongea kila siku sijui hivi sijui vile! Ishu iko hivi, kaama ushaanza hizi kauli, kamaushawahi kuongea na mwanaume zaidi ya mara mbili na kila siku unarudia kitu kile kile basi huyo mwanaume habadiliki, hata kama kitu unachoongea kiko sawa lakini namna unayoongea hakuna mwanaume atakusikiliza.
Shida moja ya wanawake iko hivi, kila wakati wanakua Mama tu. Mama wote wana tabia moja, akikuambia kitu ni kwamba ni lazima ufanye, yaani Mama yako akiamka asubuhi akikuambia utaenda shule basi jua utaenda uwe umeumwa au umekufa basi utaenda, akikuambia ni kulala basi utalala, iwe una usingizi au huna utalala na kukoroma utakoroma.
Sasa wanawake wanataka wawe hivyo kwa waume zao, mwanaume ni mlevi kweli, popmbe ni mbaya, labda nakunywa mpaka kujikojolea ni aibu! Lakini huyo bado ni mwanaume, mtu mzima na wewe si Mama yake huwezi kumpangia, utamshauri, utamuelewasha na utaongea ila utaongea mara mbili tu baada ya hapo unaanza kuboa na unakua na kisirani, hata kusikiliza hata nkama unaongea kitu cha maana atakuona wewe kisirani tu.
Najua mnadhani kelele zinasaidia, kuna wakati mnajiambia hawa wanaume ukiwakalia kimya wanaharibikiwa, dada anayeharibikiwa kwa ukimya ni mtotyo, mtu umekutana naye, miaka 30, kakua mpaka kashaota mbelewele unasem aeti ataharibika, aharibike mara mbili! Naomba nikuulize tangu uanze kuongea aache pombe, umalaya, ajali familia, ajenge umjepata faida gani zaidi ya kisirani?
Dada yangu ukijua kuishi na mwanaume utamuendesha unavyotaka na atakusikiliza. Soma kitabu changu, lakini usisome kwa mchecheto wa kumbadilisha mwanaume itakula kwako, soma kwa mchecheto wa wewe kubadilika utaona hata yeye atabadilika.
Share:

Popular Posts

Blog Archive

Copyright © UTAMU KITANDANIDESIGNED BY TEETOU